mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,513
- 10,404
Mwenzio hiyo ndo biashara yake na huo ndo mtaji wakeWana moyo wale sijui wanawezaje. Nina mdogo wangu wa mjini mjini jamani yule ni masta. Kwenda kukaa hotel Nairobi sijui Mwanza haoni hasara. Namwambiaga hizo hela mdogo wangu si ungefanya hata biashara ila ndo kama kasharogwa akili yake yote inawazaga wapi kuna wapopo akawadange.
Ukikutana nae utasema kapaki Range kumbe ana njaa balaa basi tu anavaa anapendeza avutie sponsors