Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

bro,wanawake kuwaelewa ni ngumu sana,tunachokifanya ni kupiga mioyo konde tu maana hakuna silabusi ya hawa watu,no fomula .inabidi uzoefu tu utumike,kama nyani mzee vile aliyekwepa mishale mingi,ndiyo hawa wanawake.
mimi mwenyewe nipo dilema,nilimtongoza mdada mmoja kumbe alikuwa na mchumba wake,tukaendelea baadae akadai ni yule mwanaume ndiyo analazimisha ila yeye hana ishu sana moyoni,na kuna kipindi kama miezi sita alikuwa kampotezea mchumba wake. sasa tena jamaa anarudi kwa kasi,na demu nipo naye sana tu,so nimeamua kiume tu nimpunguzie mapenzi angalau anione simpendi ili nayeye arudi zote kwa mchumba wake..ni hivyo tu mkuu
Aisee anafanya umuone boya mshikaji wake
 
Jifunze kuwaheshimu wanawake hata kwa sekunde tu, I wish rafiki yangu MBITIYAZA angekuepo hapa, Ukiwahshimu wanawake hupotezi chochote, uwong Boss wangu mkurugenzi manengelo wa Kigoma??

Kiufupi tu siyo mwanamke siyo mwanaume wote haturidhiki tu

Hapo utakuta alichepuka na mume wa mtu Ila mwanamke daima anakuwa ndiye victim!
 
K
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
Kula mzigo wewwe
 
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
Hii ni hadithi ya kutunga tu. Dada anaolewa na mtu mwingine; akatembea na mwanaume mwingine; sasa anakuja kwako kutafuta ushauri (wewe ambaye huhusiki vyo vyote katika suala hilo); halafu na wewe unalileta suala hilo katika ukumbi huu ili sisi tufanyeje? Kwa nini huyo dada hakushauriana tu na huyo aliyetembea naye?
 
Ni me brother, nadhan aliniomba ushaur akijua me n health related worker

Thought something like that.

Anakuamini kiasi gani kukushirikisha kwenye secret kubwa namna hiyo? Kuna zako anazojua?

Au mlishawahi kuwa kwenye mahusiano (I mean the FWB kind of relationship).
 
Kiufupi tu siyo mwanamke siyo mwanaume wote haturidhiki tu

Hapo utakuta alichepuka na mume wa mtu Ila mwanamke daima anakuwa ndiye victim!
Suala hapa siyo kuridhika, ni kujitambua na kujiheshimu. Wewe ungefanya hivyo?

Imagine, unajiandaa kwa harusi au niseme ndoa, (maana hizo harusi siku hizi ni sawa na kutafuta paja kwenye mwili wa nyoka), halafu unakubali kwenda kuchepuka, (na mguu wala haukuvikwa buti)!! Hivi madame, inaingia akilini kweli??

Nionavyo, mwanamke hana mapenzi na mchumba wake. Full stop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom