Kwema ndugu zangu!!!
Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo