Weekend Story! Glory Be To God!

Weekend Story! Glory Be To God!

Haha me nakuwa honest bana, siwezi kumtetea pa kumtelekeza mtoto wake, ni mpumbavu sana. Sally anamuomba mtaji anamnyima while ndiye aliyemtoa k/koo, bado mtaji huo huo ungetumika kuendeshea maisha ya mwanae. Kuna kitu nilitaka kusema ila lara atageuza gear angani teh
Hii comment kama sio wewejamani msomali wenu mzee wa FP mnamkana
 
Eeehh maliq tena??

Sasa si afadhali kuondoa utata wa mtoto wa kisomali? Sasa Sally akiolewa na Mndekereko nywele za kipilipili kama Samaritan huku mtoto wa kisomali si ndio itaendelea kumsumbua maisha yote? Bora Malik anausomali na atakua na uchungu na mtoto. Si unaona na yeye mambo yashaanza kusetiwa kimtindo?
 
Sasa si afadhali kuondoa utata wa mtoto wa kisomali? Sasa Sally akiolewa na Mndekereko nywele za kipilipili kama Samaritan huku mtoto wa kisomali si ndio itaendelea kumsumbua maisha yote? Bora Malik anausomali na atakua na uchungu na mtoto. Si unaona na yeye mambo yashaanza kusetiwa kimtindo?
Maliq asijaribu kumtamani sally acha sally aendelee na maisha yake tu kwakwel
 
Mmesahau miluzi mingi inampoteza mbwa? Tunachofanya hapa ni kumchanganya fanani tu. KLM anaweza kupiga tukio wote tukaomba sub hadi refa na washika kibendera wote. Usicheze na mabomu ya komando kipensi
hapa kama anasoma hizi comments naona ataandaa mijeredi kabisa aje kutukomoa tu,huyu director siye kabisa
 
Back
Top Bottom