CHOKAMBOVU
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 856
- 584
ZegeHahahaaaaa sasa wengine domo segere yaani nakwambia ni shidaaa. Na sally kwa vituko mmmmmh ogopa unapewa kujipimia unaona ahueni kifo cha mende
ZegeHahahaaaaa sasa wengine domo segere yaani nakwambia ni shidaaa. Na sally kwa vituko mmmmmh ogopa unapewa kujipimia unaona ahueni kifo cha mende
Hahahaaaaa sasa wengine domo segere yaani nakwambia ni shidaaa. Na sally kwa vituko mmmmmh ogopa unapewa kujipimia unaona ahueni kifo cha mende


sally hakutaka shida ya nini afie kifuaniFanya kunidedicate tu ucwe na was!hii story...nataman ni idedicate kwa mtu mmoja hivi!!!!!
nakwambia moto atakaouwasha msomali hakuna atakayeweza kuuzimaHaha nyie si mnamuona msomali bozozo, atawasurprise. Usione kobe kainama. ...
Fanya kunidedicate tu ucwe na was!
ngojaaaaa!!!! ije next episode.
Haya,japo nna usingizi sana aisee!Msikate tamaaa nipo na dude nashushaaaa! Kuna story mpyaaaa! Jituuu kama MOTP story zake! Anakwambia kala wadada karibia 50 wa humu jf eti si kwa nia mbayaaa! ALIKUWA ANATAFUTA MKE. Mtaniuaaaaa kwa kusimuliaaaa. Kitu cha THE WIFE HUNTER KINAKUJAAAA. Na bado hajaoaaaa.
kuwa W ndo ile character tunatumia ID za humu. Samaritan ndo TWH! Afu Samaritan ana kesi ya kumu impersonate Man Of The People na kujilia nyuchiii za kutoshaaa. MOTP Kahifanya ghost inavosemakanaa lakini. Mzee mzima Samaritan kuhisiwa hisiwa MOTP akaona fursaaa ndo hio. Akajivisha uhusikaa. Kala kala nyuchi si haba inavosemekana lakini.
Ila wanawake sisi, come on! Hivi MOTP aneweza kuwa Samaritan our pal LIKE SERIOUSLY!!! Hahahaaa! Mda mwingine mnajiingiza kingi wenyeweeee.
Hahahaaaaa!!!!Msikate tamaaa nipo na dude nashushaaaa! Kuna story mpyaaaa! Jituuu kama MOTP story zake! Anakwambia kala wadada karibia 50 wa humu jf eti si kwa nia mbayaaa! ALIKUWA ANATAFUTA MKE. Mtaniuaaaaa kwa kusimuliaaaa. Kitu cha THE WIFE HUNTER KINAKUJAAAA. Na bado hajaoaaaa.
kuwa W ndo ile character tunatumia ID za humu. Samaritan ndo TWH! Afu Samaritan ana kesi ya kumu impersonate Man Of The People na kujilia nyuchiii za kutoshaaa. MOTP Kahifanya ghost inavosemakanaa lakini. Mzee mzima Samaritan kuhisiwa hisiwa MOTP akaona fursaaa ndo hio. Akajivisha uhusikaa. Kala kala nyuchi si haba inavosemekana lakini.
Ila wanawake sisi, come on! Hivi MOTP aneweza kuwa Samaritan our pal LIKE SERIOUSLY!!! Hahahaaa! Mda mwingine mnajiingiza kingi wenyeweeee.
Saa 2:42 Am hii Dada lara 1 hujatokea..
Anyway humu jf kuna mambo nasubir kitu cha wife hunter maana sio kwa promo hio ulo andika
Hahahaaaaa!!!!
Heaven Sent njoo ujichagulie character kabisaaa maana sio kwa balaa hili linalokuja.
Samaritan ndio maana kumbe umekazana kweli na auntie yangu Shunie!!! Kumbe unamdanganya we ndio MOTP!!!! Ole wako!!!!!!!!