- kANA -
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 4,088
- 10,552
Yani kuniita msomali ndo umenikera kabisaa!
- KANA -
Yani kuniita msomali ndo umenikera kabisaa!
Hehe watu mna hasiraHeaven Sent nilikuwa nakupenda lkn kwa hili pita kule sitaki hata kukuona.
Nimeshaanza shopping ya juniorkaeni tayari kumpokea JUNIOR...!!
kana Heaven Sent Shunie espy Tarime one
[HASHTAG]#Teammsomalii[/HASHTAG]![]()
hahahahahaha sawa auntNimeshaanza shopping ya junior
Usimchezee Lara atabadilisha gia angani apendi kutabiri ukweliNimeshaanza shopping ya junior
Haha atakuwa kaamua tu kutukomeshaUsimchezee Lara atabadilisha gia angani apendi kutabiri ukweli
Naona roho mbaya yako unayotaka kutukaanga team msomali. Hivi unadhani hatuumii jinsi Dee anavyotamba na binti yetu? Mara atutokee na kitaulo chake mtcheewHahahahaaa! Haya mambo ya mtoto wa Pili kayaleta nani lakiniiii? Kati yangu mi na nyie nani fanani. Nununueni Diclopar kabisaaa Team Msomali mmetamba sanaa toka Dar mpaka Moro. Kutamba gani huko.
@Epsy usikose apocalypse ya Msomali.
fanani usitubadilishie gia angani....hahahahahahaHahahahaaa! Haya mambo ya mtoto wa Pili kayaleta nani lakiniiii? Kati yangu mi na nyie nani fanani. Nununueni Diclopar kabisaaa Team Msomali mmetamba sanaa toka Dar mpaka Moro. Kutamba gani huko.
@Epsy usikose apocalypse ya Msomali.