Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Mnazingua mjue!

Juzi tu hapa mlikua mnashangilia care za msomali. Mara eti mambo anayaweza.

Hebu tulieni hukoooo!

Mnataka kuhama team baada ya kuona team yenu inafungwa!



Pambaneni na hali zenu

- KANA -
Nimewaza alie too harsh kwenye story ili nikupe jina lake nimemkosa.
 
Lara we konyo kweli Leo nimeota msomali wangu sema wakati anakaribia kunipa mambo nikastuka ndoton nimelaani mchana kutwa ndoto ile kutomalizika yaani
Ngoja nione leo kama msomali ataniijia ndoton tena
 
pole sana nilikwambia lakini
Dude limekuja 18+ukisoma lazima sally/msomali wako awe pembeni lasivyo ni shida
Hahahaaaaa sasa wengine domo segere yaani nakwambia ni shidaaa. Na sally kwa vituko mmmmmh ogopa unapewa kujipimia unaona ahueni kifo cha mende
 
Back
Top Bottom