Elia huyo binti pembeni yako vipi tena?Nipo kona, mwisho wa lami hapa, napata mishikaki mitano ya fasta jamaa wananifungia malimao ya kumpelekea Lizzy
Salam zake mwambie!Muda huu tuko na B hope umenielewa hapo
Caroline umeongea jambo la msingi exchanging business ideas i interested in that since i am in that fieldElia take it easy; next time anza kwa kukaribisha wote then ufuatishe majina. najua mimi siyo wa karibu sana na huwa hatujichanganyi kwa sababu hatuna watu wa kuchanganyikana nao. kwa wale walioko Marafiki, DHW, huwa tunakutana sana, tunakula na kunywa na kufurahi. Ikitokea hapa watu mkakutana basi msinisahau kwenye kingdom, kuna vitu vingi tunaweza fanya kwa kukutana, apart from drinking, eating. Kuna watu wana biashara zao hapa, wanahitaji kuongeza wateja, we are the one to boost each other.
Tutumie hizi chating si kwa kufanya discussion tu za vitu nata biashara pia, kila mtu ana uelewa wake, ila tukikutanisha mawazo basi SOMETHING CAN HAPPEN.
I bless you my friends, lets join hands to help each other. AMEN
Elia take it easy; next time anza kwa kukaribisha wote then ufuatishe majina. najua mimi siyo wa karibu sana na huwa hatujichanganyi kwa sababu hatuna watu wa kuchanganyikana nao. kwa wale walioko Marafiki, DHW, huwa tunakutana sana, tunakula na kunywa na kufurahi. Ikitokea hapa watu mkakutana basi msinisahau kwenye kingdom, kuna vitu vingi tunaweza fanya kwa kukutana, apart from drinking, eating. Kuna watu wana biashara zao hapa, wanahitaji kuongeza wateja, we are the one to boost each other.
Tutumie hizi chating si kwa kufanya discussion tu za vitu nata biashara pia, kila mtu ana uelewa wake, ila tukikutanisha mawazo basi SOMETHING CAN HAPPEN.
I bless you my friends, lets join hands to help each other. AMEN
Zimefika on the spotSalam zake mwambie!
Zimefika on the spot
Ukilala utaniuziAlafu hajarudisha?Ngoja nilale mie!
Ukilala utaniuzi
Dada yangu mimi na wewe tena.Yani hata hunionei huruma aisee?
Dada yangu mimi na wewe tena.
Hakikisha unakunywa maji kwa wingi mydear
Sawa sis nafikiri nitachelewa kurudi home sijui nani atanifungulia mlango na wewe unaumwaSasaaa...kila mfupa na kila nyama kwenye hili hekalu vinauma!Ngoja nivipumzishe.
Sawa sis nafikiri nitachelewa kurudi home sijui nani atanifungulia mlango na wewe unaumwa
Sawa sis nafikiri nitachelewa kurudi home sijui nani atanifungulia mlango na wewe unaumwa
Una kesi na mimi mwamuzi RED CROSSpole kwa mgonjwa Lizzy napita TF.
Una kesi na mimi mwamuzi RED CROSS