Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Aaaaah! Hata sikukadirii. Nimekuvulia kofia ujue.
jamaan kwa nini lakini nimekosea nini
Aaaaah! Hata sikukadirii. Nimekuvulia kofia ujue.
jamaan kwa nini lakini nimekosea nini![]()
![]()
![]()
jamaan kwa nini lakini nimekosea nini
kwa nini haujanitoa lakini
Ila kumshabikia msomali roho ilikuwa kubwa eti!!
Basi tufanye hivii, niletee ubuyu ndoo nzima then tutamaliza tofauti zetu.Kuna kitu unanitafuta sio bure. Uadui gani huo hauishi?
MweeeeeeeeeehMie kubishana siwezi, sasa wewe na kikosi chako sio tu kwamba mliweza kubishana, ile ilikua mipasho na micha nini sijui mnajua wenyewe, mtu mwenyewe sasa, mzaramo na mndigo sijui mndengereko ....cuzoooo hahahahaaa

Basi utakuwa team MOTP tu wewe!!!Msomali hiyo si changamsha genge tu rafiki. Mpira na siasa ni msisha halisi, na kweli sina team kabisaaaa.
Eti umesema KANA ndo Espy?
Kuna kitu unanitafuta sio bure. Uadui gani huo hauishi?




mnanifurahisha sana na auntie yangu
Hiyo ilikuwa jioni haukuepo bada ya ile michambo kuanza mzonga wewe ni jinsia ipiii akasema msiniharibie interview yangu bada ya mda kaja na i'd ya kiume huyu anayetumia jina la shunie kanitapeli hela ya nauli nilimtumia bada ya kumtongoza naweka ushahidi nikamwambia wekaaa na kila kitu akaweka picha huyu ndio shunie jaman kanitapeli hela ya nauli hizo picha sasa nikamwambia hivi umeamua kunifannanisha na vitu vya kijinga kwa nini ebu nitake radhi jaman ilikua balaaSikuwepo nafikiri,
Ahahhaha nimeshapoa auntie yanguHahahaaaaa!! Pole sana antie yangu.
Mie kubishana siwezi, sasa wewe na kikosi chako sio tu kwamba mliweza kubishana, ile ilikua mipasho na micha nini sijui mnajua wenyewe, mtu mwenyewe sasa, mzaramo na mndigo sijui mndengereko ....cuzoooo hahahahaaa







mzaramo alituchamba yule tulienda nae sambamba akaamua kumaliza na i'd yake ya kiume
Nakutoaje sasa, hadi nikaanza kuwa na wasiwasi au kweli wewe ni me?








nimecheka sana aiseee nakuwaje me jaman nimeumbwa ke au nikuje huko unione
Eti umesema KANA ndo Espy?
![]()
![]()
![]()
![]()
Ila huyo Shunie mkorofi kinoma, kuna vichochoro hua namkuta. Hata huyo Auntie yake na yeye namuonaga sehemu sehemu!
Sasa Shunie, unatumiwa nauli alaf unaingia mitini wakati mtu ashakula vumbi la Congo?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tugawane bas
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
naanzaje mie kuomba nauli humu jf kila sehemu kutakua na bango kuhusu shunie mm ni kapole sema wananichokoza wenyewe ujueHaha msamehe tu bure, itakuwa mlimkomalia sana so akaona bora akusingizie na wewe. Dooh kumbe ni dume?Hiyo ilikuwa jioni haukuepo bada ya ile michambo kuanza mzonga wewe ni jinsia ipiii akasema msiniharibie interview yangu bada ya mda kaja na i'd ya kiume huyu anayetumia jina la shunie kanitapeli hela ya nauli nilimtumia bada ya kumtongoza naweka ushahidi nikamwambia wekaaa na kila kitu akaweka picha huyu ndio shunie jaman kanitapeli hela ya nauli hizo picha sasa nikamwambia hivi umeamua kunifannanisha na vitu vya kijinga kwa nini ebu nitake radhi jaman ilikua balaa
Haha msamehe tu bure, itakuwa mlimkomalia sana so akaona bora akusingizie na wewe. Dooh kumbe ni dume?




kanisingizia nimemtapeli linamo anamwambia ungefanya uchunguzi kwanza kuhusu shunie halaf ndio ungekuja kuongea utumbo wako kakutapeli wapi na uweke hapa muamala text na chat za pm hatuondokiiii kabaki kutuma picha za kijijini za ndg zake wanaume wanamwambia umetumaje nauli kwa demu wa hivyo basi we sio mzima sio mwanamke wa kutuma nauli huyoEti umesema KANA ndo Espy?
![]()
![]()
![]()
![]()
Ila huyo Shunie mkorofi kinoma, kuna vichochoro hua namkuta. Hata huyo Auntie yake na yeye namuonaga sehemu sehemu!
Sasa Shunie, unatumiwa nauli alaf unaingia mitini wakati mtu ashakula vumbi la Congo?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tugawane bas
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Hahhaa hizo picha hukuzisave, maana sizipatii picha kabisaaakanisingizia nimemtapeli linamo anamwambia ungefanya uchunguzi kwanza kuhusu shunie halaf ndio ungekuja kuongea utumbo wako kakutapeli wapi na uweke hapa muamala text na chat za pm hatuondokiiii kabaki kutuma picha za kijijini za ndg zake wanaume wanamwambia umetumaje nauli kwa demu wa hivyo basi we sio mzima sio mwanamke wa kutuma nauli huyo
Yaani antie hata kunitumia hata buku 50 tu na mimi ukaona nitafaidi sana!!!Hiyo ilikuwa jioni haukuepo bada ya ile michambo kuanza mzonga wewe ni jinsia ipiii akasema msiniharibie interview yangu bada ya mda kaja na i'd ya kiume huyu anayetumia jina la shunie kanitapeli hela ya nauli nilimtumia bada ya kumtongoza naweka ushahidi nikamwambia wekaaa na kila kitu akaweka picha huyu ndio shunie jaman kanitapeli hela ya nauli hizo picha sasa nikamwambia hivi umeamua kunifannanisha na vitu vya kijinga kwa nini ebu nitake radhi jaman ilikua balaa
Hhahahahahaahhahahahaahahhaahahaahaahahahhahahhahaaha. Hivi hiyo ni lipstick?