Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Kweli Nchi yetu haipo makini kwenye utendaji wake.Instead of creating a dynamic website wao wanaweka a blog halafu wanai-update 3 times in a year?!!It is a joke kwa ulimwengu huu wa habari.Sijui niseme weakness za ofisi ya habari Ikulu!

Mungu kweli turehemu.
 

Ukiishajua Ikulu ni nini ndipo utajua kuwa kila ofisi iliyopo Ikulu ni sehemu ya IKULU, "WH Briefing" sounds familiar?, anayeongea ni Robert Gibbs msemaji wa WH. Na msemaji wa IKULU ni Salva, hivyo mawasiliano yote ya IKULU na wananchi yanapaswa kuwa chini ya hiyo wanayoiita Directorate, vyeo vya ovyo ovyo ovyo ili kuhalisha mshahara mkubwa kwa vichwa vilivyo butu.
 


maybe SALVA anaweza kuwa na jibu la hili swali

mind you...wenyewe wanashinda humu JF
 
mkuu huyo january unajaribu kumtetea lakini is amaong of bogus pale state house......muulize nani anae update hili ji blog.....

-hivi january makamba ana cheo gani Ikulu? nini kazi zake ikulu? yeye kama mdomo wa jk lazima awe mbele kwenye utumbo wa blog hii.....

hivi nani alishwahi kuingia mule state house kwenye kitengo cha IT? ni aubu tupu.....hata internet cafe ya nyani ngabu ina afadhali.....
 

Yeah...exactly, hivi huyo January kazi yake nini hasa? Kuna hata job description ya kazi yake?
 


Kwa sababu January hahusiki na mambo haya wahusika ni SALVA na mwenzie FREDDY MARO

sasa unasema January ni bogus kisha unaliza ana cheo gani....wapi na wapi

tatizo pale kuna mi dinosaurs ambayo inaongozwa na akina LUHANJO na hawataki changes wao wako ok na status quo na hii ni aibu

nadhani next time JK akifanya Q&A na waandishi itabidi aulizwe vipi kuhusu website na huu mwaka wa 5 unaingia
 
Yeah...exactly, hivi huyo January kazi yake nini hasa? Kuna hata job description ya kazi yake?


Hahusiki na hii website..mkomalieni SALVA, FREEDY MARO na LUHANJO January ni mtu mdogo sana mle

you are barking at the wrong tree
 
Yeah...exactly, hivi huyo January kazi yake nini hasa? Kuna hata job description ya kazi yake?
Atuambie followe wake GT.....
maana mie nashangaa sana maana msemaji wa ikulu hajulikani mpaka sasa hivi....sio Salva,luhanjo wala january.....
-hii blog ipo siku nyingi yaani wanafanya kazi za zima moto.....sasa ona eti jk anatuuliza speech yake tumeionaje? nani kaandika speech?
 


narudia January hahusiki

muulizeni LUHANJO na SALVA ndio wenye majibu ya hii blog na website...Freddy Maro alileta jama zake watengeneze website lakini baadae ikaonekana yale yale ya kutaka kupeleka inflated prices nadhani hiyo ndi iliwaput off akina SALVA

wakati tunaendelea mmeona madudu ya website ya WAZIRI MKUU?
 
kwanza kubali kuwa hahusiki na hii website ya ikulu

hii ni kazi ya SALVA
sijui mkuu......maana nijuavyo ana mkono wa mawasiliano hapo ikulu.......

-hivi jk kule CISCO Google alikwenda kufanya nini? kuangalia mawaya ya network na ma screen eeh? maana alipkuwa akifungua mkongo wa mawasiliano alitoa mfano wa simu za video!
 
sijui mkuu......maana nijuavyo ana mkono wa mawasiliano hapo ikulu.......

-hivi jk kule CISCO Google alikwenda kufanya nini? kuangalia mawaya ya network na ma screen eeh? maana alipkuwa akifungua mkongo wa mawasiliano alitoa mfano wa simu za video!


ukitaka kujuakama kule isco hawakumchukulia serious then utajua kama Sergei Brin hakuwepo kwenye ile tour..lakini Kagame alipokwenda walimpa manjonjo yote na sasa hivi Google wako Rwanda wanaoffer service zao kwa Rwanda for free

Kule CISCO nako hali ndio hiyo hiyo huyu bwana hakuwepo wakati JK alipokwenda kuwatembelea



of course hilo si kosa la JK lakini lahao waliopanga safari yenyewe
 

Hahusiki na hii website..mkomalieni SALVA, FREEDY MARO na LUHANJO January ni mtu mdogo sana mle

you are barking at the wrong tree



naona bado uko kwenye vitendawili na hadithi

na narudia mwacheni Mwamvita Makamba peke yake kama alivyo


Duh! sina Comment!
 
Last edited:
lakini Gaby Mgaya thinks otherwise





labda mtu angemwambia Gaby kuwa wenzie wanaoperate kwa blog ambayo mara ya mwisho ilikuwa updated in May
 


Mnaiona podium hiyo ? sasa huyu ndiye Mgaya anamsifia kuwa ni media savy..the man is just careless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…