Wazo makini: 'BlackBox Education' ni mtego wa kifo cha Tanzania na Africa

Capital

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
1,452
1,038
Wakuu GT.. nawasalimia sana.
Niende moja kwa moja kwenye mada.

1. Utangulizi
Hapana shaka kuwa kiwango cha maendeleo ya nchi au bara hutegemea ubora wa raslimali watu katika nchi/bara husika. Ubora huu wa raslimali watu ndo hutofautisha nchi na nchi, bara na bara katika maendeleo ya kiuchumi, kwa maana kwamba chi zenye maendeleo makubwa ni bayana wana raslimali watu wa ubora wa hali ya juu.

Raslimali bora bila shaka ni zao la elimu. Hivi karibuni kumekuwepo na mapitio ya sera ya elimu kwa mtazamo kwamba changamoto tulizonazo kiini chake ni sera za elimu zisizokidhi. Hili liko sahihi. Leo nitajikita katika kuonesha tunapokosea, ili kama itawapendeza watunga sera na wadau wa elimu, waweze kuazima vitu kadha wakadha, huenda ikasaidia.

2. Elimu ya "blackbox"
Black box au tafsiri isiyo rasmi boksi jeusi ni aina ya elimu ambayo ni ya kijuu juu sana, ni elimu ambayo inamfundisha muhitimu mambo madogo madogo kabisa ambayo hayana manufaa kwa nchi. Muhitimu hufundishwa mambo tu ya kutumia kitu au teknolojia na si elimu ya kutengeneza hiyo technolojia au kifaa.

Blackbox education ni kwamba wahitimu wamepitishwa tu juu juu (skimming) na hawakupelekwa ndani haswa (deep to the core) katika mfumo mzima wa mafunzo husika. Binafsi hiyo blackbox education naiona kama sifuri kabisa inayopoteza muda wa wahitimu na ndio mtego mkubwa katika maendeleo ya nchi yetu na bara letu. Muhitimu wa blackbox education, kimsingi hana msaada kwa nchi yake, kwa continent yake na kwa dunia.

Hii ndiyo aina ya elimu tunayotoa katika mashule yetu, vyuo vyetu hapa nchini na mahali karibu pote katika bara la Africa. Ndiyo sababu, hakuna teknolojia, vifaa, falsafa iliyozalishwa ambayo chanzo chake ni Tanzania/Africa. Washindi wa Nobel wa Africa ni wale wa kimchongo, wapiga midomo, kwa elimu ya aina hii, hatakuja kupatikana Laureate wa Chemistry, Physiology, Physics, Engineering, nk.

3. Tatizo ni nini?
Kwa mtazamo wangu, nadhani vyanzo vya tatizo ni vingi mno vikiwemo ukoloni, nafasi ya Tanzania au Africa katika uchumi wa dunia.. kwamba Afrika katika mizania ya nguvu, imejikuta ikiwa upande wa omba omba zaidi kuliko mtoaji. Tatizo lingine ni watu wenyewe wakiwemo viongozi ambao nao ni wahanga wa blackbox education.

Kwa hiyo nachelea kusema kuwa mara zote mtu atatenda kadri anavyofahamu. Kwamba hao wataalam hawawezi kufikiria nje ya wanachokijuwa, nje ya black box. Kuna swala la uvivu wetu sisi kama raia katika swala zima la elimu. Ni sahihi kwamba elimu deep ni ngumu, inayohitaji utulivu, uhamasishaji na uvumilivu mkubwa. Lazima jukumu hili tulibebe kama tunataka mabadiliko.

4. Kumulika ndani ya boksi jeusi
Hebu tuone namna ya kupindua meza, tuondokane na aina hii ya elimu ya hovyo hovyo. Tunahitaji kufanya kazi kweli kweli. Tunahitaji kuwafundisha watanzania na Wafrica mambo makubwa, ya ndani (deep) kabisa katika sayansi hasa zile sayansi msingi.

Nitatoa mfano: mtu anasoma Chemistry, lakini unakuta anachokijuwa katika chemistry ni upuuzi tupu, anajuwa tu vitu vya juu juu. Mtu kama huyu hawezi kuwa na uwezo wa kutengeneza dawa, hata dawa rahisi kama panadol. Unakuta mitaala ya vyuo vikuu ni black box tupu, yaani mhitimu hana ufahamu wa ndani katika eneo alilohitimu.

Mhitimu anayefanya fani ya electronics, hajui hata chip inatengenezwaje, anajuwa labda inatumika kufanya nini, hii ndo blackbox education sasa. Nisiseme mengi katika hili, ila niseme tu kuwa kwa elimu kama hii, ni ndoto kwamba tutaweza hata siku moja kuja kutengeneza machine au kifaa au falsafa yetu kama watanzania/waafrika.

Kwa hiyo tutaendelea kulipa kwa gharama kubwa ili kukidhi mahitaji yetu kiteknolojia kutoka kwa nchi zinazofundisha 'whitebox education'.

5. Tunatokaje kwenye tope hili?

Nakiri kuwa safari ya kujikwamua katika kadhia hii siyo ya kitoto. Hivi visera vya elimu vinavyopendekezwa, kwangu naona ni visera uchwara ambavyo havina dhima wala dira ya kuitoa Tanzania kutoka kwenye blackbox education ambayo kimsingi haina manufaa yoyote.

