Weekend bila EPL ni inaboa sana

Weekend bila EPL ni inaboa sana

Area 56

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,546
Reaction score
4,040
Nipo sehemu nimekaa napata kinywaji huku tukipiga story na washkaji.

Yaani kila saa tunajisahau na kumwambia meneja aweke Super Sport 223 tuangalie mechi za EPL.

Hii wiki ya International break kwakweli inaboa sana na kuchukiza kwa sisi wapenda kabumbu la EPL.
Kwakweli sijawahi kuwa muumini wa mechi za timu za taifa, kamwe!
 
Si mcheck national league zinaendelea
 
Dah sisi wapenzi wa NBCPLvmasikitiko yetu hayaelezeki. Weekend bila soka letu kivyetuvyetu haikamiliki
 
Nipo sehemu nimekaa napata kinywaji huku tukipiga story na washkaji.

Yaani kila saa tunajisahau na kumwambia meneja aweke Super Sport 223 tuangalie mechi za EPL.

Hii wiki ya International break kwakweli inaboa sana na kuchukiza kwa sisi wapenda kabumbu la EPL.
Kwakweli sijawahi kuwa muumini wa mechi za timu za taifa, kamwe!
Acha kamari, utanishukuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom