Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

Week mbili kabla ya harusi eti anaomba P 2

Thought something like that.

Anakuamini kiasi gani kukushirikisha kwenye secret kubwa namna hiyo? Kuna zako anazojua?

Au mlishawahi kuwa kwenye mahusiano (I mean the FWB kind of relationship).
Hamna mkuu sijawai kua na uhusiano naye wowote zaidi ya Salam, aliyesababisha anipigie simu n rafik yake wa kike ambaye alimshirikisha ilo Jambo, rafik yake akanishirikisha pia katika harakati za kumsaidia rafk yake
 
Hamna mkuu sijawai kua na uhusiano naye wowote zaidi ya Salam, aliyesababisha anipigie simu n rafik yake wa kike ambaye alimshirikisha ilo Jambo, rafik yake akanishirikisha pia katika harakati za kumsaidia rafk yake

Nimekuelewa vizuri, asante kwa ufafanuzi.
 
Kalenda ni nzur kwa mtu mwenye mzunguko mzur wa hedhi na kwa upande wangu ndo the best njia
Bila hata ya kalenda kwangu mimi nilishajiwekeaga kua wiki moja kabla na baada ya p hua ni salama hizo zinazofata lazima nichukue tahadhari na huu ni mwaka wa 3 sasa hivi tunaendelea kufurahia maisha tu.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Suala hapa siyo kuridhika, ni kujitambua na kujiheshimu. Wewe ungefanya hivyo?

Imagine, unajiandaa kwa harusi au niseme ndoa, (maana hizo harusi siku hizi ni sawa na kutafuta paja kwenye mwili wa nyoka), halafu unakubali kwenda kuchepuka, (na mguu wala haukuvikwa buti)!! Hivi madame, inaingia akilini kweli??

Nionavyo, mwanamke hana mapenzi na mchumba wake. Full stop.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nilimjibu huyo wa juu alizungumzia kuridhika.
 
Suala hapa siyo kuridhika, ni kujitambua na kujiheshimu. Wewe ungefanya hivyo?

Imagine, unajiandaa kwa harusi au niseme ndoa, (maana hizo harusi siku hizi ni sawa na kutafuta paja kwenye mwili wa nyoka), halafu unakubali kwenda kuchepuka, (na mguu wala haukuvikwa buti)!! Hivi madame, inaingia akilini kweli??

Nionavyo, mwanamke hana mapenzi na mchumba wake. Full stop.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji122][emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umefanikisha ilo ni kwasababu ya mzunguko wake wa hedhi kua mrefu lasivyo ungepata unplanned pregnancy
Bila hata ya kalenda kwangu mimi nilishajiwekeaga kua wiki moja kabla na baada ya p hua ni salama hizo zinazofata lazima nichukue tahadhari na huu ni mwaka wa 3 sasa hivi tunaendelea kufurahia maisha tu.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Umefanikisha ilo ni kwasababu ya mzunguko wake wa hedhi kua mrefu lasivyo ungepata unplanned pregnancy
[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
Mzunguko wake hua unabadilika na hauleweki na kuna kipindi p inaweza kujirudia mara mbili ndani ya mwezi mmoja

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]
Mzunguko wake hua unabadilika na hauleweki na kuna kipindi p inaweza kujirudia mara mbili ndani ya mwezi mmoja

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Kuna vitu tungeongea lakin tuviache maana tuko public alafu vinahitaji maelezo mengi
 
Kuna vitu tungeongea lakin tuviache maana tuko public alafu vinahitaji maelezo mengi
Pamoja mkuu nikipita muda wa kutosha ntakucheki pm

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Kwema ndugu zangu!!!

Ni mdada ninayemfaham, ana week mbili kabla ya kuolewa na mshikaji ninaye mfaham pia. Almost mipango ya harusi imekamilika.
Kilicho nifanya nilete uzi ni simu niliyopokea Jana usiku kutoka kwake akidai nimsaidie any emergency contraceptive kuzuia mimba isitunge. Baada ya maswali ya apa na pale aka admit ametembea na mkaka (kachepuka) akiwa kwenye siku zake za hatari.
# why mapenzi ya siku hizi yamekosa uwaminifu!!
# Tufanye nin kuepusha haya yote
#Root cause ni nin!! tamaa, mwanamke, mwanaume, kampani zetu( marafiki), malezi au utandawazi wenyew. Ni nini hasa ndugu zangu tujaribu kunusuru ndoa, mahusiana pamoja na vizazi vijavyo
Mapz ya kweli yamebaki kati ya Mtoto na Mzazi pekee (Mama/Baba). Kwingine ni maigizo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bro,wanawake kuwaelewa ni ngumu sana,tunachokifanya ni kupiga mioyo konde tu maana hakuna silabusi ya hawa watu,no fomula .inabidi uzoefu tu utumike,kama nyani mzee vile aliyekwepa mishale mingi,ndiyo hawa wanawake.
mimi mwenyewe nipo dilema,nilimtongoza mdada mmoja kumbe alikuwa na mchumba wake,tukaendelea baadae akadai ni yule mwanaume ndiyo analazimisha ila yeye hana ishu sana moyoni,na kuna kipindi kama miezi sita alikuwa kampotezea mchumba wake. sasa tena jamaa anarudi kwa kasi,na demu nipo naye sana tu,so nimeamua kiume tu nimpunguzie mapenzi angalau anione simpendi ili nayeye arudi zote kwa mchumba wake..ni hivyo tu mkuu
Tupa kule huyo Mkuu. Women are not people EXCEPT MAMA MZAZI TU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
eva alipewa miti yote ya matunda bustani ya edeni ale matunda kasoro mti mmoja tuu lakni aliingiwa na tamaa baada ya kudanganywa na nyoka. Tamaa ni asili yao ni kuwavua chupi kwa kwenda mbele

Mimi siku zote nasema mwanamke akiamua kutoa uchi kwa mtu yoyote hakuna cha kuzuia..
Kifupi mwanamke ni kiumbe ambaye hariziki haraka na alicho nacho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom