Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,410
- 176,316
Mie nilikuwa namtetea nikimuona wa maana kumbe garasa tu. Just let her be my dear.Aisee hivi watu wanakosaga ya kuongea ujue bada waongee mapenzi yao wanaanza kudanganyana
Mie nilikuwa namtetea nikimuona wa maana kumbe garasa tu. Just let her be my dear.Aisee hivi watu wanakosaga ya kuongea ujue bada waongee mapenzi yao wanaanza kudanganyana
Yaan ulivyokua unajitoa auntie kwa kumtetea acha tu tuwaacheMie nilikuwa namtetea nikimuona wa maana kumbe garasa tu. Just let her be my dear.
Yaan ulivyokua unajitoa auntie kwa kumtetea acha tu tuwaache
Ahahh naona ule uzi umefutwa baba yeyooAunt unae
Ahahh naona ule uzi umefutwa baba yeyoo
Utalifuatiliaje baba yeyoo jamaan ujue unanitishaLakini ntafuatilia zaidi hilo sakata, inaonekana kuna maslahi ya watu yanaguswa kule. Acha tubaki hukuhuku JF where we dare to talk, write, speak and think openly!
Ikiendelea uniite...Mie nilikuwa namtetea nikimuona wa maana kumbe garasa tu. Just let her be my dear.
Sawa mpendwa, ngoja tusubiri lara atoke mlimani kusali.
ahsante binamuSawa mpendwa, ngoja tusubiri lara atoke mlimani kusali.