mnyandzombe
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 245
- 194
Mmmmm sio kwa stori hii ngoja tuone ikikolea ndo tutajua somo lake
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app
Na watapita kimya kimya tu wakajitutumue hukooo, kumbe si lolote si chochote!! Kuna wababa mizigo jamani.Kama nawaona kina baba Winnie humu wanavyosonya
Post sent using JamiiForums mobile app
Kama nawaona kina baba Winnie humu wanavyosonya
Post sent using JamiiForums mobile app
Na watapita kimya kimya tu wakajitutumue hukooo, kumbe si lolote si chochote!! Kuna wababa mizigo jamani.
Wanasubirigi kujisifia watoto wakifanikiwa, wakichemsha wanawatusi na mama zao.Hahahahaaaaa! Yani umenichekeshaaaaa mpaka machoziiii! Hahahaaaaaa! Aiseeeeee! Comment zenu tu ndo zinanimalizaa mbavu zanguuu! Jamaniiii! Baba Winnie wa watu!
😀😀😀Yani Ungejua Iyo List Waliotajwa Wametajwa Kwann Hata Usingetaman Kutajwa. We The Baddest Literally. And You Sound Decent,Innocent. Enjoy The Story!
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Akina baba sally nao majipu tu, ndio wale wanaojuaga wakitoa pesa ndio baaaaaaas wamemaliza, kumbe familia inawahitaji zaidi. Pesa muhimu but it aint everything, ndio maana waliishia kuvurugwa tu. Ukijumlisha na mama nae alikuwa kimeo ndio kabisaaaaa!!Mshaanza mdomo mdomoooo! Mbona baba Sally hamumsemiii? Naomba muwaache Average Joe wangu wapumueeee. Kina baba Winni safari hii muwape likizo kidogo
Ata mie nawaza tu hapaAlafu hii gia mbona haijakaa kiMungu au ndio baada ya dhiki faraja?!!!!
Antie how are you? Missed you.Ata mie nawaza tu hapa
Na watapita kimya kimya tu wakajitutumue hukooo, kumbe si lolote si chochote!! Kuna wababa mizigo jamani.





Am good auntie missed u tooAntie how are you? Missed you.
Karibu tupate story mubashara toka kwa the one and only kubwa la maadui.
hakunaga kama lara auntieAaah kwakweli, mie team winie tayari. Nasubiri nione team yako.Am good auntie missed u toohakunaga kama lara auntie
ni mara chache sana kupata vyote ni bora kumshukuru Mungu kama baba anajali familia yakeAkina baba sally nao majipu tu, ndio wale wanaojuaga wakitoa pesa ndio baaaaaaas wamemaliza, kumbe familia inawahitaji zaidi. Pesa muhimu but it aint everything, ndio maana waliishia kuvurugwa tu. Ukijumlisha na mama nae alikuwa kimeo ndio kabisaaaaa!!
Ahahhah auntie nitachagua episode inayofuata team yanguAaah kwakweli, mie team winie tayari. Nasubiri nione team yako.
. (ukihitaji namba yake nicheki Pm nakupatia ni mmama)