Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Eeeeh utausubiri sanaKama MOTP ndio anafasilitate basi nimeghairi, nawaacha wafu wazikane wao kwa wao.
Ubuyu si ulisema unamtumia dota wangu Heaven Sent then mie taupata?
Eeeeh utausubiri sanaKama MOTP ndio anafasilitate basi nimeghairi, nawaacha wafu wazikane wao kwa wao.
Ubuyu si ulisema unamtumia dota wangu Heaven Sent then mie taupata?
Auntie najuaga hupendi hizo mambo za umbea bora hata ndugu yake msomali huwa namuona ona Heaven Sent ilikuwa balaa aisee eti nimemtapeli hela ya nauli nikamwambia nilikutapeli ndotoni mana pm nina mwaka situmii nikamwambia weka uthibitisho wa muamala na pm chatting anaweka picha zake za ndugu yake wa kijijini muoneni shunie jaman woiiii watu wanatumia I'd mbili na zote za jinsia yako ukipigwa ban moja unakuja na nyingine wengine ndio kama hivyo huku ana ya kike na kiume jinsia yake haieleweki ukimuuliza anakujia na I'd ya jinsia nyingine kukutukana
Mwe mwe mweeeeh!!! ! Antie ubuyu unaokuhusu na mimi unanihusu. Ungeniita niliamshe dude maana sitaki ujinga kwa familia yangu.Auntie najuaga hupendi hizo mambo za umbea bora hata ndugu yake msomali huwa namuona ona Heaven Sent ilikuwa balaa aisee eti nimemtapeli hela ya nauli nikamwambia nilikutapeli ndotoni mana pm nina mwaka situmii nikamwambia weka uthibitisho wa muamala na pm chatting anaweka picha zake za ndugu yake wa kijijini muoneni shunie jaman woiiii watu wanatumia I'd mbili na zote za jinsia yako ukipigwa ban moja unakuja na nyingine wengine ndio kama hivyo huku ana ya kike na kiume jinsia yake haieleweki ukimuuliza anakujia na I'd ya jinsia nyingine kukutukana
kumbe ulipita nilikua na carba kuna boya tulikua tunaliuliza maswali kumbe tumemuuzi akaja na i'd yake ya pili eti nimemtapeli hela ya nauli akaweka na picha zake ndio shunie mimi mpaka uzi umefungwa
Mwe mwe mweeeeh!!! ! Antie ubuyu unaokuhusu na mimi unanihusu. Ungeniita niliamshe dude maana sitaki ujinga kwa familia yangu.
Rafiki story nyingine ikija ukawa upande wa UKAWA basi ujue tofauti zetu hazitokufa. Unless uwe tu upande wangu.Kwa hiyo mimi sio familia yako? Tumeshazika Msomali naomba tofauti zetu nazo tuzizike rafiki.
Mie yanga hope wewe ni simba lasivyo nahama team.
Na mm nipo upande upi hapooo
Ila kumshabikia msomali roho ilikuwa kubwa eti!!Mie nna roho ndogo sana, kushabikia mpira au chama cha siasa siwezi. Sina team wala kadi ya chama. Nafurahia maisha tu.
Ahahhhh hivi jana ulirudi bada ya hali ya hewa kubadirikaHahha pole sana jamani, nimecheka kama mazuri





Mwe mwe mweeeeh!!! ! Antie ubuyu unaokuhusu na mimi unanihusu. Ungeniita niliamshe dude maana sitaki ujinga kwa familia yangu.







Auntie ya jana kiboko tulikuepo na kina linamo sakayo na carba yule mtu hapana si kwa kuniwekea picha za ndg zake wa chato na kusema ni shunie
Kwa hiyo mimi sio familia yako? Tumeshazika Msomali naomba tofauti zetu nazo tuzizike rafiki.








Yaani wewe sijui una nini nami, unanitoleaga mfano kwenye mambo ya ajabu ajabu tu. Adhabu yako nataka ndoo nzima ya ubuyu.






Rafiki story nyingine ikija ukawa upande wa UKAWA basi ujue tofauti zetu hazitokufa. Unless uwe tu upande wangu.
Rafiki story nyingine ikija ukawa upande wa UKAWA basi ujue tofauti zetu hazitokufa. Unless uwe tu upande wangu.







Sikuwepo nafikiri,Ahahhhh hivi jana ulirudi bada ya hali ya hewa kubadirika![]()
Hahahaaaaa!! Pole sana antie yangu.Auntie ya jana kiboko tulikuepo na kina linamo sakayo na carba yule mtu hapana si kwa kuniwekea picha za ndg zake wa chato na kusema ni shunie