Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Niliona nikasema sitii neno mie nisije kusutwa. Nilijua tutakutana uwanja wa nyumbani. Hahahahaaaa isijeikawa kana ndio espy

Nilijua tu ule uzi hauna muda mrefu utafungwa.
Eti umesema KANA ndo Espy?


Ila huyo Shunie mkorofi kinoma, kuna vichochoro hua namkuta. Hata huyo Auntie yake na yeye namuonaga sehemu sehemu!

Sasa Shunie, unatumiwa nauli alaf unaingia mitini wakati mtu ashakula vumbi la Congo?


Tugawane bas



- KANA -
 
Sikuwepo nafikiri,
Hiyo ilikuwa jioni haukuepo bada ya ile michambo kuanza mzonga wewe ni jinsia ipiii akasema msiniharibie interview yangu bada ya mda kaja na i'd ya kiume huyu anayetumia jina la shunie kanitapeli hela ya nauli nilimtumia bada ya kumtongoza naweka ushahidi nikamwambia wekaaa na kila kitu akaweka picha huyu ndio shunie jaman kanitapeli hela ya nauli hizo picha sasa nikamwambia hivi umeamua kunifannanisha na vitu vya kijinga kwa nini ebu nitake radhi jaman ilikua balaa
 
Mie kubishana siwezi, sasa wewe na kikosi chako sio tu kwamba mliweza kubishana, ile ilikua mipasho na micha nini sijui mnajua wenyewe, mtu mwenyewe sasa, mzaramo na mndigo sijui mndengereko ....cuzoooo hahahahaaa
mzaramo alituchamba yule tulienda nae sambamba akaamua kumaliza na i'd yake ya kiume
 
Eti umesema KANA ndo Espy?


Ila huyo Shunie mkorofi kinoma, kuna vichochoro hua namkuta. Hata huyo Auntie yake na yeye namuonaga sehemu sehemu!

Sasa Shunie, unatumiwa nauli alaf unaingia mitini wakati mtu ashakula vumbi la Congo?


Tugawane bas



- KANA -
naanzaje mie kuomba nauli humu jf kila sehemu kutakua na bango kuhusu shunie mm ni kapole sema wananichokoza wenyewe ujue
 
Hiyo ilikuwa jioni haukuepo bada ya ile michambo kuanza mzonga wewe ni jinsia ipiii akasema msiniharibie interview yangu bada ya mda kaja na i'd ya kiume huyu anayetumia jina la shunie kanitapeli hela ya nauli nilimtumia bada ya kumtongoza naweka ushahidi nikamwambia wekaaa na kila kitu akaweka picha huyu ndio shunie jaman kanitapeli hela ya nauli hizo picha sasa nikamwambia hivi umeamua kunifannanisha na vitu vya kijinga kwa nini ebu nitake radhi jaman ilikua balaa
Haha msamehe tu bure, itakuwa mlimkomalia sana so akaona bora akusingizie na wewe. Dooh kumbe ni dume?
 
Haha msamehe tu bure, itakuwa mlimkomalia sana so akaona bora akusingizie na wewe. Dooh kumbe ni dume?
kanisingizia nimemtapeli linamo anamwambia ungefanya uchunguzi kwanza kuhusu shunie halaf ndio ungekuja kuongea utumbo wako kakutapeli wapi na uweke hapa muamala text na chat za pm hatuondokiiii kabaki kutuma picha za kijijini za ndg zake wanaume wanamwambia umetumaje nauli kwa demu wa hivyo basi we sio mzima sio mwanamke wa kutuma nauli huyo
 
Eti umesema KANA ndo Espy?


Ila huyo Shunie mkorofi kinoma, kuna vichochoro hua namkuta. Hata huyo Auntie yake na yeye namuonaga sehemu sehemu!

Sasa Shunie, unatumiwa nauli alaf unaingia mitini wakati mtu ashakula vumbi la Congo?


Tugawane bas



- KANA -

Mimi nilivyo mpole hivi!!! Acha kunisingizia.
 
kanisingizia nimemtapeli linamo anamwambia ungefanya uchunguzi kwanza kuhusu shunie halaf ndio ungekuja kuongea utumbo wako kakutapeli wapi na uweke hapa muamala text na chat za pm hatuondokiiii kabaki kutuma picha za kijijini za ndg zake wanaume wanamwambia umetumaje nauli kwa demu wa hivyo basi we sio mzima sio mwanamke wa kutuma nauli huyo
Hahhaa hizo picha hukuzisave, maana sizipatii picha kabisaaa
 
Hiyo ilikuwa jioni haukuepo bada ya ile michambo kuanza mzonga wewe ni jinsia ipiii akasema msiniharibie interview yangu bada ya mda kaja na i'd ya kiume huyu anayetumia jina la shunie kanitapeli hela ya nauli nilimtumia bada ya kumtongoza naweka ushahidi nikamwambia wekaaa na kila kitu akaweka picha huyu ndio shunie jaman kanitapeli hela ya nauli hizo picha sasa nikamwambia hivi umeamua kunifannanisha na vitu vya kijinga kwa nini ebu nitake radhi jaman ilikua balaa
Yaani antie hata kunitumia hata buku 50 tu na mimi ukaona nitafaidi sana!!!
 
124ae541fd2aedc4366374bd71dfeaa6.jpg
Hhahahahahaahhahahahaahahhaahahaahaahahahhahahhahaaha. Hivi hiyo ni lipstick?
 
Back
Top Bottom