Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Yani huyu mwanamke ni kiburi + bandidu si kwa kutupiga pipe ya akili sisi kiasi hiki. Dawa yako ipo na kwenye hili naomba back up ya team Dee wote...
Cc KANA
 
Yani huyu mwanamke ni kiburi + bandidu si kwa kutupiga pipe ya akili sisi kiasi hiki. Dawa yako ipo na kwenye hili naomba back up ya team Dee wote...
Cc KANA

Hapa naona team zote zitamgeuka. Ila tatizo lara 1 ndio Kubwa La Maadaui, Mamaa Betina, Komando kipensi, Mamaa Fitna full figisufigisu
 
Igweeeeeeeeeeee
Basi bwana ndugu wasomaji Kama mnavyojua tena alshababu hafungwi , siku ile B alivyovuruga mipango si mnakumbuka alitegua bomu? machale yalinicheza, nikasema sikamatwi kipuuzi, nikakodisha private jet nikamchukua huddah na Sally tukatokomea Dubenga, nilisha establish mabziness kibao huku kwahiyo mambo yakawa bwerere tu.
Baba mkwe alifungwa bila hata kufunguliwa kesi bahati nzuri hakunitaja kabisa, sisi watu wa kazi hatutajani, basi ikaenda ikaenda nikapata email ya winnie kuwa Dee amekondeana kwa ngwengwe, nilivyomuonesha Sally alisindikiza ile habari na matusi mazito mno Ndugu msomaji siwezi hata kuyaandika. Kwasasa namuona Sally anatapika tapika ovyo nadhani amembeba mdogo wake huddah, basi inshallah sisi maisha yetu huku mazuri japo nina kawasiwasi kidogo. MWISHO

TEH TEH TEH yaani timu msomali, lala akiisoma hii mtakaangwa na mlie . Timu Dee thank me later!


Hii inaitwa kifuatacho ITV

- KANA -
 
Yani huyu mwanamke ni kiburi + bandidu si kwa kutupiga pipe ya akili sisi kiasi hiki. Dawa yako ipo na kwenye hili naomba back up ya team Dee wote...
Cc KANA
Tumeshaunda tume, fanani akizingua tunaenda mahakamani kama Odinga!

- KANA -
 
Inakera character from nowhere ndo inakuja kupata mzigo, nikama watu wamekimbia Marathon 20 km af 19km anatokea kusikojulikana MTU Tu na kuchukua kombe, ngempa yule alirjitahidi japo.
Halafu nishaona Lara unamalizia story kulingana na teams n comments Ila rectify that kua na plan kabisa ya story itaishaje nomatter what, kuna feeling flani unapata main xter anaposhinda. Beautiful story ila sijaona ilipomtukuza mungu mana ulianza kwa kusema hivyo
Hiyo ni analysis yangu, mtizamo Tu.
Pamoja sana Lara 1

Sent using Jamii Forums mobile app
B yupoo kuna episode moja bwana wa Sally alifungwa akabaki mpweke nadhani ndo akatokea dee uyo aliyefungwa bila shaka ndo B kama sijakosea
 
Back
Top Bottom