Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

donor

Member
Dec 24, 2017
88
82
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
 
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
bro,wanawake kuwaelewa ni ngumu sana,tunachokifanya ni kupiga mioyo konde tu maana hakuna silabusi ya hawa watu,no fomula .inabidi uzoefu tu utumike,kama nyani mzee vile aliyekwepa mishale mingi,ndiyo hawa wanawake.
mimi mwenyewe nipo dilema,nilimtongoza mdada mmoja kumbe alikuwa na mchumba wake,tukaendelea baadae akadai ni yule mwanaume ndiyo analazimisha ila yeye hana ishu sana moyoni,na kuna kipindi kama miezi sita alikuwa kampotezea mchumba wake. sasa tena jamaa anarudi kwa kasi,na demu nipo naye sana tu,so nimeamua kiume tu nimpunguzie mapenzi angalau anione simpendi ili nayeye arudi zote kwa mchumba wake..ni hivyo tu mkuu
 
Siku hizi hadi kalenda zipo
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom