Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

The Bad Wife!

Sally kwanini hujaolewa mpaka leo? Ndo kusema umekosaaa kabisaaa kabisaaaa boya yoyote tule to put a ring on it? Sitaki kuaminiiii! Japo tu utoe nuksiiiii! Ionekane alioleea akateswaaa na mwanaumeee haikuwa riziki. Fanya bwanaaa uvae lile gauni jeupeeeee. Siku hii nilimpania kweli Sally! Not that i dont like her or something, sema nilitaka kumuweka mahala pake!

Sally was too smart, sasa mpaka anakuwa mjingaaaa. Unajua akili zikizidi zibaleta ujingaaaaa. Mi ndo nakwambiaaaa. Since she could do anything she wanted basi karidhikaaaa hatari na kuona hayo ndo maishaaaa. Shenziiii wahidiiii. And the bad part is kuna wadada kibao wanaingia mkumbo kufata ideology za Sally, wakati wana roho ndogooo.

I envied Sallys ideologies and cied her from time to time especially in business. She was next to none. Lakini linapokuja swala la keeping men, she was total failure. Big Ego ndo inayo mcost sanaaaa! Haombagi msamahaaaa huyu binti, mwanamke mwenzie tu hakuombi sembuse mwanaume.

But she surpassed my expectations so many times mpaka nikafikia hitimisho Sally ana logaa sanaa au ana sali sanaaa. Sikujua which is which. Kila kitu kwake ni very simpleeee! Anaweza kukwambia mambo makubwaa makubwaa phiysically and chemically impossible ila yeye akayafanya just like that.

Hata kupata mabwana kwake rahisiii ndo maana hawekezi nguvu kukeep a man cause anajua akienda out akirudi na ana new edition. Kwanza anatushangaa sisi why do we keep men, why do we go to extremes to keep men.

Like most of us we are all victims of time, and she might be a little special but not to time factor. Umri ushaanza kumtupa mkonooo. She was 29. Soon she will hit the dirty 3s and sooner than she expect she will be in low 40s. Fine it is non of my business but i just wanted her married.

So i can be better than her! I am better than every body kwenye jamii yetu except Sally,and the only reason Sally is moving faster than me is because she has freedom advantage. Anaweza kukaa Dubai hata mwakaaa hakuna anemdai. Anaweza kukaaa Hongkong miaka hata mi 3 hakuna wa kumbanaaa! With me nina mume, watoto and freedom is vocubulary now days. Kwenye ndoa kuna mambo ya umama sanaa ukifikiria unweza kuamua kama Sally uishi msejaaa mpaka mwisho. Heheheee.

All in all katika wote walioolewaaa i married the best! People may think it is luck but i know for certain it is hardwork. And kuolewa kulikuwa diliii tena dili babu kubwaaaa, ukiwa umeolewa wewe ndo mamba yaoooo, utawapeleka peleka madogoooo hata ukiwaambia walambe mavi wanalambaaa! Not until Sally happened in our lives. Yaaani yaani ameshusha hadhi ya kuolewa to negative maana sio 0.

Maana zamani unawaambia watu, mkitaka maisha mazuri tafuteni wanaume wa maana wawaoe, wawape maishaaa. Na wanakusikiliza, sikuhizi utasikia I wanna be Sally, hana mwanaume na ana maisha yake ya maana tu! Zama za kujipendekeza kwa wanaume, lujivua utu uchukue jinaume mradi jianaumeee zi epitwa na wakati. Kituuuu Sally! Yeye ndo anachagua anataka mwanaume wa aina gani, anamtongozaaa na anamuweka mahala pakeee. Mwanaume hasumbui sumbuiii. Hapo hata akisema ana miliki mwanaume kweli. Ila wengine !namilikiwa na wanaume tusichoshaneee. Kutwaaa kuchoma mishumaaa myeusiii. Aiiii.

Sally katuharibiaaaa kishenziiii. Sisi tulioolewa wenye familia zetu tunaonekana kawaidaaaa sanaaaa. Tena kawaidaaaa kweli kweli. Aiseeee! Good old days za kuwa admired ndo zimeishaaaa. Yani ligi ilikuwa walio olewa na wasio olewa lakini sasa imebadilika imekuwa walio tulio olewa vs walio olewa wenzetuuu na wasio olewa nao wana ligi yaooo ambayo inbambaaaa mbayaaaaa.

Mimi kama mimi binafsiii sikufurahishwa kabisaaa. I had to bring back the good old days. If we cant fight Sally we make her join us. Nimejitolea kumtafutianmume kokote alipo na kokote atakako patikanaaa. Sababu najua akitoka kwenye ligi ya ma single hii ligi yetu ya ma maza house she wont last a minuteee. Na tabiaa zake chafu chafuuu soon atajikuta yupo ligi ya walio achikaaaa, na tuta msahau kabisaaa. She might be smart but not smarter than me. Niakendelea kumpelemba!

Sister Lidya, mi sio kwamba sijapata mtu wa kunioaaa ama vipi ili niwafurahishe nyieeee mkose la kusemaa, i just dont wanna lie to myself most of all. The biggest lies are the ones you tell your self. Mi niwe muwazi bado sijapata mtu wa uhakikaaaa. Na harusi hamna leo wala kesho.

Nikamsikilizaaa nikaona kazi itakuwa ngumu kuliko nilivo expect. Sikukata tamaaaa. Sikia Sally what is wrong this guy you are dating Hussein. The boy loves you and adores you. He worships you! Kwanini udikubali akuoe. Maisha mnaanza tu Mungu anajalia huko mbele. Plus mtoto mtamuuu yule balaaaa! Sijuiunaviokotaga wapiiii hivi vitoto ila vinanitoa udendaaa sio mdogoooo. Tkacheka wote.

Hussein is kind of on the mean time boyfriend. Sio mtu wa kufunga nae ndoa. Hussein namjua mimi, hana !bele wala nyuma, hana analojali, yupo kama hayupooo. Sema tu Mungu kamsitiri na uzuri wa sura na mvutooo, kanipata mimi mama la mama Sally namuweka tu kwenye ramani on the mean time. Cause i dont want to be alone and he wants to be with me, why not? Ila sio upuuzi wa kuita watu kuwadanganya nataka kuishi na Hussein mpaka kifo kitutenganishe huo uongoooo tena uongo mkubwaaaa.

Jibu hilo la Sally halikunistushaaa kabisaaaa! Namjua akili zake anazijua mwenyeweeee. Nikampandia dau. How about i hook you up na wakaka wa maana wa ofisini kwetu, you might like one or 2. Usikatae basi kabla hujawaonaaaa.

Sister Lidya, mimi sio kwamba nakukosea heshima ila wewe binafsi kama wewe inawezekana you are lucky, umeambulia chochote kitukwenye ndoa, mumeo umemuweka kwanye chupa, unamkamua kama ngombe, wanao wanasoma shule za 15m Heaven of Peace huko, wote wa 2, unaishi nyumba ya ya $3000 kwa mwezi. Mi vaccations and everybody in the hood envies you, i am seriously happy for you, ila niache na mimi niishi navojisikiaaaa. Mbona mi sikuingilii ndoa yako? Plus acha unafiki unapo ongelea ndoa ukumbuke na watu ulio watumbukiza shimoni akiwepo Winny, Jolline, Atu, and never ending list ambao sahivi wana sifgocate huko, vitu vimejambaaaa! Heheheee! Acknowledge kwamba ulichangia kuharibu maisha yao kama ambavo unafanya majaribio ya kuniharibia na mimi maishaaaa.

Kama nilivowaambia ndugu wasomaji Sally ni mdogo wa umri kwangu ila ni mzitooo! Ona sasa anavonitia ubauaaa mimi maskini ya Mungu. Mimi ndo niliwatuma waolewe na wanaume wajinga wajinga sijui wasiokuwa na bahati au combination of both mimi kweliiii? Hahahaaaa! Maybe alittle bit. Ila sio kosa langu wameishia hapo walipoishiaaaa. Nikakwepa mshaleee wake alionitupia kiutu uzimaaa. Niliwaamviajee wasomaji? Mimi Sally nammudu!

Sikia Sally wahenga hawakusema Ndoa ndoano for nothing! Ndoa kweli ndoanooo. And i am not lucky or svitual kupata maisha hayaaa! Like i said its all hardwork. I have worked so so hard kwenye maisha yangu kiasikwamba mume anaona hasara kuniachaaaa! Ampate nani sasa kama mimi. I worked so hard to differentiate myself. People choose to see the success and ignore the struggle.

Mume wangu ni baba bora, best hubby ever, ila sikumkuta hivooo! I made him who is he now. Trust me without me he wpuld have amounted to nothing in this life. Mi nakutana nae hakuwa na tofauti na mume wa Winni, lazy ass mathafacker, amefanya kazi 10 years all he has to show for it ni mi boxer tu aliovaaaa. Anashea nyumba na wenzieee wa 2. Hana gari. Ameajiriwa wizarani.

Sasa mimi nilishaamua mwaka huo iwe isowe naolewaaa! Ulikuwa ni ujinga wa aina yake, but i wanted to marry young. Miaka yangu 24 nikabeba mimbaaa. Na sikuolewaa wala nini. Vwana alikuwa anataka mtoto wa kiume mpaka kufuru. Nikazaa wa kike. Bado tunakaa pale pale na wale wake wenzangu na waume zao ni uswahili mtupuuuu.

Sina kazi wala kibaruaaa. Nikamsemaaa akakubali tukahamia uswahili pengine nyumba ya vyumba 2 na sebule. Ila tunashea compund na watu wengine wengi tu. Bado sijaolewaaa. Nikimwambia mambo ya harusi haskii wala haoniii. Nikampa altimatum. Usipo nioa mpaka December mi mwakani narudi nyumbani na mtoto naanza maisha mengine. Maana unaleta mazoea miaka mi 2 unanilaa buree, unawachukulia poa wazazi wangu. Kama hutaki basi bwanaaa. Sikulazimishi.

November bado sina kazi, mtoto mdogoo hata mwaka hanaa, nikamwambia baba mi narudiii. Kule kumekuwa sio riziki. Akasema sawa njoo. Nikaanza kufungashaaa. Mwezi mzimaaa nafungashaaa. Imefika tarehe 31 Nov. Baba angu na mama yangu wamekuja kunifataaa. Na unajua watu wa chini hawana magari wala nini,wamenifata kwa mguuu. Na ilikuwa weekend alikuwepo. Baba akaenda kukodi kirikuuuu! Nikachukua bag zangu, kitanda cha mtoto, na vitu vyangu. Hakuaminiiiii.

Nikarudi zangu nyumbaniii. Nilikondaaa! Ikapita wiki kama 2 akawa anatuma sms rudiii, rudiiii. Namtimuaaa nirudi wapiii. Akaja kuongea na mzee, mzee akamwambia safari hii hatoki bila kufata taratibu zote. Na huyu mjukuu kwanza nataka nimkomboe nichinje mbuzi awe ukoo wetu, namnunua. Akaendeleza kelel zake, nika mblock!

Siku hio mama anatoka kanisani mbio anasema nimesikia ndoa yako na kubwa la maadui imetangazwaaa. Nikastukaaa! Wewe hata huniambiii naikuta kanisani mtoto mbona kama mchawi mda mwingine. Nikatoa mijicho. Nika mu unblock! Ndo sms zikaanza kuingia mpaka ya mwisho nimeenda kuandikisha ndoa kanisani. Na ingine pamoja na kuendelea kuuchuna ikifika siku ya ndoa nitaenda kanisani usipokuja basi. Ndo nikampigia sasa.

Harusi ikapita salamaaa. Nikarudi pale pale uswaziii safari kama Mrs Craig sio mtu wa mchezo mchezooo. Akanitafutia yeye kazi bank, Standard Chattered , Procurement Officer. Kuingia na kuingiaa nimemaliz probation nikarnda HR, napata mkopo bei gani? Wakasema hamnaa hamnaa 15m. Nikahaza form.

Sijamwambia wala nini. Umetokaaa! Ndo nikamwambia. Akanikopa million 5 alikopeleka sijuiii. 10 million nikalipia frame 2 moja Ubungo stand na ingine Tegeta stand. Frame nilipa 6m. Ma freezer yalicoat 2m. Nikabakia na 2. Nikaagiza samakiSato, saninia, kwa shoga zangu mwanza. Nikajaza mzigo na kuvunja bei.

Nikalikaba hili jibaba likanipa 5m yangu nikajaza mzigo wa kuku nilifataKibaha kwenye mashamba, firgisi buguruni, na ngombe vingunguti. Nikaweka meneja na camera saa 24. Maombi huku na huku. Bei nimevunja. Wakiuza nyama 6000 mi nauza 5000. Bei ya mtaa mi naivunjaaaa! Watu wanajaa nyomiii nyominooo. Saa 5 ma friji meupeee. Nalaza faida laki 3 au 4. Siku kuu tunalaza mpaka 2m.

Ugomvi nyumbaniii pesaa mwanaume anataka kuionaaa. Nilimtoa baruuuu. Nikamwamvia ukitaka twende sawa fanya investment zako nininisapoti sio kitaka kuniingilia mambo yangu. Pesa hapa inayopatikana nampeleka Jolline UK. Jolline kuishia alipoishia kunaniumaa sanaa Sally nimetia jasho na damuuu! Nyie mnaumia ila mimi ndugu yake wa damu naumia mara 100. Kuhangaika koteeee kumepeleka Jolline UK, ninelipa pounds kwa pounds za mahelaa kaishia kumfugaaa bwana wa kipembaaa. Maisha asipateee wala nini. Ila mimi nilitimiza wajibu wa dada kubwaaa.

Jioni kazi yangu ikawa kumsimangaaa na kazi yake ya wizarani. Mpaka akawa anachelewa kurudiiii. Nilijito ufahamuuu mimi kutembeaa na vyetiii na makabrashaa ya mume utasemaa nini. Nisikutane na boss au supplier akija ofisini lazima niwape bahadha ya mumeee. Anatafuta kazi. Watu walichekaaaa! Wakasema tuna njaa sijui nini. Sikujaliii.

Hamad siku wakaja wazungu wa database, nikawapa ile bahasha wakamuita interview. Ananiambia sijui nani kanipeleka nikamwambia mimi ndo ninewapa. Kidogo asiende kwenye hio interview. Mpaka saa 3 kalala wakati interview saa 4. Nikamrudia nyumbani. Chambana chambanaa haswaa. Hoja yangu mbona yeye kanitafutia mimi kazi nimemshukuru iweje mi kumtafutia yeye iwe kama kosa la mauaji. Akaamua kwenda ila moyoni najua anaenda kujifelishaaaa tu huko kama sipobana bar akasema kaenda.

Akaja kupewa hio kazi, hakuniambia, nina tabia ya kupekua pekuavitu vyaje nikakuta contract ya kazi atalipwa $3000 kwa mwezi, comission. Na yeye ndo agent wa Tanzania. Ajisimamie mwenyewe. Niakenda kusoma misa ya shukraniii, alivosikia akajua ninejuaaa. Tukachekaaa tu.

Akaanza kuleta story za kuacha kazi wizarani, nikamwambia huachiii kituuuu! Utafanya kote kote. Analalamika haweziiii kufanya kote, atachokaaa, nilimtimuaaa! Untaka uwagi kurudi, umuwahi housegirl utembee nae au? Mwenyewe narudi saa 4 usiku mkeo we urudi saa 10 unawahi nini. Acha kujiendekezaaa. Serikalini kuna ma dili yale ya IT ile mibomuuu apitishe nani. Usintanieeee.

Pesa ikapatikanaaaa. Mwanangu kuanza viduuu nikaenda IST nikachukua form nikamtupiaaa hapo aligombaaa aligombaaa anaongea mambo ya St Joseph. Woooyyy! Mambo ya 800,000. Nikasema sasa nitakufurahishaaaa! Tukabaki tunavuruganaaa. Nikapiga dili kazini na wahindiii wakanipa million 10 cha juu. Nikaongeza na za buchanii nikamlipa akaanza shule. Simuulizi chochote. Na niliipa ya mwaka mzima. Wanaume unaenda nao ki dictator.

Watu wakanza kupagawa mtaani, ndugu zake, toto likiongea linatemaa yaiiiii bichiiii kabisaaaa. Lazima waulizee shule gani? Ada shingi ngapi. Ada sikufichi ilinichanaa msambaaaaa ikaniunguzaaa na vuzi zoteeee. Acha gharama zingine za nje ya ada. Mkopo ndo uko nusu. Biashara inatosha kumlipia tu Jolline ada na kumpa allowance za kuishi Uk na yule mdogo wangu wa Italy.

Nikaongia saccoss. Huku na huku wakanipa million 15 tena. Nikapiga dili nikaenda china na hii 15m nikarudi na vifaa vyote vya saloon. Nikalipa kodi na kufungua ile saloon yangu. Wasichana wananisumbua hatari. Nikamwambia mzee baba nipe hela niendr Nairobi kusoma make up na hair dressing. Akatoa pesaa. Nikaenda kozi ya siku 14. Nikanunua make up zote OG.

Huku nikamkabidhi salary slip mikopo mshahara napokesa 130,0000. Asimamie show ya kutunza familia yake. Baba nundaa lile likasema litatoa 500,000 tu. Jamaniii. Nakubali tarehe 10 namwambia imeishaaa. Akibisha naondokaa naenda kukaa nyumbanii anabaki na mwanae inabidi atoe. Nguo nachukia nawaamvia wakamdai. Mwanzo alikuwa mkali hatariiii. Mwisho akaanza kunipa support ya kifa mtu sikujua kwanini. Mpaka ananinunulia mwenyeweee.

Mpenzi moto motoooo. Bar hakukaliki jioni anakuja kushindaa buchani au saloon tunarudiii wote. Kuendekeza mapenzi nikabeba mimba ingine. Siku ya siku akasesam rafiki yake Dr. Ali ndo alimfumbua macho kuwa mimi ni bongeee la mwanamke. Kwanza asifanye masiharaa kabisaa kunipotezaaaa. Ooohhhh! Wao wake zao bureee kabisaa tena mizigooo. Bila mimi yeye mzee baba asingeenda popote angeishia kama wao. They envy us. Nani mtoto wake anasoma IST? Nani wanaishi kwenye appartment? Naniiii. Ndo kigundua ananifuja fujaaaa.

Nikazaa mtoto mwingine wa kike tenaaa. Nikamwambia kabisaa mimi leba bye bye. Siendi tenaa. Obama mwenyewe ana watoto wawili wa kike karidhikaaa, yeye nani asiridhijee. Kama atataka kujaribu pengine nampa go ahead.

Na alijaribuuu! Mlidhaniii angeachia hio chance . Na alivo na mkosiii akapata wakike tenaaa! Hamu ya majaribio ikamuishaaa kabisaaaa. Heheheee! Sicheki kwamba mazuriiii. Na mi nilivojua majaribio yake nikamwambia tu nakuombea upate wa kiume roho yako iridhikeee.

Akaleta mambo ya kutaka kumchukia nimlee mimi bijamwamvia biashara hio sifanyiiiii! Kuzaa mzae kwa raha zenu mzigo mnibebeshe mie, haiswiii hio. Kila mtu abebe zigo lake. Mwenyewe mayai ninayo sijazaa nifanye maisha mengine. Yule Robert alivofiwa na wazazi wake nikamchukia nimleee akanijaribu tenaa tumchukue na jaribio lake, nikasema sitakiiiii kabisaa kusikiaaa.

Mda huo anahangaika na majaribio mi nikaenda Nairobi kujifunza kupamba mashereheee maana maharusi nawapamba saluni kwangu wananiambia niwatafutie mpambaji, nikaona nizuie mimi hio tendaaa. Nikajifunza kupamba na kupika keki.

Mikopo ikaja kuisha kwa mkupuo, biashara nikabaki nazo,madogo wakamaliza shule zao, pesa sasa nikawa naionaa maana nina income sources za kutoshaaa. Hata iweje kote hakuwezi kujambaaa. Nataka chuo wasome nje, kama nimeweza kuwasomesha wadogo zangu wanangu hawanishindi. Nashinda kwenye business na wanangu. Nawazoesha tangia wadogo, kufanya kazi ndo mpangooo. Pesa ni ngumuuu, wateja ndo wafalme wetu. Wafanyakazi ni sehemu ya biashara na familia. Haiwezekani waje wawe wakubwaaa hizi values ziwatoke kichwani.

Kama wahindiii wanavowashi disha watoto dukani kuanzia primary wanajua nini ni nini na mimi hivo hivo. Wanajua hii blush, hii concealer, hii foundation, interest lazima nizi influence mapemaaa. Achia kuwakumbushaa huku ndo ada inakopatikanaaa.