Ndo maana utakuta nchi inanunua huduma za wahandisi kutoka nje katika miradi yake, jambo ambalo ni hasara kubwa sana kwa sababu unaishia ku "export" pesa ambayo umeipata kwa shida sana kwa kuuza korosho, ufuta na vitu vya aina hiyo au kuwatoza kodi wamachinga.

Mchakato wa kuondokana na kadhia hii , kwa mtazamo wangu lazima uanze na kubadili fikra za viongozi wa Tanzania na Africa kwa ujumla.

i. Uwekezaji katika elimu. Mikakati ya sasa hivi ya uwekezaji katika elimu ni ya ajabu, ya hovyo ambayo haina dira ya kutuondoa kwenye tope la blackbox education. Haiwezekani ukasimamisha kuta nne na kuezeka bati la sufuria ukaita hicho ni darasa halafu usiishie na blackbox education.

Darasa ama liwe la shule ya msingi sekondari au chuo cha kati au kikuu, lazima liwe na viwango au ngazi fulani ya kiwango itakayokubalika miongoni mwa wadau wa elimu. Mfano, minimally, darasa ili liwe darasa lazima liwe na vitu kadhaa kama vile meza na kiti kwa kila mwanafunzi, idadi ya wanafunzi ijulikane kama 30-35.. nk.

ii. Mafunzo na qualifications za waalimu

Tanzania kama zilivyo nchi za Afrika, walimu hasa wa ngazi za chini ni kundi ambalo halina mafunzo na qualifications stahiki kukidhi mahitaji ya kuwa walimu. Katika mwelekeo huo, serikali huwa inawalipa ujira kidogo kwa sababu kutokana na qualifications duni, wahusika hawana upenyo wa kudai hata stahili zao.

Hili lazima likome, ili watu wote watakaopewa jukumu la kufundisha taifa, wawe watu wenye viwango vya juu kitaaluma, na vivyo hivyo, ujira wao uwe ni wa juu kabisa kuliko au kulingana na kada zilizoko juu.

Kwani kumlipa mwalimu wa msingi mwenye sifa stahiki sh millioni 3, au wa secondari 3.5M au wa chuo cha kati 4M au wa chuo kikuu 8M utapungukiwa na nini? Unashindwa kumlipa mwalimu ujira wa staha kwa kisingizio huna hela halafu kila mwaka unalalamika wezi wameiba 15trilion.. huu ni ujinga first class.

iii. Figisu za mabeberu

Mabeberu wanafahamu fika kuwa Tz na Afrika ikikoma kuwapa watu wake blackbox education nao watakuwa wameisha, kwisha habari yao. Kuondokana kwetu na blackbox education ndo utakuwa mwanzo wa kutengeneza machine zetu, magari yetu, nguo zetu, nk.

Tutajuwa kutumia raslimali zetu za asili, mfano, gas yetu, upepo wetu, jua letu, ardhi yetu kwa manufaa yetu. Hakika mabeberu watakuja kutuomba kama sisi tunavyoenda kuwaomba omba.

Sasa hawa lazima kuwa macho nao sana.. nafikiri ziko mbinu, ila kwa vile wanaotakiwa kutekeleza mbinu hizi, kwa bahati mbaya, nao ni wahanga wa blackbox education, huenda ikawa changamoto.

6. Hitimisho

Kwa ambao mtakuwa mmenielewa, nawakaribisha sana mtoe michango. Kukaa kila mwaka tunasingizia sera na kuzibadilisha, wakati mzizi wa tatizo hauguswi, ni kupoteza muda na pesa na kujidanganya. Blackbox education haitaifanya Tz itoboe, katika eneo lolote kitaaluma, kiteknolojia, na kifikra.

Asanteni sana na karibuni tuelimishane.

Capital
 
Wakuu GT.. nawasalimia sana.
Niende moja kwa moja kwenye mada.

1. Utangulizi
Hapana shaka kuwa kiwango cha maendeleo ya nchi au bara hutegemea ubora wa raslimali watu katika nchi/bara husika. Ubora huu wa raslimali watu ndo hutofautisha nchi na nchi, bara na bara katika maendeleo ya kiuchumi, kwa maana kwamba chi zenye maendeleo makubwa ni bayana wana raslimali watu wa ubora wa hali ya juu.

Raslimali bora bila shaka ni zao la elimu. Hivi karibuni kumekuwepo na mapitio ya sera ya elimu kwa mtazamo kwamba changamoto tulizonazo kiini chake ni sera za elimu zisizokidhi. Hili liko sahihi. Leo nitajikita katika kuonesha tunapokosea, ili kama itawapendeza watunga sera na wadau wa elimu, waweze kuazima vitu kadha wakadha, huenda ikasaidia.

2. Elimu ya "blackbox"
Black box au tafsiri isiyo rasmi boksi jeusi ni aina ya elimu ambayo ni ya kijuu juu sana, ni elimu ambayo inamfundisha muhitimu mambo madogo madogo kabisa ambayo hayana manufaa kwa nchi. Muhitimu hufundishwa mambo tu ya kutumia kitu au teknolojia na si elimu ya kutengeneza hiyo technolojia au kifaa.

