agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
Shetani apendi ndoa.
Mliowahi kuuminzwa kwenye mahusiano huwa mnapinga kweli kweliKwenye 100 hakuna hata mmoja. Fanya utafiti wa kina kuhakiki hiyo Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kizuri kula na nduguyo 🤣🤣🤣🤣Kidume unakomaa na vikao vya arusi kubabeki. Magu kabana wana wote wamekimbia.
Afu watu wanapewa k kiulainnniiii
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umemaliza kila kitu. Mguu 1 ndani mwingine nje. hawa viumbe ni kama unga wa ngano, unaponunuliwa dukani huwezi kujua kama utapikwa andaz, mkate, keki au donat. Hivyo yaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa alikuwa anatafuta mchango mnono wa Send Off.Kwema ndugu zangu!!!
Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
Tatizo ni kutokujuana vizur kabla ya kuoana! Wanawake wengi ck hz wanaolewa kama fashen lkn wana watu wao wa pembeni ambao hawataki kuwaoa ila wanapewa mahaba tu! Dunia sasa imekwisha sana, wanawake wanajihusisha na uchafu wa kila aina na hii hutokana na marafiki wanaochagua kuwa nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha tunamlaumu shetan bureShetani apendi ndoa.
Amekosea hata kama ni dokta anafahamu mnafahamiana na husband to be asingeomba ushauri kwako. Sijui amewaza nini. Utamweleza jamaa yake?Nadhan aliomba msaada coz anajua me ni health related worker
Siwezi fanya huo ujinga Kama kuachana waje kuachana kwa sababu zao wenyewAmekosea hata kama ni dokta anafahamu mnafahamiana na husband to be asingeomba ushauri kwako. Sijui amewaza nini. Utamweleza jamaa yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha sana.Kwema ndugu zangu!!!
Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
Hawajui tofauti ya harusi na ndoaHao ni wale vicheche wanao waza kuvaa shela tuu
Brother umewaza mbali lakin si ilivyoInasikitisha sana.
Inawezekana ulishamtumia na ukamnunulia P 2 ndio maana amekucheki wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Za mwizi 40.[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
Mzunguko wake hua unabadilika na hauleweki na kuna kipindi p inaweza kujirudia mara mbili ndani ya mwezi mmoja
Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Mkuu unamaanisha mwanamke huenda ndo akawa chanzo
eva alipewa miti yote ya matunda bustani ya edeni ale matunda kasoro mti mmoja tuu lakni aliingiwa na tamaa baada ya kudanganywa na nyoka. Tamaa ni asili yao ni kuwavua chupi kwa kwenda mbele
Ok. Waache wafu wazikane japo inauma kama rafiki wa kweliSiwezi fanya huo ujinga Kama kuachana waje kuachana kwa sababu zao wenyew
Wapi huko nna mshikaji anafunga ndoa leo.Hili jambo ni mtihani aiseee, juzi tu jumatano kulikuwa na mdada ametoa mimba ya mtu mwengine kesho yake alhamis ilikuwa sendoff ijumaa kaenda kuflash yaan kusafishwa leo jmos saa 9 anasubilia kufunga ndoa na mwengine.
Sent using Jamii Forums mobile app