Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Sasa akirudi na mimba si ndio basi tena![]()
![]()


na story ndio inaishia hapo lara ujue unawakilisha taifa letu usituangushe huko kabisa
Sasa akirudi na mimba si ndio basi tena![]()
![]()


na story ndio inaishia hapo lara ujue unawakilisha taifa letu usituangushe huko kabisaTena ushindwe!!!!!!!!!!!!!Nilijikuta nimewaza kwa sauti kuhusu ule uzi umeanzishiwa nikaropoka vile mtima umetumbukia nyongo japo sisemi. Ndio Aunt kunikemea kwa majina yote..
Asante lara uwajibikaji mwemaKesho XX Mchana
Mbona sijaona ulichoropoka ngoja nirudi nyuma niangalie usikute baba yeyoo umeniua sana aisee
Hahaa acha nikamtafute msomali wangu mapemaaa nimwandae kwa keshoSi mpaka uwe na msomali pembeni anaejua mambo na kuelewa kabisaaa kwamba ana jukumu moja tu? Kutoa stress. Vinginevyo itakua majanga..siku hizi purukushani nyingi mabango yamepungua nasikia vumbi la Congo!
Ngoja nikafanye maombi asimimbike.na story ndio inaishia hapo lara ujue unawakilisha taifa letu usituangushe huko kabisa
Baba yeyoo jamaanMama Yeyooo kuna uzi nimeuona nimeumia japo chinichini....jana KLM aligusia sikumfahamu uzuri, sasa leo naperuzi peruzi mara nakutana na kitu...ila mila yetu sie si tunachomeka mkuki mlangoni akija akiukuta anajua tu mhenga anafanya vitu vyake?
Ewaaaa auntie hili ndio la maana sanaNgoja nikafanye maombi asimimbike.
AhahhhSiwezi kukuua Mama Yeyoo, toka lini tunatiliana wivu?
WooooooozaHahaa acha nikamtafute msomali wangu mapemaaa nimwandae kwa kesho
na story ndio inaishia hapo lara ujue unawakilisha taifa letu usituangushe huko kabisa
Tunamtegemea lara asituangushe tuMechi international kakabidhiwa bendera, asifanye masikhara..ila Msomali kama na yeye kajaliwa itatusababishia story kuchelewa...manaake KLM atataka kujidai mjuvi anauweza mzigo alete mandingo yake kama hawajamuwekea PoP ya kiuno.
Hahaa acha nikamtafute msomali wangu mapemaaa nimwandae kwa kesho
Tutafanya revision ya pepa la janaWe mwandae tu na kesho uambiwe hadi saa nne usiku kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake. Sijui utampeleka wapi Msomali wakati desa na busta itakosekana!
Umesema mechi international umenikumbusha yule dada boss wa UNMechi international kakabidhiwa bendera, asifanye masikhara..ila Msomali kama na yeye kajaliwa itatusababishia story kuchelewa...manaake KLM atataka kujidai mjuvi anauweza mzigo alete mandingo yake kama hawajamuwekea PoP ya kiuno.
@lara1,nasubiri
Umesema mechi international umenikumbusha yule dada boss wa UN