Blackbox education ni kwamba wahitimu wamepitishwa tu juu juu (skimming) na hawakupelekwa ndani haswa (deep to the core) katika mfumo mzima wa mafunzo husika. Binafsi hiyo blackbox education naiona kama sifuri kabisa inayopoteza muda wa wahitimu na ndio mtego mkubwa katika maendeleo ya nchi yetu na bara letu. Muhitimu wa blackbox education, kimsingi hana msaada kwa nchi yake, kwa continent yake na kwa dunia.

Hii ndiyo aina ya elimu tunayotoa katika mashule yetu, vyuo vyetu hapa nchini na mahali karibu pote katika bara la Africa. Ndiyo sababu, hakuna teknolojia, vifaa, falsafa iliyozalishwa ambayo chanzo chake ni Tanzania/Africa. Washindi wa Nobel wa Africa ni wale wa kimchongo, wapiga midomo, kwa elimu ya aina hii, hatakuja kupatikana Laureate wa Chemistry, Physiology, Physics, Engineering, nk.

3. Tatizo ni nini?
Kwa mtazamo wangu, nadhani vyanzo vya tatizo ni vingi mno vikiwemo ukoloni, nafasi ya Tanzania au Africa katika uchumi wa dunia.. kwamba Afrika katika mizania ya nguvu, imejikuta ikiwa upande wa omba omba zaidi kuliko mtoaji. Tatizo lingine ni watu wenyewe wakiwemo viongozi ambao nao ni wahanga wa blackbox education.

Kwa hiyo nachelea kusema kuwa mara zote mtu atatenda kadri anavyofahamu. Kwamba hao wataalam hawawezi kufikiria nje ya wanachokijuwa, nje ya black box. Kuna swala la uvivu wetu sisi kama raia katika swala zima la elimu. Ni sahihi kwamba elimu deep ni ngumu, inayohitaji utulivu, uhamasishaji na uvumilivu mkubwa. Lazima jukumu hili tulibebe kama tunataka mabadiliko.

4. Kumulika ndani ya boksi jeusi
Hebu tuone namna ya kupindua meza, tuondokane na aina hii ya elimu ya hovyo hovyo. Tunahitaji kufanya kazi kweli kweli. Tunahitaji kuwafundisha watanzania na Wafrica mambo makubwa, ya ndani (deep) kabisa katika sayansi hasa zile sayansi msingi.

Nitatoa mfano: mtu anasoma Chemistry, lakini unakuta anachokijuwa katika chemistry ni upuuzi tupu, anajuwa tu vitu vya juu juu. Mtu kama huyu hawezi kuwa na uwezo wa kutengeneza dawa, hata dawa rahisi kama panadol. Unakuta mitaala ya vyuo vikuu ni black box tupu, yaani mhitimu hana ufahamu wa ndani katika eneo alilohitimu.

Mhitimu anayefanya fani ya electronics, hajui hata chip inatengenezwaje, anajuwa labda inatumika kufanya nini, hii ndo blackbox education sasa. Nisiseme mengi katika hili, ila niseme tu kuwa kwa elimu kama hii, ni ndoto kwamba tutaweza hata siku moja kuja kutengeneza machine au kifaa au falsafa yetu kama watanzania/waafrika.

Kwa hiyo tutaendelea kulipa kwa gharama kubwa ili kukidhi mahitaji yetu kiteknolojia kutoka kwa nchi zinazofundisha 'whitebox education'.

5. Tunatokaje kwenye tope hili?

Nakiri kuwa safari ya kujikwamua katika kadhia hii siyo ya kitoto. Hivi visera vya elimu vinavyopendekezwa, kwangu naona ni visera uchwara ambavyo havina dhima wala dira ya kuitoa Tanzania kutoka kwenye blackbox education ambayo kimsingi haina manufaa yoyote.

Ndo maana utakuta nchi inanunua huduma za wahandisi kutoka nje katika miradi yake, jambo ambalo ni hasara kubwa sana kwa sababu unaishia ku "export" pesa ambayo umeipata kwa shida sana kwa kuuza korosho, ufuta na vitu vya aina hiyo au kuwatoza kodi wamachinga.

Mchakato wa kuondokana na kadhia hii , kwa mtazamo wangu lazima uanze na kubadili fikra za viongozi wa Tanzania na Africa kwa ujumla.

i. Uwekezaji katika elimu. Mikakati ya sasa hivi ya uwekezaji katika elimu ni ya ajabu, ya hovyo ambayo haina dira ya kutuondoa kwenye tope la blackbox education. Haiwezekani ukasimamisha kuta nne na kuezeka bati la sufuria ukaita hicho ni darasa halafu usiishie na blackbox education.

Darasa ama liwe la shule ya msingi sekondari au chuo cha kati au kikuu, lazima liwe na viwango au ngazi fulani ya kiwango itakayokubalika miongoni mwa wadau wa elimu. Mfano, minimally, darasa ili liwe darasa lazima liwe na vitu kadhaa kama vile meza na kiti kwa kila mwanafunzi, idadi ya wanafunzi ijulikane kama 30-35.. nk.

ii. Mafunzo na qualifications za waalimu

Tanzania kama zilivyo nchi za Afrika, walimu hasa wa ngazi za chini ni kundi ambalo halina mafunzo na qualifications stahiki kukidhi mahitaji ya kuwa walimu. Katika mwelekeo huo, serikali huwa inawalipa ujira kidogo kwa sababu kutokana na qualifications duni, wahusika hawana upenyo wa kudai hata stahili zao.

Hili lazima likome, ili watu wote watakaopewa jukumu la kufundisha taifa, wawe watu wenye viwango vya juu kitaaluma, na vivyo hivyo, ujira wao uwe ni wa juu kabisa kuliko au kulingana na kada zilizoko juu.

Kwani kumlipa mwalimu wa msingi mwenye sifa stahiki sh millioni 3, au wa secondari 3.5M au wa chuo cha kati 4M au wa chuo kikuu 8M utapungukiwa na nini? Unashindwa kumlipa mwalimu ujira wa staha kwa kisingizio huna hela halafu kila mwaka unalalamika wezi wameiba 15trilion.. huu ni ujinga first class.

iii. Figisu za mabeberu

Mabeberu wanafahamu fika kuwa Tz na Afrika ikikoma kuwapa watu wake blackbox education nao watakuwa wameisha, kwisha habari yao. Kuondokana kwetu na blackbox education ndo utakuwa mwanzo wa kutengeneza machine zetu, magari yetu, nguo zetu, nk.

Tutajuwa kutumia raslimali zetu za asili, mfano, gas yetu, upepo wetu, jua letu, ardhi yetu kwa manufaa yetu. Hakika mabeberu watakuja kutuomba kama sisi tunavyoenda kuwaomba omba.

Sasa hawa lazima kuwa macho nao sana.. nafikiri ziko mbinu, ila kwa vile wanaotakiwa kutekeleza mbinu hizi, kwa bahati mbaya, nao ni wahanga wa blackbox education, huenda ikawa changamoto.

6. Hitimisho

Kwa ambao mtakuwa mmenielewa, nawakaribisha sana mtoe michango. Kukaa kila mwaka tunasingizia sera na kuzibadilisha, wakati mzizi wa tatizo hauguswi, ni kupoteza muda na pesa na kujidanganya. Blackbox education haitaifanya Tz itoboe, katika eneo lolote kitaaluma, kiteknolojia, na kifikra.

Asanteni sana na karibuni tuelimishane.

Capital
Mwamba unaakili sana ila nimeshangaa hii thread haina comment isikuvunje moyo umeandika kitu kizuri sana hili swala huwa nalifikilia sana ila mi naona walitupotza pale waliposema viongozi wasome masomo ya art ambayo hayana michango yoyote kiteknolojia na ndo wameshika nchi
 
Mwamba unaakili sana ila nimeshangaa hii thread haina comment isikuvunje moyo umeandika kitu kizuri sana hili swala huwa nalifikilia sana ila mi naona walitupotza pale waliposema viongozi wasome masomo ya art ambayo hayana michango yoyote kiteknolojia na ndo wameshika nchi
Kakaa siunatujua sisi lakini tulivyo? Sisi na issue kama hizi wapi na wapi?
 
Wakuu GT.. nawasalimia sana.
Niende moja kwa moja kwenye mada.

1. Utangulizi
Hapana shaka kuwa kiwango cha maendeleo ya nchi au bara hutegemea ubora wa raslimali watu katika nchi/bara husika. Ubora huu wa raslimali watu ndo hutofautisha nchi na nchi, bara na bara katika maendeleo ya kiuchumi, kwa maana kwamba chi zenye maendeleo makubwa ni bayana wana raslimali watu wa ubora wa hali ya juu.

Raslimali bora bila shaka ni zao la elimu. Hivi karibuni kumekuwepo na mapitio ya sera ya elimu kwa mtazamo kwamba changamoto tulizonazo kiini chake ni sera za elimu zisizokidhi. Hili liko sahihi. Leo nitajikita katika kuonesha tunapokosea, ili kama itawapendeza watunga sera na wadau wa elimu, waweze kuazima vitu kadha wakadha, huenda ikasaidia.

2. Elimu ya "blackbox"
Black box au tafsiri isiyo rasmi boksi jeusi ni aina ya elimu ambayo ni ya kijuu juu sana, ni elimu ambayo inamfundisha muhitimu mambo madogo madogo kabisa ambayo hayana manufaa kwa nchi. Muhitimu hufundishwa mambo tu ya kutumia kitu au teknolojia na si elimu ya kutengeneza hiyo technolojia au kifaa.

Blackbox education ni kwamba wahitimu wamepitishwa tu juu juu (skimming) na hawakupelekwa ndani haswa (deep to the core) katika mfumo mzima wa mafunzo husika. Binafsi hiyo blackbox education naiona kama sifuri kabisa inayopoteza muda wa wahitimu na ndio mtego mkubwa katika maendeleo ya nchi yetu na bara letu. Muhitimu wa blackbox education, kimsingi hana msaada kwa nchi yake, kwa continent yake na kwa dunia.

Hii ndiyo aina ya elimu tunayotoa katika mashule yetu, vyuo vyetu hapa nchini na mahali karibu pote katika bara la Africa. Ndiyo sababu, hakuna teknolojia, vifaa, falsafa iliyozalishwa ambayo chanzo chake ni Tanzania/Africa. Washindi wa Nobel wa Africa ni wale wa kimchongo, wapiga midomo, kwa elimu ya aina hii, hatakuja kupatikana Laureate wa Chemistry, Physiology, Physics, Engineering, nk.

3. Tatizo ni nini?
Kwa mtazamo wangu, nadhani vyanzo vya tatizo ni vingi mno vikiwemo ukoloni, nafasi ya Tanzania au Africa katika uchumi wa dunia.. kwamba Afrika katika mizania ya nguvu, imejikuta ikiwa upande wa omba omba zaidi kuliko mtoaji. Tatizo lingine ni watu wenyewe wakiwemo viongozi ambao nao ni wahanga wa blackbox education.

Kwa hiyo nachelea kusema kuwa mara zote mtu atatenda kadri anavyofahamu. Kwamba hao wataalam hawawezi kufikiria nje ya wanachokijuwa, nje ya black box. Kuna swala la uvivu wetu sisi kama raia katika swala zima la elimu. Ni sahihi kwamba elimu deep ni ngumu, inayohitaji utulivu, uhamasishaji na uvumilivu mkubwa. Lazima jukumu hili tulibebe kama tunataka mabadiliko.

4. Kumulika ndani ya boksi jeusi
Hebu tuone namna ya kupindua meza, tuondokane na aina hii ya elimu ya hovyo hovyo. Tunahitaji kufanya kazi kweli kweli. Tunahitaji kuwafundisha watanzania na Wafrica mambo makubwa, ya ndani (deep) kabisa katika sayansi hasa zile sayansi msingi.

Nitatoa mfano: mtu anasoma Chemistry, lakini unakuta anachokijuwa katika chemistry ni upuuzi tupu, anajuwa tu vitu vya juu juu. Mtu kama huyu hawezi kuwa na uwezo wa kutengeneza dawa, hata dawa rahisi kama panadol. Unakuta mitaala ya vyuo vikuu ni black box tupu, yaani mhitimu hana ufahamu wa ndani katika eneo alilohitimu.

Mhitimu anayefanya fani ya electronics, hajui hata chip inatengenezwaje, anajuwa labda inatumika kufanya nini, hii ndo blackbox education sasa. Nisiseme mengi katika hili, ila niseme tu kuwa kwa elimu kama hii, ni ndoto kwamba tutaweza hata siku moja kuja kutengeneza machine au kifaa au falsafa yetu kama watanzania/waafrika.

Kwa hiyo tutaendelea kulipa kwa gharama kubwa ili kukidhi mahitaji yetu kiteknolojia kutoka kwa nchi zinazofundisha 'whitebox education'.

5. Tunatokaje kwenye tope hili?

Nakiri kuwa safari ya kujikwamua katika kadhia hii siyo ya kitoto. Hivi visera vya elimu vinavyopendekezwa, kwangu naona ni visera uchwara ambavyo havina dhima wala dira ya kuitoa Tanzania kutoka kwenye blackbox education ambayo kimsingi haina manufaa yoyote.

Ndo maana utakuta nchi inanunua huduma za wahandisi kutoka nje katika miradi yake, jambo ambalo ni hasara kubwa sana kwa sababu unaishia ku "export" pesa ambayo umeipata kwa shida sana kwa kuuza korosho, ufuta na vitu vya aina hiyo au kuwatoza kodi wamachinga.

Mchakato wa kuondokana na kadhia hii , kwa mtazamo wangu lazima uanze na kubadili fikra za viongozi wa Tanzania na Africa kwa ujumla.

i. Uwekezaji katika elimu. Mikakati ya sasa hivi ya uwekezaji katika elimu ni ya ajabu, ya hovyo ambayo haina dira ya kutuondoa kwenye tope la blackbox education. Haiwezekani ukasimamisha kuta nne na kuezeka bati la sufuria ukaita hicho ni darasa halafu usiishie na blackbox education.

Darasa ama liwe la shule ya msingi sekondari au chuo cha kati au kikuu, lazima liwe na viwango au ngazi fulani ya kiwango itakayokubalika miongoni mwa wadau wa elimu. Mfano, minimally, darasa ili liwe darasa lazima liwe na vitu kadhaa kama vile meza na kiti kwa kila mwanafunzi, idadi ya wanafunzi ijulikane kama 30-35.. nk.

ii. Mafunzo na qualifications za waalimu

Tanzania kama zilivyo nchi za Afrika, walimu hasa wa ngazi za chini ni kundi ambalo halina mafunzo na qualifications stahiki kukidhi mahitaji ya kuwa walimu. Katika mwelekeo huo, serikali huwa inawalipa ujira kidogo kwa sababu kutokana na qualifications duni, wahusika hawana upenyo wa kudai hata stahili zao.

Hili lazima likome, ili watu wote watakaopewa jukumu la kufundisha taifa, wawe watu wenye viwango vya juu kitaaluma, na vivyo hivyo, ujira wao uwe ni wa juu kabisa kuliko au kulingana na kada zilizoko juu.

