- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,088
- 10,552
![]()
![]()
naanzaje mie kuomba nauli humu jf kila sehemu kutakua na bango kuhusu shunie mm ni kapole sema wananichokoza wenyewe ujue
- KANA -
![]()
![]()
naanzaje mie kuomba nauli humu jf kila sehemu kutakua na bango kuhusu shunie mm ni kapole sema wananichokoza wenyewe ujue
Yaani antie hata kunitumia hata buku 50 tu na mimi ukaona nitafaidi sana!!!






auntie kwa hela ipiii jaman labda aliniota ndotoniLabda kama neno "mpole" lina maana nyingine siku hizi![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mimi nilivyo mpole hivi!!! Acha kunisingizia.
Hhahahahahaahhahahahaahahhaahahaahaahahahhahahhahaaha. Hivi hiyo ni lipstick?








alinikosea sana jaman bora angetafuta hata picha nyingine
Kweliii KANA ujue yaan me ni kapole basi tu wananichokoza wenyewe.![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -


Loooooh hapanaalinikosea sana jaman bora angetafuta hata picha nyingine
Loooooh hapana




Jana nilicheka sana jaman wanaume wenzie wanamwambia huyo ndio mwanamke wa kumtumia nauli we wapi anasema hizo ndio picha zake shunie nikiongea nae kwenye video callHaha nilimiss ubuyu kwa kweli. Eti video call mweeehJana nilicheka sana jaman wanaume wenzie wanamwambia huyo ndio mwanamke wa kumtumia nauli we wapi anasema hizo ndio picha zake shunie nikiongea nae kwenye video call
Basi na mimi ngoja nikutumie nauli nione kama wanakusingizia!Kweliii KANA ujue yaan me ni kapole basi tu wananichokoza wenyewe.![]()
Aaah antie yangu mwenyewe huyo!!
Maana ile ile ya siku zote.Labda kama neno "mpole" lina maana nyingine siku hizi
- KANA -
KANA jamaan![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nahisi hela ya nauli ndo ulienda kununua lipstick!
- KANA -

Wewe kweli ni kapoleKweliii KANA ujue yaan me ni kapole basi tu wananichokoza wenyewe.![]()

Hapana jaman sitaki kabisa hizo mambo tena humu jf napaogopa kama ukomaBasi na mimi ngoja nikutumie nauli nione kama wanakusingizia!
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
nimecheka sana aiseee nakuwaje me jaman nimeumbwa ke au nikuje huko unione
Kweliii auntie jaman au naongopaWewe kweli ni kapole
![]()
![]()
![]()
