Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

Siku ambayo wanaume wote tutakapo anza kuyachukulia Mahusiano ni jambo la hiyari na tukatambua kwamba mwanamke anaweza kumpatia papuchi mwanaume yeyote yule aliye mridhia

Basi huo ndio utakuwa wakati rasmi kwetu sisi kuacha kutaabishwa na mahusiano ....

Yaani waweza kukuta mwanaume anapagawa kabisa anaposikia demu wake kam-cheat utadhani ile papuchi ya demu wake huwa anatembea nayo yeye " ... Mtu ambaye ana miliki kitu chake katika mwili wake mwenyewe anaweza akamtunuku yeyote yule anapojisikia "

So wanaume tunapaswa kulitambua hili ili hata itakapo tokea tukasalitiwa basi tuyaache mambo yaende kombo yenyewe badala ya kuungana na kwenda nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna kaukweli vile lakini tatizo K siyo bidhaa hata igawanywe kama pipi hivyo na kusababisha Wanaume tuchukulie jambo la kusalitiwa kirahisi rahisi saaana la sivyo itabidi ukapimwe upya homoni zako za kiume kama zimejikita katika utashi wa UANAUME.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
100% ni ukweli huo hata ukibisha utabakia hivyo hivyo na asilimia zake 100.

Sent using Jamii Forums mobile app
Still juzi tu Mwanaume mwenzetu alileta uzi hapa JF akiumizwa akili baada ya kugongewa demu wake Bikra na Bodaboda.

Acheni kuwa wafu wa akili vichwani mwenu sababu Bikra si kigezo bora cha Mwanamke, bali Mwanamke kuwa "Mke Mwema" bali ni asili ya mtu na malezi aliyolelewa kwa wazazi na mazingira husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna kaukweli vile lakini tatizo K siyo bidhaa hata igawanywe kama pipi hivyo na kusababisha Wanaume tuchukulie jambo la kusalitiwa kirahisi rahisi saaana la sivyo itabidi ukapimwe upya homoni zako za kiume kama zimejikita katika utashi wa UANAUME.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wenyewe wenye papuchi zao ndio wameamua kuzigawa kirahisi kama hautotaka kubadilisha hizo mindset za kujiona ni owner wa papuchi ambayo haipo mwilini mwako basi jiandae kwenda jela au ufe kwa shambulio la moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
Hapo na wewe ukiomba mzigo ili umpe kitoa mimba, anakusasambulia ...... Hatari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K

Kula mzigo wewwe
Inawezekana ilikuwa njia ya kukuomba game sema wewe ukashindwa kusoma maandishi ukutani. Kwani unataka kusema yeye hazijui Pharmacies zinazouz hivyo vidonge?!! Wewe umemendewa halafu ukashindwa kusoma mchezo huo!.
 
Hili jambo ni mtihani aiseee, juzi tu jumatano kulikuwa na mdada ametoa mimba ya mtu mwengine kesho yake alhamis ilikuwa sendoff ijumaa kaenda kuflash yaan kusafishwa leo jmos saa 9 anasubilia kufunga ndoa na mwengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuiz aya Mambo yamekua mengi sijui n kwa sababu ya utandawazi ndo maana tumeyajua au yalikuepo toka zaman na hatukuyajua coz utandawazi haukua mkubwa Kama wa leo
 
Inawezekana ilikuwa njia ya kukuomba game sema wewe ukashindwa kusoma maandishi ukutani. Kwani unataka kusema yeye hazijui Pharmacies zinazouz hivyo vidonge?!! Wewe umemendewa halafu ukashindwa kusoma mchezo huo!.
kwa jinsi scenario ilivyokua Sidhan kabisa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom