Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Auntie najuaga hupendi hizo mambo za umbea bora hata ndugu yake msomali huwa namuona ona Heaven Sent ilikuwa balaa aisee eti nimemtapeli hela ya nauli nikamwambia nilikutapeli ndotoni mana pm nina mwaka situmii nikamwambia weka uthibitisho wa muamala na pm chatting anaweka picha zake za ndugu yake wa kijijini muoneni shunie jaman woiiii watu wanatumia I'd mbili na zote za jinsia yako ukipigwa ban moja unakuja na nyingine wengine ndio kama hivyo huku ana ya kike na kiume jinsia yake haieleweki ukimuuliza anakujia na I'd ya jinsia nyingine kukutukana

Hahha pole sana jamani, nimecheka kama mazuri
 
Auntie najuaga hupendi hizo mambo za umbea bora hata ndugu yake msomali huwa namuona ona Heaven Sent ilikuwa balaa aisee eti nimemtapeli hela ya nauli nikamwambia nilikutapeli ndotoni mana pm nina mwaka situmii nikamwambia weka uthibitisho wa muamala na pm chatting anaweka picha zake za ndugu yake wa kijijini muoneni shunie jaman woiiii watu wanatumia I'd mbili na zote za jinsia yako ukipigwa ban moja unakuja na nyingine wengine ndio kama hivyo huku ana ya kike na kiume jinsia yake haieleweki ukimuuliza anakujia na I'd ya jinsia nyingine kukutukana
Mwe mwe mweeeeh!!! ! Antie ubuyu unaokuhusu na mimi unanihusu. Ungeniita niliamshe dude maana sitaki ujinga kwa familia yangu.
 
kumbe ulipita nilikua na carba kuna boya tulikua tunaliuliza maswali kumbe tumemuuzi akaja na i'd yake ya pili eti nimemtapeli hela ya nauli akaweka na picha zake ndio shunie mimi mpaka uzi umefungwa

Niliona nikasema sitii neno mie nisije kusutwa. Nilijua tutakutana uwanja wa nyumbani. Hahahahaaaa isijeikawa kana ndio espy

Nilijua tu ule uzi hauna muda mrefu utafungwa.
 
Mwe mwe mweeeeh!!! ! Antie ubuyu unaokuhusu na mimi unanihusu. Ungeniita niliamshe dude maana sitaki ujinga kwa familia yangu.
Auntie ya jana kiboko tulikuepo na kina linamo sakayo na carba yule mtu hapana si kwa kuniwekea picha za ndg zake wa chato na kusema ni shunie
 
Back
Top Bottom