So mimi its all my efforts Sally! Ndoa kama ndoa haiajanisadia chochote wala kunipunguzia chochote. Hao uliowataja wana wenge zao binafsiii. Jolline ndugu yangu wadamu ngoja nisimseme maana mkimsema wote atavumilia ila kusikia mimi dada yake nimemsema vitaanza kumpanda vya kumpanda.

Lets talk Winny! Mi si nilimwambia wabondei sio wanaume? Wana wivu hatariiii afu wavivuuuu. Akasema ooh mi sipendi mtu aolewe sababu Jolline hajaolewaaa. Nikasema kua uyaoneeee. Mwanaume mvivuuu hatariiiiakitoka akzibi saa 11 unamkuta marrybrown na mtoto, au dukani anamngoja Winni atoke. Heheheeee! Nikasema Winni kapatikana. Kwa maisha ganiii.

Winni nae ana wivuuuu, anapendaa mwanaume ambanieee hapaaa kwapaniii. Mapenzi ya kihindiiii. Kitu kidogo baba wa 3. Ndo kamgeuza ndondocha sasa hana anchofanya zaidi ya kukaaa wanatizamanaaaa.

Hiiiii hiiiii yaaani mimi siku mume hana kaziii, ataenda sokoni kubeba maguniaaaaa. Hali ugali wangu wa bureeee. Haliiiii. Sifugiii ujingaaa kabisaaaa. Mnanijuaaaa! Sitakiii ujinga kabisaaaa. Kazi ya ofisini hujapata basi kibaruaaa kafanyeee si ndo unachotakaaa.

Kuna kipindi mume alinitishia kuacha kazi kwa wazungu nikamwambia napunguza kijana mmoja buchani utakuwa unakata nyama na samaki wewe. Akachekaa kimasihara. Kesho kaenda buchani kakuta yuko kijana mmoja. Alitetemekaa mpaka utumboo. Akamuuliza mwenzie Ally anaumwa, akaambiwa kasimamishwa kazi, mama kasema utakuja wewe tusaidiane. Alitkanaaa matusi makubwa makubwaa. Mwanamke Iddi Amini huyuuu. Mwanamke Ghadafi hiliii nawaambiaaa. Hahaaaaa! Niliona ishu yote kwenye cctv Camera.

Winni akijilegeza pale mbona badoooo! Atabakia hana hata miaaa. Siku hio ananiambia kamnyima uchi head wa legal bank kwaooo. Alimwambia ampe uchi amlipie million 10 za ada. Si ujingaa huo. Uchi huo huo mume anaula bureeee free of xharge kila siku, kila akijisikiaaa najipimia tuuu. Mwingine ana 10m ananyimwaaa. Ujinga si ndo huooo.

Mi yule Chriss hear wa commercial Tigo, siku kajipendekeza anga zangu twende uturuki ananipa mtaji wa nguo za turkey. Nikamwambia kata tiketiii. Haina kujifikiria. Nimeenda Turkey nimeuza mechiii wiki 2 nimemkamua miliion 18 za mzigooo. Nimekuja lipa frame tu.

Hata useme ujamwambie wewe mume wangu, ushahidi mpaka uufate uturuki leoooo? Mi nakataa hamna kitu kama hiko na Chriss anakataa hamna kitu kama hiko sana sana mume wangu atahisi labda unamtakaaa ubashindwa kumwambiaaa. Maana Chriss alivo best yake sasa. Kikulacho ki nguoni mwako.

Nafungua duka la nguo za uturuki Winni alipanikiiii sio kidogooo. Kidogo azaeee kabla ya sikuuu. Ananipeleleza mtaji umepata wapi? Nikamwambia Vijoba angejua vicoba vya papa hahahaaa! Aliumiaaaaa! Yeye duka hilo hilo halikui wala halizaiii. Miaka nenda miaka rudiii. Yeye si abakibanaaaa!

Juzi wanangu nao katili wale sijui watapata mume wa design gani, wakawa wanasema Aunty Winnys kid speak bad English! We cant get what they are saying. Mbele ya Winni nikasema nitawababuaaa kina Fiona mnanijuaa lakiniii. Winny akasema ni kweli hii shule mpya sio nzuri machozi yanamlengaaa. Mmmmhhhh!

Ila ka Winny kana roho mbaya kaleeee! Nasikia akawa anafurahia mimi sina mtoto wa kiumeee. Yeye anao wa 2. Si bora mi nina wa kike, wana mtaji wao wa kuzaliwa nao, yeye wakiume afu hana maisha ya kuwapa sitaki hata kuwaza watapoishiaaa. Maisha hayaaa! Usimcheke mtu kakosa kituuuu.

So Sally bwana lets work together to get you that ring! Utoe nuksiiii tuuuu! Hata kama ukikaa siku 3 ukaghairiiii. Akawa ananiangaliaaa tu. But she didnt say no! And i knew i was making progress. In what again? Can anyone of you readers remind me why am i doing all this again?

ITENDELEA KESHO SAA 4 USIKU
 
kweli wanawake hatupendani wakati mwingine,yani haya yote mwenzio aolewe wewe uwe bora kuliko yeye?nawaza faida atakayopata lidya baada ya sally kuolewa,sijui ndo hiyo freedom anayosema...
 
lara naona unatuchomesha mahindi mpaka saa hii acha nilale
 
Who am I?

Jamaniiiii usiombe bongo uwe unakaribia miaka 30 hujaolewaaa! Utajutaaaaa! Nafuu uwe umeolewa umechika hata mara 10 kuliko hujawahi kuolewaaa. Jamaniiii! Kama deniii. Ndo swali kila unapokanyagaaaa. Hhata competitors wangu wanakosaga cha kunisema kasoro hikooo.Ndo maana hajaolewaaa! Na hawezi kuolewaaa. Nani amuoe.

Heheheeeee! Wanaosema hivo wafuga mabwana wakubwaaa katika historia za kufuga mabwanaaa. Sema na mimi i am one hell ofa savage beach. Wakiniingia hapo ndo napowasambaritishaaa kwa kuwakumbushaaa the fact kwamba wana waume and that makes our race 2 wao na waume zao against me one mans army afu me huyo wa kike sasa nawasambaratishaa wao na waume zaoooo! Wajitafakari wana wanaume au wanawake wenzaooo. Ni aibu kupitwamaisha na single lady.

Rahisi ku solve ukute mtu kama Winny ndoa imekunyaaa kumpanga dakika 0 kwa kumkimbusha tu ndoa ishamnyea mdomoni and i dont want to make that a 2 of us, ndo maana nafocus kwenye kutafuta better breed! Kimbembe ukute mijitu ambayo ina have it all kama Lidyaaa! Aiseee! Inaboaaaa! Inaweza kukufanya uwe mnyongeeee. Maana kila kitu imekuzidiiii. Inabidi tu uwe mpoleee.

Lidya ni kati ya watu walioninyima rahaaa sanaa. Ni dada yangu sawa, na ananisaidia mambo mengi kwenye biashara, hata nikikwama miliion 1 au 2 ananikopesha kiroho safiii. Na ni mtu mzuriii sanaaa. Haoni shida ukitaka kumgikia kimaishaaaa.

Na ana roho flani amaizing, anakukaribisha mpaka kwake, atakuacha na mumeweee hapo hata siku nzimaaa, tofauti na Winny anaembania mumewe kwapaniiiii. Ukienda kwake umevaa vibaya vibaya au una mshepuuuu anakupa kangaaa. Looooh! Ila Lidya walaaaaa! Ana amani zooote.

Kuna siku kulikuwa na kiwanja, akamwambia mumewe anipeleke, nikajua nae atakuja kukaba penalty, walaaaa ndo kwanza kaenda saloon. Kiwanja Ununio. Nikashinda nae siku nzimaaaa! Hata kunihisiiii! Heheeee! Na mumewe aliomba nambaaa ndiooo. Sema nikamchomolea bwanaa Lidya dada yangu. Basi baba la baba asivo na haya akasema basi nipasie hata !ashoga zako shemuuu! Khaaaaaa! Mwingi nae yuleeee! Ila ndo wale nitombe nikale. Utakulaaa tu na kunywaaa hakupi cha maana chochote.

Lidyami naingia mpaka chumbani kwake, sio mara moja sio mara 2! Mumewe akiwa hayupooo, akitaka kuongea mambo yake ya ushangingi ananiita chumbaniii. Na mimi sikatai lengo nimuombe designer items zake. Na sio mchoyo utasikia chukua. Hapendi kuongea mambo ya Chrisssebleni anasema mwanae Fiona ana nasaaaa hatari na anakuja kumwambia baba yake.

Namsikilizaga kwenye kitchen party akitoa wosia chumba chako ni madhabahuuu hatakiwiii mtu kukijuaaa haswaa mashogaaa! Heheeheee! Unaweza kufika unakita kaacha !aagizo kwa dada apite chumbaniiii.

Ana uzungu uzungu wa ajabuuu, anafanyaga beach party wasichana kibaooo, mimi kina Jolline, Atu, hatujaolewa na walio olewa wengineee tunavaa bikini hajaliii kabisaaa kabisaa. Winni alikuja mara moja alivoona ustaarabu ndo ule michupi njenje hajagiiii tenaaa. Ana roho ndogooo sanaa shoga angu Winni.

Naweza kusema nampenda sanaa dada Lidya! Sanaaaa! Amekuwa kama ndugu yanguuu! Maana hakuna kitu kinachotokea maishani mwake asinishirikishe. Nimekuwa nae close kuliko hata Jolline mdogo wake ambae ndo shoga angu haswaaaa! Birthday za wanae shule lazima tumpelekeee! Birthday ya mumewe lazima tujeee. Tumekutana mjini ila kama nduguuu kabisaaa.

Sasa hili swala lake la kunikomalia niolewe likawa linaniumiza kichwaaaa sanaaa. Moja sababu Lidya hawezi kunitakia ubaya mimi. Pili itakiwa ni jambo la heri only that i cant see it. Haiwezekani watu wote wanitakie jambo moja hilo hilo kama sio la kheriii. Na lidya ni mjanja kuna kashaona mbele huko nikienda hivi nitapoteaaa bora anistueeee.

Raha ya ndoa ujisikie mwenyeweeee itoke rohoni mimi huyu ndo namtakaaaa ila sio style ya Lidya ya kumfosi mtu. Maana kule ni kumfosiiii. I just wanted to marry a normal old sweet way. You fond someone who dazzles your heart! You live happillyever after.

No man has dazzled my heart mpaka sasa. Nakuwa nao basi tu jamii isije niona ndivo sivooo. Ila rohoni hawamo kavisaa. Niliowapenda japo kidogo hawakunipenda na kube!beleza kujishusha siwezi. Mwabaume aki act kidogo tu nastukaaa. Akili yangu kubwaa sanaaa hata kudanganyikaaa.

Ilipofikia hapa mi natoka na mtu kwa sababu flani. Sio kwamba nampendaaa! No! Natafutiza sababu tu, najiambia kwa sababu hii acha anipunguze nyege mpaka someone special atakapo tokea. Asipotokea potelea pote. Basi kama Hussein niko nae sababu ni mzuriii. Ukisema yule bwana wangu watu woteKeshoaaaaa! Afu ananipenda ni hatariiii. Ila ndugu msomaji ataachaje kunipenda kwa mfano kwa mambo niliomfanyia?

Hussein alikuwa Kariakoo mtu wa kutumwa tumwaaa tu na dada Eva. Da Eva ndo gwiji la accessory kariakooo nzimaa hakunaaa. Ana maduka ma 3 kariakoo na mume msomaliii. Sasa Hussein yatima na mume wa dada Eva ni ndugu yake ndo akamleta Kariakooo.

Sio mdogo ana miaka 29 piaaa. Sema wale wasomali maskini. Ila msomali ni msomaliii. Akawa anatumwaa kwa dada Eva, na Eva anavojua kutumaaaa sasa. Mda mwingine anamtukana tukana. Akawa anakuja kushinda dukani kwangu nje kuna vijanaa wengiii.

Siku hio nimekaa dukaniaaa, namuangaliaaa Msomali kwa matamanio nae ana niangaliii. Nakwepesha macho, nazuga zuga namchungulia namkuta bado ananiangalia kwa matamanio ila ndo pesa hanaaa afanyaje sasa.

Akaingia rohoniii kwangu hatariiii. Na navosikia wasomali mambo wanayawezaaa ndo nazidi kuvurugikaaaa. Ila jeuriiii wasomali nyie acheniii tu. Kaniingia rohoni kweli mpaka usiku hajanitokaaa. Namuwaza waza. Na mi tabia ya kujidhiki sipendiii. Siku hizi hela ninayooo. Ya kununmleviiiime tu hainishindi. Zamani nilikuwa maskini kweli kweli mpaka nitongozwe. Sahivi najipa raha mwenyewe.

Asubuhi nikamuita Meddy! Akaja nikamuuliza huyu msomali wa Da Eva ana mwanamke hapa kariakoo au dar! Akasema huyu bwana sio mtu wa wanawake anamuogopa Eva ni kiama. Eva sijui anamtaka sio kwa kumbana hivooo shemejie. Huyu mtu wa mirungiii tu. Ndo starehe yake.

Niakmwamvia sikia Meddy huyu msomali mie namtakaaaa! Meddy akastukaaa! Wewe Sally atakupa nini huyu msomaliiii! Mwenyewe anatumwa tumwa na Eva tu. Nikamkazia Meddy kwani mi nimekwambia najiuzaaaa? Mimi namtakaaa! Wewe tumia siasa kumfanya anitongozeee nikupe chako cha udalali.

