- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,088
- 10,552
Haha me nakuwa honest bana, siwezi kumtetea pa kumtelekeza mtoto wake, ni mpumbavu sana. Sally anamuomba mtaji anamnyima while ndiye aliyemtoa k/koo, bado mtaji huo huo ungetumika kuendeshea maisha ya mwanae. Kuna kitu nilitaka kusema ila lara atageuza gear angani teh
Acha niwe mpenzi mtazamaji
- KANA -

