Bora ukunitaja na hayo mapepo yako yasije niandama..!Habari ziwafikie
Compact
Ficus
juan moses
Samaritan
brenda18
womanhood
Cienfuegos
winner100
jonta
witnessj
aggyd
JembePoli
Atkins Mendel
Ficus
sohwa
mikwamba
Kyalow
Riwa
Namge
@Algator
Comrade Kip
MadamG
Ayanda85
Claret
babu na mjukuu
Snowwhite
Bonny
@rubuye1231
@prondo
dyuteromaikota
hazelyn
Donjama
Gogle
multiple
Afrah
Olivia Pope
carbamazepine
binti kiziwi
edgar Sr
ICHANA
hill and portion
red apple
KAHUSE
Qurie
espy
mahondaw
whitehorse
Code Breaker
Mbimbinho
ISO M.CodD
jay-millions
lazalaza
tya02
Alegria do povo
athuman zungu
@malaluko jr
Waseme
Prince Nadheem
Gwamahala
Mzigua90
Cauldron
angelita
topr
dawa yenu
strong gal
Shunie
@dst111
tejateja
subadesubking
jossiest
Rich Ze Best
255Gene
CHOKAMBOVU
Sonia G
Jack HD
kisengeli
TEAM hoarse
idaz
Heaven Sent
jonnie_vincy
singular
Michaelray22
kabanga
Mr Mikazo
Tarime one
sherberry
@Ipiyax
double R
Kadada
Cecilia Kessy
cesilia
subadesubking
it is me
moneytalk
Money Penny
@salma99
nchemime
Compact
Fake P
Word
griffin2
sammyluv
ABBYA
KIUNO CHANGU
-KANA-
CHOKAMBOVU
Queen Horse
m.agape
Maskini Jeuri
Miss ferrar
Horseshoe Arch
kassimneema
mjasiria
Omerta
kukumega
sajo
glory to yhwh
LOFA2030
ranyia
felinda
@montkafu
tozi25
Guasa Amboni
lafionaposh
lady v
dochivele
Masaki
Kwamba unapambana na maisha, kazi, biashara, vijiwe, mashamba nk kuingiza mkwanja wa maana familia isipate matatizo ya Fedha nk halafu hapo hapo muda unao wa kuspend na familia yako, unawapeleka watoto shule , unawasaidia home work, wife una mdrop na kumchukua kazini, mnatoka na familia kila weekend , birthday party zote, vikao vya shuleni, kucheza na watoto nk nk nk?
Anyway uzuri sina nguvu za kufanya ligi kivile lkn maisha ndiyo haya haya, tuna familia na tumezungukwa na wenye familia
Hivi sasa ni saa 22:38Hv sasa ni saa 22: 34
Post sent using JamiiForums mobile app
Tulia wewe bado mgeni kijiwe hichi!hizi episode 2 mbona kama haziungani au zitafanyiwa connection mbele huko?
Post sent using JamiiForums mobile app
Hapa tunaongelea familia ndugu, na tafsiri ya kujali inabaki kuwa moja tu, uprovide na uwepo kwa familia yako. Haya ya kuanza kutafuta justifications za tafsiri ndio yanayopelekea mambo yanakuwa tafrani kweli kweli.
Kujali ndio pamoja na uwepo wako, kuwa baba ni zaidi ya kutoa pesa.
Preach Sis, Preach! Timu roho mbaya tupo hapa kukuunga mkono, najua HS hakosi na Samaritan.Akina baba sally nao majipu tu, ndio wale wanaojuaga wakitoa pesa ndio baaaaaaas wamemaliza, kumbe familia inawahitaji zaidi. Pesa muhimu but it aint everything, ndio maana waliishia kuvurugwa tu. Ukijumlisha na mama nae alikuwa kimeo ndio kabisaaaaa!!
Me siwezi kukosa kabisaPreach Sis, Preach! Timu roho mbaya tupo hapa kukuunga mkono, najua HS hakosi na Samaritan.
wow, i love the new Lara 1,God is goodBwanaaaa Apewe Sifaaaaa!
Kwanza kabisaaa katika jitihada zangu zoote za kuokokaaaa sijawahi kumuandika Mungu stpry ya kumtukuzaaaa. Imeniumaaaa sanaaaa hii issue.
Kwanza naomba mdisregard thread zangu zooote za nyumaaa! That is not the way to go in life. Whatever i preached that was not me! Nilikuwa na mambo yasiyo ya kawaida yananizungukaaa. Nashukuru nimefanyiwa maombi na mtumishi wa Mungu (ukihitaji namba yake nicheki Pm nakupatia ni mmama) na nimefungukaaa, hata ule mguu niliokumwa naumwa since 2013 nimeenda mpaka nje mguu usiopona umeponaaa. Mguu ule ndo ulikuwa mlango sasa wa mambo ya ajabu ajabu. Sasa kama ulikuwa unakubaliana na mafunzo yangu ujue something is wrong with you too. Sio mimi yule (Technically ni mimi ila sio mimi angalia degree of perfection of evil ndo utajua sikuwa mimi) Nawaombea Mungu awafungue kama alivonifungua mimi kwenye vifungo vyanguuu. Haleluyah!
