The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Labda ile kukungoja wewe ndio anazidi kuwa seriously illHapo sichelewi kaka nisha Pm za kutosha ila sijibiwi! inawezekana ipo serious ill hii dadaa!
Labda ile kukungoja wewe ndio anazidi kuwa seriously illHapo sichelewi kaka nisha Pm za kutosha ila sijibiwi! inawezekana ipo serious ill hii dadaa!
Sherehe tena?Kazi kuniangalia tu kuhakikisha sina njaa na niko komfotebo!Hilo hamna shida bibie, ila sherehe sitaki
We siumesema unaenda kulewa na wakare wenzako??Yani ni mwendo wa mkare..mkare..si mkare!Dah!! Kumbe ni Elia sijui screen yangu ikoje mimi nimeona jina kama la kwangu vile
I guess I'm gonna be bored @ home, anyone bored who wanna hang out or chi chat can hola back....Surely let us hook up if possible
Tena pare pare na kare kareWe siumesema unaenda kulewa na wakare wenzako??Yani ni mwendo wa mkare..mkare..si mkare!
Jangwani kuna mazalia ya Mbu waambie waje na netiwikiendi hii nitafanya mahubiri viwanja vya jangwani mnaombwa kuhuzuria. Pombe haziruhusiwi na wanawake mvae kiheshima. Alleluyah!
hehehe ankal bana! wabongo wengi ngozi zao ni mbu proof so haina shida hiyo.Jangwani kuna mazalia ya Mbu waambie waje na neti
Vp wewe hauhitaji kupelekwa shopping? mchizi niko wallet kinomi wikiendi hii.Njo mpwapwa tuwikiendishe.
Dah!! Blaki nipe location basiKaribu QX Mbuzi choma na nyagi baridi Jmosi
Vp wewe hauhitaji kupelekwa shopping? mchizi niko wallet kinomi wikiendi hii.
Njoo diamond jubilee kwanzia saa3 usiku,i promise u hautakua bored
sasa hizi hela atatumia nani? aaargh pliiz bana unajua hizi hela zinaniongezea joto mifukoni aisee.najisikia kupumzika tu.
sasa hizi hela atatumia nani? aaargh pliiz bana unajua hizi hela zinaniongezea joto mifukoni aisee.
Ankal imebindi nipake rangi hayo maneno maana nilichosoma nilikuwa nimeona tofautisasa hizi hela atatumia nani? aaargh pliiz bana unajua hizi hela zinaniongezea joto mifukoni aisee.
sasa hizi hela atatumia nani? aaargh pliiz bana unajua hizi hela zinaniongezea joto mifukoni aisee.
kuna vote ya kumtafuta maza teressa wa JF, nitanominate jina lako. stay tunedNenda mjini kawafurahishe omba omba!