- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,088
- 10,552
Weeeee usiniletee balaaa rafiki, Lee utamuacha wapi wakati unakuja nijiridhishe kwamba kweli wewe ni ke?
Au unataka kuongeza msiba kwa tesm Shabaaab?
And yet mkwe wangu lee hukumuogopa!!!Hapana jaman sitaki kabisa hizo mambo tena humu jf napaogopa kama ukoma
Weeeee usiniletee balaaa rafiki, Lee utamuacha wapi wakati unakuja nijiridhishe kwamba kweli wewe ni ke?
Au unataka kuongeza msiba kwa tesm Shabaaab?





nakuja nae Lee wangu jaman ulifkili atakubali kuniruhusu nikuje mwenyewe baba yeyooTena ole wako!!!Weeeee usiniletee balaaa rafiki, Lee utamuacha wapi wakati unakuja nijiridhishe kwamba kweli wewe ni ke?
Au unataka kuongeza msiba kwa tesm Shabaaab?
Antie unaongopa kidogo tu, sio sana.Kweliii auntie jaman au naongopa![]()
Auntie jaman huyo mkweo ujue tulipoanza mpaka tulipofikia ujue tumepitia mengiAnd yet mkwe wangu lee hukumuogopa!!!



Hata kana mtapitia mengi tu hadi mfike huko.Auntie jaman huyo mkweo ujue tulipoanza mpaka tulipofikia ujue tumepitia mengi![]()
Ebu ngoja nimuulize Lee ye ndio anajua auntie kama me mpole au ahahhah eti auntie naongopa sana jamaanAntie unaongopa kidogo tu, sio sana.

Hauongopi sana auntie, unaongopa kidogo tu.Ebu ngoja nimuulize Lee ye ndio anajua auntie kama me mpole au ahahhah eti auntie naongopa sana jamaan![]()

Hata kana mtapitia mengi tu hadi mfike huko.
Hivi kweli ni mkwe wangu kiukweli kweli au kijf jf?







Auntie leo umevuta cha wapi
Hata kana mtapitia mengi tu hadi mfike huko.
Hivi kweli ni mkwe wangu kiukweli kweli au kijf jf?
Leo nimevuta mbichi kabisa, yaani najisikia niko kwenye kamati ya majadiliano ya makinikia.Auntie leo umevuta cha wapi
Veeeep KANA macho kodo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
We bazazi kaa mbali na antie yangu!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Leo nimevuta mbichi kabisa, yaani najisikia niko kwenye kamati ya majadiliano ya makinikia.
Haujanijibu alafu, usijifanye mjanja!!








natamani umuulize mwenyewe nicheke tu jibu lake
Sijamuelewa auntie ujue na hayo macho yakeWe bazazi kaa mbali na antie yangu!!