Meddy analeta kama za umempenda si umtongoze wewe! Nikamwambia mi simtongoziii kwanza sina historia hio! Ndo maana wewe upooo! Kumshawishi anitongoze nakupooza kidogo na chochote kitu. Meddy pesa anaitakaaa afu roho inamuuma kwani yeye sio mwanaume kwanini bahati hio aipate msomaliii.

Zikapita siku 2 msomaliii haniambii kitu. Ila Meddy kumbe kilimuuma sanaaa. Ana kazi ya kuniambia wasomali sio watuuuu! We huwajuiiii. Hata ukizaa nao wanaiba watoto wanatoroka nao. Mara kwanza wanatahiri wanawake wao. Mambo mengi mengi tu. Ya kukatisha tamaaa. Nikamwambia Meddy naona kazi imekishindaa nampa Mussa. Meddy anadakia haijanoshindaaa nishamwambiaaa.

Nikastukaaa! Umemwambiajeee? Nimemwambia nahisi kama anakupendaaa! Bora tu akawambieeee kama vipi. Ila akasema anakuogopaaa! Mi nikamhakikishia akwambie itakuwa poa! Akastuka nimejuaje itakiwa poa. Nikamwambia nimekuona unamuangaliaaa. Akasema hata yeye alikuonaaaa! Akaanza mabo ya mi sina kitu, mambo ya kuanza kuombwa laki 5 yatanipasua kichwaaaa. Nampamba haupo hivoooo! Anawaza sijui una mtu, nadakia hunaaaa! Ndo kasema atajiongezaaa. Ila Wasomali sio watu.

Nikachomoa laki nikampaaa. Kafanya kazi jamani. Akawa kaja pale, nikajifanya kugeukia ndani ya dukaaa kabisaaa. Basi nikivizia kumuangalia nabana miguu tu. Dada wa dukani nae mmbea anadakia Wasomali wazuriii kweli dada. Heheheeee! Mi nakuelewa unavopagawa! Nikamsunyaaa nani kapagawaaa! Anabiambia nakuona unabana bana miguuu utakuwa uan kimweku mweku cha hatariiiii. Haahahaaaaa! Tukachekaaa tu.

Ikaletwa soda! Mletaji akasema Sally ndo nani? Nikamjibu mimi, akasema nimetumwa na msomaliii. Nikainywaaa yoote. Hakusogeza vipira vyake. Kesho ikaletwa icecream! Ball cone! Msomali tenaaa! Nikailaaa. Mchana ujaletwa ubuyu wa Zanzibar nani msomaliii.

Jioni nikashindwaaa kuvumilia nikamwambia dada kamuite msomali afu ujizungusheee zungusheeee huko mpaka nikupigie simu urudi sawaa. Akagunaaaa tu. Nikaonaa msomali anakujaaaa mambo haya yanataka ujasiriii.

Nikamwambia nashukuru nala vyako, nisije tu kufungwaaa! Akachekaaaa! Hamnaaaa! Si na wewe utanipa vyako. Nikamuuliza vipi? Akachekaaa tu! Hivo hivo ! Tukacheka tu. Nikamuuliza so upo kwa Eva, akasema ndio. Nikabadilisha story kabla hujaja kwa Eva ulikuwa wapi? Akasema Nairobii. Unafanya nini? Akasema kwenye maduka ya simuuu. Basi tukapiga story kibaoooo.

Dada kuona simpigiii simu akarudi hivo hivo msomali akaondokaaa. Watu wenye uwezo wanapatashida kupata mabwana hawajui tu kishusha bar! Kama msomali nimemshushia bar hatariiii, asiponitongozaaa tena hapo atakuwa hana nia. Maana nishamuonesha ishu ya yeyekuwa kijakazi kwa Eva sio issue.

Usiku akatuma sms! Tukawa tuna chat chat vitu tu vya kawaidaaa. Akaniambia jumapili nataka kukutoa ndo nipo off. Nijamwambia sawaaa! Ila ajue mi hela sinaaa! Akachekaaa! Kunitoa yenyewe kanfata dukani, tukaenda kwenye mgahawa wa wasomali kariakoo hapo hapo. Nilikosa cha kula, akaniagizia yeye mandi! Na yeye akala nyama ya ngamiaaa. Tamu hio mandiii hatariii. Na nyama ya ngamia pia tamuuu.

Tulivotoka nikamwambia unaenda wapi, akasema kukaa vijiweni tu, nikamwambia twende kwangu. Akakubali. Akajaaa! Nikamjulishaa kabisaa mimi sipikagi! Mda sinaaa. Afu Mnywaji huyu msomaliii! Ni balaaa! Na mimi kanikutaaa na mimi mleviii. Kunywa kunywaaa.

Na mimi sipendi mambo ya kujibanaaa codes sijui mtoke mara 10 ndo akuombe uchi. Utafanya yote na bado kama mwanaume msengery msengery tu, lazima atakuletea mambo ya kisengery huko mbele. Ndo maana codes urmri huu sitakii. Nimekuelewa umenielewa tupeane mambo.

Nikaanza kumkanyaga kanyagaaa! Mwanamke kuwa voss nako kuna kero zakee kama hiziii! Usipojiongezaa huliwiiii. Yaaani. Akawa anasita sitaaa! Haamini kama nataka kumpa mzigo kweli au akili zake tu zinamtuma vibaya. Mwanaume mwanaume akaona bora ajaribu akose kuliko kutokujaribuuu akajutiaaa.

Kujaribuu tu kosaaa! Mambo yametikiii. Nae alikuwa na ugwaduuubalaa! Na hivi bongo nyuchi zilikuwa za kununua. Weeeeee! Show yakeya kibabe usipimeeee. Nilikiwa nasikia tu wasomali ni nyokoooo kwenye mambo hayaaaa! Nilijioneaaaa! Pumziii zimebiishiaaa kijeba yupooo ngangaliii! Khaaaaa! Napenda haya mambo ila hapa nilisalimu amri.

Saa 8 usiku mechi inaishaa, Anapaniki kachelewa kurudi kwa Eva. Itakuwajeee! Nimrudisheee! Nikamwambia sikurudishiii wala nini. Eva ni shemeji yaka mwambie nilikiwa kwa demu wangu. Sio mama yako mzazi yuleee! Na wewe sio mtoto mdogo. Oooh nimpigie simu sijui nini. Namwambia hakuna kumpigia simu wala nini! Kwani yeye hajui una nyege? Kesho mwambie jana off yako, ulienda kumkaza mtu. Au Eva anakutakaaa kukubana gani huko.

Akawa kalala pale ila roho juuu. Basi ananisimulia Eva kawasaidiaaa sana, alimpata kaka ake akiwa hana kitu kabisaaa, kampa mtajiii, mpaka sahivi wana maduka ma 3 na Eva. Na mimi kanikutaaa gaidiii. Namwambia hata wewe una bahati umenipata mimi nina maduka yangu ma 3 pia. Wote kwenu mna bahatai za wanawake wenye hela! Akawa anachekaa tu. Sio kwa shoo ile, haendi kokote.

