Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Baba yeyoo hawara hapewi talaka utaona tu

Mama Yeyooo kuna uzi nimeuona nimeumia japo chinichini....jana KLM aligusia sikumfahamu uzuri, sasa leo naperuzi peruzi mara nakutana na kitu...ila mila yetu sie si tunachomeka mkuki mlangoni akija akiukuta anajua tu mhenga anafanya vitu vyake?
 
lara 1 mtumishi auaeibukia, leo dude linakujaje swahiba xxxxxxxx au ndondo cup? Ili waumini wako tufanye logistics mapema sio saa nane unashusha dude la watu wazima huku hakuna spacemen za kufanyia practical.

Sitakuangusha, day 1...day 2....day 39.
 
Wakati mwingine nyie wanawake nako mnatuchanganya tu..unasaka pesa na kuweka kila kitu sawa, mwenzako anatafuta mpiga show! Msomali keshajua Sally pesa sio tatizo, anampa kitu adimu.
Basi msomali ajue yeye ni wa show tu sio wa familia. Naona anajisahau kutaka kujimilikisha wakati hana vigezo.
 
Mama Yeyooo kuna uzi nimeuona nimeumia japo chinichini....jana KLM aligusia sikumfahamu uzuri, sasa leo naperuzi peruzi mara nakutana na kitu...ila mila yetu sie si tunachomeka mkuki mlangoni akija akiukuta anajua tu mhenga anafanya vitu vyake?
Ole wako!!!
 
lara 1 mtumishi auaeibukia, leo dude linakujaje swahiba xxxxxxxx au ndondo cup? Ili waumini wako tufanye logistics mapema sio saa nane unashusha dude la watu wazima huku hakuna spacemen za kufanyia practical.

Sitakuangusha, day 1...day 2....day 39.
Leo tunamsifu Mungu tu.
 
Basi msomali ajue yeye ni wa show tu sio wa familia. Naona anajisahau kutaka kujimilikisha wakati hana vigezo.

Mwanaume inabidi hayo maeneo mawili uyamudu. Familia na show.
Nikikosa pesa hata show sowezi kabisaaaaa
 
Leo weekend kuna msomalo hukuuuu, anataka kunipa zawadi ya nauli! Tuonane keshooo!
 
Back
Top Bottom