Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

Sasa wenyewe wenye papuchi zao ndio wameamua kuzigawa kirahisi kama hautotaka kubadilisha hizo mindset za kujiona ni owner wa papuchi ambayo haipo mwilini mwako basi jiandae kwenda jela au ufe kwa shambulio la moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ndiye mbabe wao aliyewaumba, kama utatumia zaidi akili zako bila ya kumshirikisha Mungu ni sawa na wewe uwe dereva unayeendesha gari bila ya kujua uwepo wa ajali ni wakati gani na utaweza kujiepusha vipi na hiyo ajali itayotokea wakati wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma vizuri alichoandika, acha kukurupuka

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekujibu jinsi inavyotakiwa, ndiyomaana wengi sana waliomuuliza kuwa "si yeye muhusika wa huo ujauzito? "

Kwani anashindwa nini kuwa muhusika akiwa ameshajiandaa namna ya kujibu maswali yenu?

Acha kukariri majibu kwa akili za kuku wa kizungu(kroiler) bali tumia uhalisia wa ubongo uliyoumbiwa na Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
Inaonyesha ukibonga na wewe anakupa. Ili kukupooza. Coz umeshakua msiri wake tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
hiyo fala kama alikupa buyu
Somaaaaaaa hiyooooooo
 
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
So painful, So sad & So disappointing to get married.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom