LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
Leo hii kuna laptop nimefungua ndani nikakuta vitu Kama ifuatavyo
Kule ndani nimekuta vifaa vya nchi kadhaa ikiwamo
U.S.A
Malaysia
China
Japan
India
Singapore
Je sisi ngozi nyeusi tutaweza Nini Kama tumeshindwa kufanya tu hata vya kuiga vinavo onekana kwa macho.
Tuache unafiki mfano. Mtu aliyegundua umeme huyo alimaliza kila kitu akifuatiwa na waliogundua computer
Je, Waafrica tumegundua Nini kikatusaidiaa au kusaidia mpaka wazungu?
Kule ndani nimekuta vifaa vya nchi kadhaa ikiwamo
U.S.A
Malaysia
China
Japan
India
Singapore
Je sisi ngozi nyeusi tutaweza Nini Kama tumeshindwa kufanya tu hata vya kuiga vinavo onekana kwa macho.
Tuache unafiki mfano. Mtu aliyegundua umeme huyo alimaliza kila kitu akifuatiwa na waliogundua computer
Je, Waafrica tumegundua Nini kikatusaidiaa au kusaidia mpaka wazungu?