HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,390
- 94,653
Diamond hapendi wasanii wenzake wafanikiwe. Mtu akitoa wimbo tu atafanya awezalo na yeye atoe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
"Mamaaaa kajikataa"Sio siri binafsi nimemuelewa sana zuchu kwenye hii nyimbo af anafuata mboso,
Hivi rayvanny kaimba vinini humu
kuna mwenzako nimemuuliza swali hapo juu,
Shida nini? Hao wasanii wenzake wahakikishe wanatoa hit na kujipanga kuliko yeye hiyo ndio dawa kuuDiamond hapendi wasanii wenzake wafanikiwe. Mtu akitoa wimbo tu atafanya awezalo na yeye atoe
Sent using Jamii Forums mobile app
mmhh sio bando kwel.Hiki ni kinywaji kipya mujini au ni ugonjwa mupyaaa?
we kigagula na beki3 mwenzio Robidinyo tunajua mpo kazini
AiseeAna sura nzito kama uji wa magimbi
Ni wewe umeandika haya kweli...!?Nyimbo ni kali itaenda viral.
Aisee hako kazuchu ni kapisi flani