Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Humu ndani naona kuna ubinafsi mwingi sana, ukikaribisha kwa kutaja majina sisi tusio namajina tunakaa kimya. Acheni ubaguzi, hata sisi tunajua outing karibisha wote, inawezekana hao uliowataja hawana mpango wala nini ila sisi tusiomo tungetokeza.
Ni mtazamo tu! take it easy
Ni mtazamo tu! take it easy