Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Hapana auntie mkweo ni lee tu jaman me siwezi mambo ya wanaume wawiliHebu nyoosha maelezo we mtoto!!!
Hapo sawa baba yeyoo mana auntie ameshaanza kupanickHujanifaham uzuri Mama Yeyoo, hapo nimenukuu ile kanuni yako tu..."hawara hapewi talaka" sijasema kingine rafiki!
Ila mie team yangu Msomali.
Mnazingua mjue!Hata me jaman
Mmmmmmh!!!!Hapana auntie mkweo ni lee tu jaman me siwezi mambo ya wanaume wawili
Mnazingua mjue!
Juzi tu hapa mlikua mnashangilia care za msomali. Mara eti mambo anayaweza.
Hebu tulieni hukoooo!
Mnataka kuhama team baada ya kuona team yenu inafungwa!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Pambaneni na hali zenu
- KANA -





KANA kuwa mpole ujue
Auntie huo ndio ukweli ujueMmmmmmh!!!!
Nimewaza alie too harsh kwenye story ili nikupe jina lake nimemkosa.Mnazingua mjue!
Juzi tu hapa mlikua mnashangilia care za msomali. Mara eti mambo anayaweza.
Hebu tulieni hukoooo!
Mnataka kuhama team baada ya kuona team yenu inafungwa!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Pambaneni na hali zenu
- KANA -
Hapo sawa baba yeyoo mana auntie ameshaanza kupanick
Hapana auntie mkweo ni lee tu jaman me siwezi mambo ya wanaume wawili
Haya mama, tafanyaje sasa!!!Auntie huo ndio ukweli ujue
Nimewaza alie too harsh kwenye story ili nikupe jina lake nimemkosa.
Nyie tulieni muone mambo, msomali hana mbwembwe za maneno mengiiiii, actions tu
Hapo sawa baba yeyoo mana auntie ameshaanza kupanick
Najua kwa nini roho inamuenda mbio..ila nimebadilika nimeshamwambia mara kadhaa, tumeokoka sasa hivi.





Safi kabisa mpendwa kwema huko?Long time no see, habari yako mpendwa!
Halafu limekuja siku takatifu yaani shida. Nimelisoma niko nawashikaji ikawa shida niliondoka bila kuaga nilikoenda napajua mwenyewe Lara 1 mungu anakuonaaaaaaHahaa hili dude halifai ujue...hili dude ni amsha popo
Halafu limekuja siku takatifu yaani shida. Nimelisoma niko nawashikaji ikawa shida niliondoka bila kuaga nilikoenda napajua mwenyewe Lara 1 mungu anakuonaaaaaa


pole sana nilikwambia lakiniHahahaaaaa sasa wengine domo segere yaani nakwambia ni shidaaa. Na sally kwa vituko mmmmmh ogopa unapewa kujipimia unaona ahueni kifo cha mendepole sana nilikwambia lakini
Dude limekuja 18+ukisoma lazima sally/msomali wako awe pembeni lasivyo ni shida