Kesho tumetoka wote kwangu na gari langu, nimemwachia aendeshe. Kufika kariakoo,yeyekaenda kwa Eva, mi nikaenda dukani kwangu. Akaja Meddy baada ya mda kidogo. Unajua Hussein anatukanwa kule kwa Eva na kaka yake? Wanamfukuzaaaa! Eva anamtetea lakini wapi. Nikamwambia Meddy mwambie aje huku.

Akaja kavurugwaaa! Nikamwambia kaa hapo upoe kwanza. Akawa kapanic hatari, anaomba hela arudi Nairobi kwa mjomba wake. Nikamwambia hapa ni kariakooo! Sio lazima ukae na kaka yako ndo utoke. Ushafukuzwa jua kuna maisha mengine zaodo ya kukaa kwa kaka ako. Sahivi mi ndo dada yako.

Nikamwambia twende duka la Sinza, huku kushakuwa nuksiiii. Njiani nikamuuliza kina Eva wanakaa wapi akasema airport. Yombo. Nikamwambia twende ukachukue nguo zako, si ushafukuzwa. Akakubali. Tukafata nguo, dada wa kazi akaja kuchungulia kwenye gari yuko nani apate kumwambia Eva vizuriii.

Ikawa tunakaa nae kwanguuu! Ananisaidoa ku manage madukaaa. Nikamuuliza unataka kufanya nini? Interest yako ni nini? Hajiaminiii analeta haina shida mi nitakusaidia kumanage. Nikamwambia pamvana na hali yako. Kabla hujanisaidia wewekumanage nilikiwa naishije? Mimi najiwezaaa, nataka kukiwezesha na wewe.

Akasema interest yake ni simu. Nikamwambia basi uza simuuu! Fatilia Nairobi kwa wasomali wenzio utapata bei gani, na hapa zikoje kama hela itapatikana. Akasema bei za Nairobi zoote anazijuaaa. Na faida ipooo. Mtaji ndo ishu.

Nambembeleza hapi baby mtaji nakupa mimi, wewe sahivi uko na mimi, siwezi kuacha kukisaidia kama nawezaaa. Anajisemeshaaa mi naogopa mikopo, acha tu nitafanya ishu zingine. Nambembelezaaa kitandani hapooo, sikukopeshii mtajiii, nakupaaa baby. Mbona ukipendwa hujui wewe msomaliii? Ana anza nishakwambia usiniite msomali. Sasa si msomaliii nikuitaje unadhani? Akawa akaipotezea ile ishu ya simu kabisaaa.

Baada ya kama wiki 2, Eva akaja na mumewe dukani kishariiii hatariii. Hussein yuko wapi. Na wakanikutaaa kwa nyodo sina mpinzaniii. Sijawajibuuu. Wakaongeaaa weee mi kimyaaaa. Wakaondokaaa! Akaja Eva peke yake kwa adabu safari hii. Nikamsikiliza! Shida yake kubwa Hussein arudi nyumbani.

Nikamwambia namba yake mnayo! Akitaka kurudi atarudiii. Mtu mzima yuleeee. Hakufurahishwa na majibu yangu ila atanifanya nini? Nikirudi jioni nakuta Hessein kapikaaa chakulaaa. Anani massage. Mambo kama hayaaaa!

Kwenye kumbi za starehee Sally sipatikaniii kabisaa, natafutwaa. Hussein sio mpenzi wa kutokaaa. Nahisi sababu aataulizwa anafanya nini na ana nini afu yeye ndo mwanaume boxer maana hata suruali hanaaa. Kutoka iwe wawilianakubaliii. Kama kuna company atajisingizia ugonjwaaa. Na nikitoka mimi nikirudi lazima azushe ugomviii sio wa nchii hiii. Wivuuuu! Sijui anahisi nimeliwaaa! Hhata kama nimeliwaaa atanifanya nini.

Nikamwambia kaka yako anakutafuta na shemeji yako. Akabadilisha mada. Nikampa million 4 aende Nairobi akalete simu, sio kukaa bureee kuji victimise na kunikopaaa uchi kila siku. Nikamwambia tu chukua za bei poa poa smart phone. Hataki kwenda wivuuu. Anahisi kama nimempa hela ile aondokeeafu niuze !echi hatakwa 10m hamna wema wa bureeee. Wasomali wako fastaaa.

Hitimisho nikamwambia basi twende wote. Na yeye hapandi ndege hana passport safi, ana passport ya magumashi. Mi bus siliwezi. Tuka ahirishaaa safari. Nikamtengenezea passport ya Tanzania. Safiiii. Tukaenda wote Nairobiii. Namwambia twende madukani yupo hapanaaaa! Nilikerekaaaa! Bahati yake ananijuliaaa akishanikeraa ananipiga show moja ya kibabe ya kunipooza hasira zangu.

Usikusaa 6 ananiambia anaenda kufatilia mzigooo. Nikamgomeaaa mzigoo gani. Ubishaniii nimekaza asinifanye mtoto anaenda kwa wanwake zake wa Nairobiii. Hitimisho twende wote. Tukatoka usiku huo na kwenda kusikojulikana mpaka kwenye nyumba ya wasomali tenaaa.

Akaaongea nao kisomali, wakatuachia tupite. Kuingia sebuleni ndo kukuta zigo la simuuuu. Limemwagwaaa! Mpyaaaa! Sealed! Wanaongea kisomali tu. Nikamwamvia hapa tunachukua Infinix, Huwawei na Tecno. Kuna Iphone 6 plus bikawa nimeielewa hatariii. Nikaiacha kukwepa tamaaa. Akalipia. Akaamviwa sababu yeye wanampa simu za 8m. 4 kalipa na 4 atadaiwa. Akaanza kusitaaa. Nikamwamjibia sawaaa. Nikamuona machale yanavo mchezaaa.

Nikajua mzigo tunqonfoka nao,akasema mzigo mtaukuta Dar. Kusafirisha nyie ni hasaraaaa. Tukarudi hotelini. Nikasema ndo maana wenzetu wanaendelea sanaa. Basi hapo akawa ndo kaamini kama kweli nimempa ile million 4 nahisi alijua naongeaa tu siki ua kutoa sababu kibaoooo. Show yake sasa nilifurahi mwenyeweeee.

Wanaume kama wanawakeeee! Mwanaume akiwa anakupa kupa pesa hata kama ni mbayaaa utaanza tu kumpendaaa. Na wanaume hivohivo ukiwapa pesaa unawavurugaaaa kabisaaaa.

Tumerudi dar, mzigo tukaukuta dukani, nikaenda nao home. Kununua rahisiii, kimbembe cha biashara ni kuuza sasa. Akaanza kupabic upyaaa. Nikamwambia tulia wewe. Fungua face book page. Nenda kariakooo, mlimani city tigo shop na voda shop angalia kama hizi simu zipo na bei wa!esimamishajeee.

