carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,616
Hata mimi nimeshindwa kumuelewa kwakweliUlivyomkataa msomali
![]()
![]()
![]()
![]()
Kam sio wewe vile uliekua unashangilia full picture!
- KANA -
Wanamkana msomali


utasikia wanahamia team sallyHata mimi nimeshindwa kumuelewa kwakweliUlivyomkataa msomali
![]()
![]()
![]()
![]()
Kam sio wewe vile uliekua unashangilia full picture!
- KANA -


utasikia wanahamia team sallyHii comment kama sio weweHaha me nakuwa honest bana, siwezi kumtetea pa kumtelekeza mtoto wake, ni mpumbavu sana. Sally anamuomba mtaji anamnyima while ndiye aliyemtoa k/koo, bado mtaji huo huo ungetumika kuendeshea maisha ya mwanae. Kuna kitu nilitaka kusema ila lara atageuza gear angani teh



jamani msomali wenu mzee wa FP mnamkana


Eeehh maliq tena??Sally lazima aolewe na Msomali, iwe Hussein au Maliki lakini haendi zaidi ya hapo.
Ila hii kutajwa tajwa Tonny kwamba amebaki Single hakunipi amani sana.
Kwanza kabisa nmechelewa pili sina cha Ku comment tatu nichagulieni tusi la kumpa msomali



yaani wewe na Heaven Sent mlikua mnaninyima raha humu

Eeehh maliq tena??
Badili gear angani uone kama dude kama halijaisha bila muelekeoKwani wasomaji ni marufuku kubadili gear angani?
Nasubiri bakora za sally tu
Wameishia kumtolea mitusi msomali wao!Yaani ni bora umfadhiri mbuzi utamla mchuzi au hata nyama choma ushushie na balimiila si msomali bumbavu kabisa
Et ooh msomali karudi kulea mtoto wake shubhamitiii kabisa mbona kamtelekeza sasa
Maisha haya![]()
Marufuku, usajili ushafungwa!Hata mimi nimeshindwa kumuelewa kwakweli
Wanamkana msomaliutasikia wanahamia team sally
Maliq asijaribu kumtamani sally acha sally aendelee na maisha yake tu kwakwelSasa si afadhali kuondoa utata wa mtoto wa kisomali? Sasa Sally akiolewa na Mndekereko nywele za kipilipili kama Samaritan huku mtoto wa kisomali si ndio itaendelea kumsumbua maisha yote? Bora Malik anausomali na atakua na uchungu na mtoto. Si unaona na yeye mambo yashaanza kusetiwa kimtindo?
Marufuku!Kwani wasomaji ni marufuku kubadili gear angani?
Naona msomali kamkaa kweli anamsogeza sally kwa maliqAshaku team maliq huyo!
- KANA -


Naona msomali kamkaa kweli anamsogeza sally kwa maliq
![]()
Mmesahau miluzi mingi inampoteza mbwa? Tunachofanya hapa ni kumchanganya fanani tu. KLM anaweza kupiga tukio wote tukaomba sub hadi refa na washika kibendera wote. Usicheze na mabomu ya komando kipensi


hapa kama anasoma hizi comments naona ataandaa mijeredi kabisa aje kutukomoa tu,huyu director siye kabisa