juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,483
Kuna Mtu Tulitofautiana Kauli. Tukavurumishiana Matusi!!Umeanza ukorofi eeh!! Ban ya nini tena!!
Kuna Mtu Tulitofautiana Kauli. Tukavurumishiana Matusi!!Umeanza ukorofi eeh!! Ban ya nini tena!!
Tokea amnyime MOTP tezi dume siku hizi najiandaa kwa lolote tu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jiandae kisaikolojia!
- KANA -
Hapo tu ndipo hata mimi simuelewi na siwezi kumuunga mkono. Alafu alivyo mjinga na mimba anataka abebewe mfyuuuu!!!Huyu msomali kweli napeperusha flag lake lakini kwanini anatumia akili nyingi sana kwenye kumfurahisha Sally kwenye mechi lakini sioni akipanga maisha? Anafikiria ana mzigo peke yake?
Ohooo!! Pole.Kuna Mtu Tulitofautiana Kauli. Tukavurumishiana Matusi!!
Namuombea msomali fumanizi na jollieOwkeiiii,
Hatumuhitaji Sheikh Yahya kujua kinachofuatia. Msomali karuka ruka sasa naona anelekea kibla. Hapa kwenye mtoto ndipo kaburi lake lilipo!
Sema nmefurahi kujua msomali anacopy swaggs za Dee!
Hii inaonyesha we're a couple of miles ahead of him!
Sasa jiandaeni kwa msiba!
Alaf naona kila mtu anajiunga upande wa msomali. Hehee
IT'S DEE AGAINST THE WORLD!
- KANA -
mana jollie si kwakukodolea macho vile kwenye boxa...Huyu msomali kweli napeperusha flag lake lakini kwanini anatumia akili nyingi sana kwenye kumfurahisha Sally kwenye mechi lakini sioni akipanga maisha? Anafikiria ana mzigo peke yake?

akili ya kupanga maisha aitoe wapi?Hajiamini hiyo ndio shida yake,anafikiri kumzalisha sally ndo kutamfanya ampende na asiende kwa wapanda dauHapo tu ndipo hata mimi simuelewi na siwezi kumuunga mkono. Alafu alivyo mjinga na mimba anataka abebewe mfyuuuu!!!
Namuombea msomali fumanizi na jolliemana jollie si kwakukodolea macho vile kwenye boxa...

Kutokujiamini kubaya sana aisee!!Hajiamini hiyo ndio shida yake,anafikiri kumzalisha sally ndo kutamfanya ampende na asiende kwa wapanda dau
Ahahhah msomali abakie wa show za kibabe tuSasa kama baba mwenyewe ndio hivyo akili fupi hata hawazi mbali mtoto wa nini? Huyo aishie kumkuna tu
Wewe ndio unafaidi sana, unasoma mfululizo wote kwa utulivuuuu
Hamna rafiki ni kwakua nimechelewa so siwezi kwenda sambamba imeenda mbali sana. kuchangia episode kwa episode ndo fresheeee soinaona nyie mpo mnasubiria next episode na kukoment huko mi nakoment vya nyuma kabisa. Ntawakuta tu Leo silali
Mahondaw wa Smart911
Sie watu wazima tulipiga jana hiyohiyo usiku tukamaliza na practical kabisaaaa
we mtu mzima dah!pole sana mkuuAhahhah msomali abakie wa show za kibabe tu
Kutokujiamini kubaya sana aisee!!
Tukiwaambia pesa lazima wanachukia, wakati ndio ukweli huo!!
Nae kapata kitonga badala kujiongeza ili ajiwekeze!!! Hovyooo kweli.
Tokea amnyime MOTP tezi dume siku hizi najiandaa kwa lolote tu.
Tunasubiria dude kutoka kwa mtumishi...uzuri xxxxx rated anarusha usiku, kwa sie team popo inakua swadakta. Wwle wanaosoma mchana kazini ndio imekula kwao. Wanamtamani Msomali, wampate wapi kazini mchana?