tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Nimefikiria haya maisha nimeona ni mafupi sana kutokana na mambo yanayotokea katika nchi yetu na katika jamii kwa ujumla ajali/ufisadi na magonjwa na mambo mengi mengi!! nimetamani sana JFs wa Dar tukutane wekeend moja kwa lengo la kufahamiana/kufurahi/tunywe/ tubadilishane mawazo mawil matatu/na ikiwezekana tupate kudance na kuchangamsha miili yetu/sasa wana Jf hili swala mnalionaje?? mie nipo Dar... hili ni wazo langu tuu...