Leo nawaletea weekend story ya Kumtukuza Mungu tu. Sio kwamba story hii mpyaaa, wala ya kitambo sema ilikuwa haiendani na old me! Ila kwa uweza wa Mungu alie juu nimewweza kuiandika kumrudisha Mungu sifa na utukufuu. Halleluyah!
Panapo majaliwa ya Mungu, tukutane SAA 4 KAMILI USIKU
STORY ZILIZOPITA
JE UMESHASOMA ZOTE HIZI? LIST YA STORY ZILIZOPITA!
Weekend Story! The Grass is always greener on the other side part 2
Weekend Story! DESPERATE!
Weekend story: Bad wives
Weekend Story! The Workaholics Silence
Weekend Story: You Can't Handle The Truth
Weekend Story: The Art of Staying Married! (The grass is always greener on the other side) part 1
Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!
Weekend Story: YANGA! (Naipenda yanga shabiki wa damu)
The Working Class, Savages in Suits
Valentine Story! Guess Who Is Getting Married? Marriage games
Valentine Story! Guess Who Is Getting Married? Marriage games
THE DIASPORA! Life is a gamble; win some, lose some
The Forbidden Romance With The Priest! (Huba la padri lilivonoga) READER BE AWARE!
THE NIGHT WALKER! MMU LADY COLLECTOR OF ORGASMS! "I slept with them all and i don't regret it!"
The MMU Free P Silent Killer, Collector of Experience With MMU Women! The Autobiography!
Weekend Story! The Man of the People love triangle!
Ahahhah auntie nitachagua episode inayofuata team yangu
Preach Sis, Preach! Timu roho mbaya tupo hapa kukuunga mkono, najua HS hakosi na Samaritan.
Inatokea, inategemea tu na mtu husika anaitafsiri vipi kujali, na familia kwake ina uzito kiasi gani. Kama kwako kujali ni kutoa pesa tu basi hapo lazima useme haijawahi kutokea.Maisha hayajawahi kuwa fair namna hiyo, kubalance shughuli za kukuingizia kipato na social life la familia mpaka all members of the family wawe na furaha. Haijawahi kutokea
Hivi kweli hii ndio ile alotuahidi au katubadilishia gia angani!!
Sio lazima iwe 100% but you have to try yo best. Usiweke ugumu moja kwa moja maana ukishafanya hivyo tayari unayo sababu itakayo kufanya usione umuhimu wa kufanya hivyo nafasi inapopatikana. Maana kuna wengine hata huo ubusy wa hivyo hawana ila ndicho kisingizio chao.Kwamba unapambana na maisha, kazi, biashara, vijiwe, mashamba nk kuingiza mkwanja wa maana familia isipate matatizo ya Fedha nk halafu hapo hapo muda unao wa kuspend na familia yako, unawapeleka watoto shule , unawasaidia home work, wife una mdrop na kumchukua kazini, mnatoka na familia kila weekend , birthday party zote, vikao vya shuleni, kucheza na watoto nk nk nk?
Anyway uzuri sina nguvu za kufanya ligi kivile lkn maisha ndiyo haya haya, tuna familia na tumezungukwa na wenye familia
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Sio 100% kama ulivyoandika, but me ni mmoja wa waliobarikiwa na mzazi wa aina hiyo. Suala ni kuprovide na kumake sure unatenga muda wa kuspend na familia yako. Sio lazima mtoke every weekend au kumfuata mke kila siku siku +kudrop watoto shule kila siku etc. Ila at least unapata muda unacheza na watoto, unawasaidia na home works zao +kujua what's happening in their school's lives, mnanyoosha miguu pamoja, kama nyumbani mnakaa mnaangalia TV pamoja, you eat together, you pray together, you play together mfano unamwagia maua au unafix gari the kids are there etc. And yes my father knew all of schedules hadi nikiwa chuo (ananitumia card ya best wishes or texts kwa chuo) and birthdays anaweza Kumbuka siku 2 later ila atakuwish na kahela ka soda, above all home works zangu zote nilisaidiwa na mzee (primary) na nikiwa likizo kidogo, graduations ilikuwa inategemea tu yupo wapi ila akiwa around hawezi kumiss no matter what. So it's very possible, japo ni kwa wachache as I said
Uh!!! Il alara namuaminia najua ataileta tu. Anaokokaga kwa muda fulani.Ile aliyotuahidi si ameshasema sasa hivi yeye ni kiumbe kipya ndani ya Kristo? Mambo ya kale ya dunia hii hayana faida tena kwake.
Uh!!! Il alara namuaminia najua ataileta tu. Anaokokaga kwa muda fulani.