binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,904
- 22,291
@lara1 utatuua we mwanamke, this is so sweet to be short aaaaaiiii.
Btw huko coco vepeeeeee wa mkoani ndio imekula kwetu au?
Btw huko coco vepeeeeee wa mkoani ndio imekula kwetu au?
duuh huu uandishi wako mkuu duh!!Jamani Lara anatumia mtandao ganii....nijitolee.afu Lara,nimewaza Jana,io issue yako ya redundant officin,chukulia kama changamoto.zama izi kujiajiri ndo issue,hasa ktk upande wa chakula,changamoto zigeuze fursa, utaona utavyotusua na shetani atacheza regge km sio mdundiko jinsi mambo yako yatakavyokuwa supa.......ideas nyingibtu,maji ya jumla,bakery, confectionery.... Etc.utatusua mjini apa.naa ivi besdei pati za mababy zilivyo nyingi....hatare....
Life is too short to complicate everything.....duuh huu uandishi wako mkuu duh!!
hahahaha sanaaaaaUnajikumbuka!??
Achen nyie swala ambalo limemkuta ni kubwa kuliko unavyofkiria mkuu mpen muda akae sawa kwa sasaLara 1 mbona umetudanganya hujapost hiyo Jana SAA mbili!
Ok sawa.Jaman thanks for concern, ila sijachukua redundacy wala nini, nimefanya maamuzi magumu nibakie, niwalambe makalio, wakinitimua niende mahakamani. Hahahaaaa! Japo roho inaniuma ningekuwa nimejaa sahivi zingetosha kwenda China.
Ni kwamba jana kulikuwa na shoti ya umeme so sikuwa na power kabisaaa ila ndo naandika sahivi.
Uniite ukiweka....!Jaman thanks for concern, ila sijachukua redundacy wala nini, nimefanya maamuzi magumu nibakie, niwalambe makalio, wakinitimua niende mahakamani. Hahahaaaa! Japo roho inaniuma ningekuwa nimejaa sahivi zingetosha kwenda China.
Ni kwamba jana kulikuwa na shoti ya umeme so sikuwa na power kabisaaa ila ndo naandika sahivi.