Akaja akaniambiaaa. Infinix ikawa hamnaaa! Nikamwambia sasa post face book na insta afu vunja bei! Na andika hupati bei kokote. Warranty mwaka. Tukapost na Kuapatana, Zoom site zote za classified. Ikawa usikuuu sanaaa!

Kesho nimetoka akanipigia kuna wateja watatu wamepiga wanataka simu kawapelekea wamelipia. Jioni nikaja na dogo langu Sia liko UD jioni, nikaliambia post kwenye group za chuoni simu bei poaa ziko. Waambie na shoga zako qa Muhimbili, Imtu, IFM wapost nao. Ataepata bei chini ya hizi tunampa simu bureee.

Nikampa na posters akabandike chuoni. Hussein apite vyuo vyote abandikeee. Na mimi bikapost group zangu zote shemeji yenu ana mzigo wa simu. Nisaidieni kupost group za kazini kwenu hukooo.

Kesho asubuhiii simu iliita kwa fujooo, oda zinaingiaaaa. Kwa fujoooo. Siku hio pekeee tuliuza simu 35. Hussein hakuaminii. Usiku nahisi kichwani mwake aliamua huyu mwanamke namuoaaaa! Heheheeeee! Sio kwa mapenzi yaleeee. Hela imekubaliii. Siku inayofata mzigo umekwishaaa! Hussein analeta tamaaa kapanic! Inakuwajeee. Tunafanyaje! Watu Simu wanataka mzigo umekwishaaa woote.

Nikaanza kuchukia odaaaaa, mzigo unaingia wiki ijayo. Tulichukua oda za million 20. Nikamwambia Hussein basi. Waru wanataka kulipia cash. Nikamwambia tusipokee cash kwanza tutafungwaaa. Nenda Nairobi kafate simu fastaaa. Alikuwa na million 20. 4 tunadaiwa hio 16 ya kuchukua simu.

Zikapita siku 3 hajarudiiii! Nikaamua kumfata huko huko Nairobiii. Nikaenda ile nyumna qakanitilia ngumu kuingiaaa. Nikaka pale pale. Kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 2 usiku. Uncle akawaambia niingie. Niakmwambia Hussein yuko wapi? Simu tumemalizaaa na alitakiwa aje alipw na kuchukua mzigooo. Uncle alishangaa zimeishaa zoote? Ndio.

Akasema Hussein hajaja! Ila yeye atamtafuta. Mi nikalipa deni million 4 toka kwenye pesa zangu zingineee. Na kuchukua mzigo wa million 10, akanipa wa million 30. 20 mkopo. Kama kawaida nitaukuta Dar.

Nimefika Dar uncle akanipigia Hussein yupo ana randa randa Nairobi, anaogopa kurudi kwako. Sababu pesa yote alienda kuhonga dada yake alikamatwa South alikuwa anataka kwenda marekani kwa passport ya mtu. Kafika Nairobi kapigiwa hio simu. Sasa wazazi hawana na yeye ndo kaka peke yake. Akaambiwa apeleke pesaa. Bila hivo anafungwa mda mrefuuu.

Niakmwambia mwambie arudi nyumbaniii. Deni la million 20 linamngoja huku mi peke yangu naelemewa. Akawa kaja na mdogo wake, hana pa kuishi huyo mdogo wake. Anataka kujielezea nikamwambia dili kwanza na hizo whatsup na kusukuma hili zigo. Unadaiwa million 20 na uncle wako. Na mimi nakudai million 10 hizo na 4 nilizokulipa deni kwa uncle wako. Jumla unadaiwa million 34.

Sasa mdogo wake yupo, Husseon ni mkaliii mkaliii kwa mdogo wake sijapata ona. Kwanza akataka aje dukani. Nikagoma sababu asije. Tongozwa akatuchinja woote. Kazi ya duka kazi ya umalayaaa. Nikamwambia fanya nae mwenyewe kwenye simu.

Simu zikawa zinatembeaaa hatariii. Wanafunzi wanachukuaaa sanaaa. Na infinix tukapata mpaka wateja wa jumlaaa. Mzigooo wikiii tu umepwayaaa! Infinix hazipooo kabisaa, Na hela ishaonekanaa karibia Million 45 na bado mzigo upo.

Dada analindwaaa hatoki nje ya geti. Ni kukaa ndani kupokea oda. Hussein ndo ku deliver na kuchukua cash. Mechi tumesimamishaa kabisaaaa. Kwanza mdogo wake yupooo! Chumbani nimemfukuzaaa kabisaaa. Na kila siku usiku natokaaaa narudiii karibia kukuche. Hasira zangu anamaliziwa mdogo wake.

Eva akaja tena na mumewe, nasikia Hussein anauza simu tena ana mtaji mkumbwa, na Nadya yupo huku huku Dar. Hao wasomali unavowaficha kwako wakifa utawala nyamaaa nakuuliza wewe Sally! Mi kimyaaaa! Mume wa Eva kagomba kagombaaa weee.

Akaja Eva, peke yake tenaaa! Nikamwambia sababu umeniomba nitamwambia Hussein aje na Nadya. Akasema njoo na wewe pia, ndugu wakujue. Bikasema mimi sio msomali.

Siku hio sikutokaaa, nikawa naangalia hesabu za simu, nikamwambia inabidi ufate simu, sio kungoja mzigo uishe wote. Na ndugu zako wanakitafuteniiii. Wamekuja tenaaa fanya uendeeee. Kama hutaki mpeleke Nadya kuna leo na kesho wasije kumsusa siku umepata matatizo.

Wakawa wameenda, Nadya akabakia huko huko kwa Eva. Hussein karudi kesho aende Nairobi. Na mimi kesho kutwa yake naenda China na turkey na Tahailand route kama ya mwezi mzimaaa.

Karudi akawa kaamua kabisaa leo lazima ale mzigooo, na mimi nishaamua leo mzigo sitoiiiiii! Nasemaje sitoiiiii! Anaanza mbali kujielezea na mimi naitikia tu. Nikamuaga usiki mwemaaa. Hakuamini. Akaja kugonga kuna swali kidogo nataka kukuuliza.

Nikamfungulia mlango, Ananidakaa juu juu na mabusuuuu. Nilimisiii sio kidogo ndugu msomajiii ila ligi ilikuwa sina budi kuiendelezaaa. Nikamstopishaaa. Nikamwambia kuwa na amaniiii! Mimi na wewe sahivi ni kama ndugu. Bila hata sex tunaweza kufanya mambo makubwaa ya kibiasharaaa! Usifikir sabavu hunakziii ndo basi walaaa! Kuwa na amaniii.

Anaombaaaa anaombaa mpaka anaongea kisomaliiii. And it was nice to see him beg for it. Wanaume hawa wakipata pesa wanakuaga jeuriiii hatariii. Nikaamua kumpaaa tu, aliomba sanaaaa! Tukapiga mechi moja hatariiiii. Nahisi kesho alienda Nairobi mwepesiiiii. Na mimi nikasafiri mwepesiiii kabisaaa.

ITAENDELEA KESHO SAA 4 USIKJ
 
Back
Top Bottom