Net work mkuu, but am on ma way there!
Kijana unahitaji maombi! inaonekana umekumbwa na pepo kutoka sri lanka.Ankal imebindi nipake rangi hayo maneno maana nilichosoma nilikuwa nimeona tofauti
vya wapi?bora we joto, mimi nina aleji na mahela mengi. Nikiwa nazo nyingi natokwa vipele.
Weka mabarafu mifukoni udailuti joto.
kuna vote ya kumtafuta maza teressa wa JF, nitanominate jina lako. stay tuned
Nasikia hili pepo huwa linakuwa lina EUROKijana unahitaji maombi! inaonekana umekumbwa na pepo kutoka sri lanka.
natia timu j'mosi ua pili?
Alafu nakohoa....uje na kitambaa cha kuziba mdomo na pua!haina shida, nitakoroga na uji wa kisukuma, ninahakika utameza!
vya wapi?
Elia mi naumwa...njoo kwangu uniuguze wkend!
heheh ankal umeimprove kweli siku hizi yaani unajua mpaka foreign currency?, keep it upNasikia hili pepo huwa linakuwa lina EURO
Nimeanza tuisheni pale British Council ya kiinglishi, Hashycool aligoma matokeo yake boda wamemrukia lugha haijui ananipigia simu niende kuwa mkalimani wakeheheh ankal umeimprove kweli siku hizi yaani unajua mpaka foreign currency?, keep it up
Nimeanza tuisheni pale British Council ya kiinglishi, Hashycool aligoma matokeo yake boda wamemrukia lugha haijui ananipigia simu niende kuwa mkalimani wake
Nimeishaambiwa habari zako sema nilikuwa naona una aibu sanaHee mbona mie pia nasoma hapo hivi wewe ndo yule mkaka anaependeza kila siku???