Kwani kumlipa mwalimu wa msingi mwenye sifa stahiki sh millioni 3, au wa secondari 3.5M au wa chuo cha kati 4M au wa chuo kikuu 8M utapungukiwa na nini? Unashindwa kumlipa mwalimu ujira wa staha kwa kisingizio huna hela halafu kila mwaka unalalamika wezi wameiba 15trilion.. huu ni ujinga first class.

iii. Figisu za mabeberu

Mabeberu wanafahamu fika kuwa Tz na Afrika ikikoma kuwapa watu wake blackbox education nao watakuwa wameisha, kwisha habari yao. Kuondokana kwetu na blackbox education ndo utakuwa mwanzo wa kutengeneza machine zetu, magari yetu, nguo zetu, nk.

Tutajuwa kutumia raslimali zetu za asili, mfano, gas yetu, upepo wetu, jua letu, ardhi yetu kwa manufaa yetu. Hakika mabeberu watakuja kutuomba kama sisi tunavyoenda kuwaomba omba.

Sasa hawa lazima kuwa macho nao sana.. nafikiri ziko mbinu, ila kwa vile wanaotakiwa kutekeleza mbinu hizi, kwa bahati mbaya, nao ni wahanga wa blackbox education, huenda ikawa changamoto.

6. Hitimisho

Kwa ambao mtakuwa mmenielewa, nawakaribisha sana mtoe michango. Kukaa kila mwaka tunasingizia sera na kuzibadilisha, wakati mzizi wa tatizo hauguswi, ni kupoteza muda na pesa na kujidanganya. Blackbox education haitaifanya Tz itoboe, katika eneo lolote kitaaluma, kiteknolojia, na kifikra.

Asanteni sana na karibuni tuelimishane.

Capital
Madini tupu.
 
Na huu ndio mzizi wa shida zote.
Mfumo wa elimu wa kipumbavu
Unazaa wakufunzi wapumbavu
Wanafunzi wanalishwa upumbavu
Matokeo yake kila kona wamejaa wapumbavu.
 
Wakuu GT.. nawasalimia sana.
Niende moja kwa moja kwenye mada.

1. Utangulizi
Hapana shaka kuwa kiwango cha maendeleo ya nchi au bara hutegemea ubora wa raslimali watu katika nchi/bara husika. Ubora huu wa raslimali watu ndo hutofautisha nchi na nchi, bara na bara katika maendeleo ya kiuchumi, kwa maana kwamba chi zenye maendeleo makubwa ni bayana wana raslimali watu wa ubora wa hali ya juu.

Raslimali bora bila shaka ni zao la elimu. Hivi karibuni kumekuwepo na mapitio ya sera ya elimu kwa mtazamo kwamba changamoto tulizonazo kiini chake ni sera za elimu zisizokidhi. Hili liko sahihi. Leo nitajikita katika kuonesha tunapokosea, ili kama itawapendeza watunga sera na wadau wa elimu, waweze kuazima vitu kadha wakadha, huenda ikasaidia.

2. Elimu ya "blackbox"
Black box au tafsiri isiyo rasmi boksi jeusi ni aina ya elimu ambayo ni ya kijuu juu sana, ni elimu ambayo inamfundisha muhitimu mambo madogo madogo kabisa ambayo hayana manufaa kwa nchi. Muhitimu hufundishwa mambo tu ya kutumia kitu au teknolojia na si elimu ya kutengeneza hiyo technolojia au kifaa.

Blackbox education ni kwamba wahitimu wamepitishwa tu juu juu (skimming) na hawakupelekwa ndani haswa (deep to the core) katika mfumo mzima wa mafunzo husika. Binafsi hiyo blackbox education naiona kama sifuri kabisa inayopoteza muda wa wahitimu na ndio mtego mkubwa katika maendeleo ya nchi yetu na bara letu. Muhitimu wa blackbox education, kimsingi hana msaada kwa nchi yake, kwa continent yake na kwa dunia.

Hii ndiyo aina ya elimu tunayotoa katika mashule yetu, vyuo vyetu hapa nchini na mahali karibu pote katika bara la Africa. Ndiyo sababu, hakuna teknolojia, vifaa, falsafa iliyozalishwa ambayo chanzo chake ni Tanzania/Africa. Washindi wa Nobel wa Africa ni wale wa kimchongo, wapiga midomo, kwa elimu ya aina hii, hatakuja kupatikana Laureate wa Chemistry, Physiology, Physics, Engineering, nk.

3. Tatizo ni nini?
Kwa mtazamo wangu, nadhani vyanzo vya tatizo ni vingi mno vikiwemo ukoloni, nafasi ya Tanzania au Africa katika uchumi wa dunia.. kwamba Afrika katika mizania ya nguvu, imejikuta ikiwa upande wa omba omba zaidi kuliko mtoaji. Tatizo lingine ni watu wenyewe wakiwemo viongozi ambao nao ni wahanga wa blackbox education.

Kwa hiyo nachelea kusema kuwa mara zote mtu atatenda kadri anavyofahamu. Kwamba hao wataalam hawawezi kufikiria nje ya wanachokijuwa, nje ya black box. Kuna swala la uvivu wetu sisi kama raia katika swala zima la elimu. Ni sahihi kwamba elimu deep ni ngumu, inayohitaji utulivu, uhamasishaji na uvumilivu mkubwa. Lazima jukumu hili tulibebe kama tunataka mabadiliko.

4. Kumulika ndani ya boksi jeusi
Hebu tuone namna ya kupindua meza, tuondokane na aina hii ya elimu ya hovyo hovyo. Tunahitaji kufanya kazi kweli kweli. Tunahitaji kuwafundisha watanzania na Wafrica mambo makubwa, ya ndani (deep) kabisa katika sayansi hasa zile sayansi msingi.

Nitatoa mfano: mtu anasoma Chemistry, lakini unakuta anachokijuwa katika chemistry ni upuuzi tupu, anajuwa tu vitu vya juu juu. Mtu kama huyu hawezi kuwa na uwezo wa kutengeneza dawa, hata dawa rahisi kama panadol. Unakuta mitaala ya vyuo vikuu ni black box tupu, yaani mhitimu hana ufahamu wa ndani katika eneo alilohitimu.

Mhitimu anayefanya fani ya electronics, hajui hata chip inatengenezwaje, anajuwa labda inatumika kufanya nini, hii ndo blackbox education sasa. Nisiseme mengi katika hili, ila niseme tu kuwa kwa elimu kama hii, ni ndoto kwamba tutaweza hata siku moja kuja kutengeneza machine au kifaa au falsafa yetu kama watanzania/waafrika.

Kwa hiyo tutaendelea kulipa kwa gharama kubwa ili kukidhi mahitaji yetu kiteknolojia kutoka kwa nchi zinazofundisha 'whitebox education'.

5. Tunatokaje kwenye tope hili?

Nakiri kuwa safari ya kujikwamua katika kadhia hii siyo ya kitoto. Hivi visera vya elimu vinavyopendekezwa, kwangu naona ni visera uchwara ambavyo havina dhima wala dira ya kuitoa Tanzania kutoka kwenye blackbox education ambayo kimsingi haina manufaa yoyote.

Ndo maana utakuta nchi inanunua huduma za wahandisi kutoka nje katika miradi yake, jambo ambalo ni hasara kubwa sana kwa sababu unaishia ku "export" pesa ambayo umeipata kwa shida sana kwa kuuza korosho, ufuta na vitu vya aina hiyo au kuwatoza kodi wamachinga.

Mchakato wa kuondokana na kadhia hii , kwa mtazamo wangu lazima uanze na kubadili fikra za viongozi wa Tanzania na Africa kwa ujumla.

i. Uwekezaji katika elimu. Mikakati ya sasa hivi ya uwekezaji katika elimu ni ya ajabu, ya hovyo ambayo haina dira ya kutuondoa kwenye tope la blackbox education. Haiwezekani ukasimamisha kuta nne na kuezeka bati la sufuria ukaita hicho ni darasa halafu usiishie na blackbox education.

Darasa ama liwe la shule ya msingi sekondari au chuo cha kati au kikuu, lazima liwe na viwango au ngazi fulani ya kiwango itakayokubalika miongoni mwa wadau wa elimu. Mfano, minimally, darasa ili liwe darasa lazima liwe na vitu kadhaa kama vile meza na kiti kwa kila mwanafunzi, idadi ya wanafunzi ijulikane kama 30-35.. nk.

ii. Mafunzo na qualifications za waalimu

Tanzania kama zilivyo nchi za Afrika, walimu hasa wa ngazi za chini ni kundi ambalo halina mafunzo na qualifications stahiki kukidhi mahitaji ya kuwa walimu. Katika mwelekeo huo, serikali huwa inawalipa ujira kidogo kwa sababu kutokana na qualifications duni, wahusika hawana upenyo wa kudai hata stahili zao.

Hili lazima likome, ili watu wote watakaopewa jukumu la kufundisha taifa, wawe watu wenye viwango vya juu kitaaluma, na vivyo hivyo, ujira wao uwe ni wa juu kabisa kuliko au kulingana na kada zilizoko juu.

Kwani kumlipa mwalimu wa msingi mwenye sifa stahiki sh millioni 3, au wa secondari 3.5M au wa chuo cha kati 4M au wa chuo kikuu 8M utapungukiwa na nini? Unashindwa kumlipa mwalimu ujira wa staha kwa kisingizio huna hela halafu kila mwaka unalalamika wezi wameiba 15trilion.. huu ni ujinga first class.

iii. Figisu za mabeberu

Mabeberu wanafahamu fika kuwa Tz na Afrika ikikoma kuwapa watu wake blackbox education nao watakuwa wameisha, kwisha habari yao. Kuondokana kwetu na blackbox education ndo utakuwa mwanzo wa kutengeneza machine zetu, magari yetu, nguo zetu, nk.

Tutajuwa kutumia raslimali zetu za asili, mfano, gas yetu, upepo wetu, jua letu, ardhi yetu kwa manufaa yetu. Hakika mabeberu watakuja kutuomba kama sisi tunavyoenda kuwaomba omba.

Sasa hawa lazima kuwa macho nao sana.. nafikiri ziko mbinu, ila kwa vile wanaotakiwa kutekeleza mbinu hizi, kwa bahati mbaya, nao ni wahanga wa blackbox education, huenda ikawa changamoto.

6. Hitimisho

Kwa ambao mtakuwa mmenielewa, nawakaribisha sana mtoe michango. Kukaa kila mwaka tunasingizia sera na kuzibadilisha, wakati mzizi wa tatizo hauguswi, ni kupoteza muda na pesa na kujidanganya. Blackbox education haitaifanya Tz itoboe, katika eneo lolote kitaaluma, kiteknolojia, na kifikra.

Asanteni sana na karibuni tuelimishane.

Capital
Kwa sasa mkazo mkubwa umewekwa kwenye maliasili kama kutafuta mafuta, gesi, madini, mazao etc.

Kuwekeza kwenye rasilimali watu ni sehemu ndogo sana ya focus yetu.

Hebu soma habari kama hii. Hakuna hata sehemu inayoongelea capacity building katika human resources.


Zanzibar takes bold steps to diversify its economy as it opens new oil and gas zones for bids​

CHINEDU OKAFOR

August 3, 2023 4:00 PM

ZSYk9kpTURBXy8zODZmODIyNjgyM2FlZjI5YzE4MDk4YzcyYzgyMWFjZi5qcGeSlQMyAM0DIM0BwpMFzQMWzQGu3gABoTAF


Zanzibar Blue economy

  • Zanzibar opened 12 new oil and gas development zones in a bid to diversify its economy and reduce reliance on tourism.
  • President Mwinyi's $2.4 billion plan aims to promote shipping, oil exploration, and seaweed processing while fostering the "blue" economy.
  • International tendering is expected by the end of 2023, inviting oil and gas exploration firms to invest in Zanzibar's data and propose areas of interest for development.
In an effort to diversify its economy and lessen its reliance on tourism, which now accounts for more than a quarter of its GDP, Zanzibar has opened up new oil and gas development zones for bids.

In accordance with President Hussein Mwinyi's $2.4 billion plan to promote shipping, oil exploration, and seaweed processing, the 12 blocks have already been opened. The Zanzibar head of state unveiled the five-year plan in February of last year. It aims to expand the country's oil and gas sector while also fostering the "blue" economy.

The 12 blocks were opened when a multinational corporation named Schlumberger finished the task of analyzing the oil and gas data that had been given to the government of Zanzibar by the government of the United Republic of Tanzania.

Suleiman Masoud Makame, Zanzibar's minister for blue economy and fisheries, stated that data processing and distribution of additional blocks, totaling 12 blocks, situated in the deep water regions of eastern Unguja and Pemba, have been completed. “This is the first tender related to oil and gas exploration and extraction to be issued in Zanzibar, constituting issues stipulated in the sectors’ Five Year Development Plan,” Suleiman Masoud Makame, said.

Additionally, Suleiman Masoud Makame stated that the ministry would like to make a public declaration that the distribution of new oil and gas blocks situated in the deep sea off the coasts of eastern Unguja and Pemba as well as the data processing project were both finished.

Furthermore, he added that the action ushers in a new era of oil and gas exploration designed to advance the industry by presenting investment prospects and welcoming proposals through an upcoming international tendering that is expected to be revealed by the end of 2023.

“The government now welcomes oil and gas exploration and extraction firms to visualize Zanzibar’s data and propose areas of interest for them to invest in before the commencement of the tendering process,” he said.

An earlier agreement between Zanzibar and the UAE company RAK Gas for oil exploration in the Pemba block lapsed before the anticipated job's completion, despite an extension of the implementation period. Tanzania Mainland and Zanzibar made the decision to end their joint oversight of the oil and gas industry in August of last year.

Before then, the United Republic of Tanzania was in charge of overseeing oil and gas-related Union affairs. The semi-autonomous Indian Ocean archipelago may now proceed with the independent hunt for exploration investors after receiving oil and gas data from Tanzania's Mainland.
 
Uzi mzuri sana hongera nyingi! Sasa mbona waziri wa Elimu sayansi na technologia ni Professor? Hawezi kufikiria beyond the box?
Naye ni mhanga wa 'blackbox education'.. hana uwezo. Anahitaji kuelimishwa zaidi
 
Mwamba unaakili sana ila nimeshangaa hii thread haina comment isikuvunje moyo umeandika kitu kizuri sana hili swala huwa nalifikilia sana ila mi naona walitupotza pale waliposema viongozi wasome masomo ya art ambayo hayana michango yoyote kiteknolojia na ndo wameshika nchi
Asante sana mwamba.. ni dhahiri kabisa jamii iliyopewa blackbox education hata ku reason huwa ni kwa shida sana.. saa nyingine wajumbe wanaweza kuwa hawakuelewa mada inaongelea nini..
Hahaaa..
 
Kwa sasa mkazo mkubwa umewekwa kwenye maliasili kama kutafuta mafuta, gesi, madini, mazao etc.

Kuwekeza kwenye rasilimali watu ni sehemu ndogo sana ya focus yetu.

Hebu soma habari kama hii. Hakuna hata sehemu inayoongelea capacity building katika human resources.


Zanzibar takes bold steps to diversify its economy as it opens new oil and gas zones for bids​

CHINEDU OKAFOR

August 3, 2023 4:00 PM

ZSYk9kpTURBXy8zODZmODIyNjgyM2FlZjI5YzE4MDk4YzcyYzgyMWFjZi5qcGeSlQMyAM0DIM0BwpMFzQMWzQGu3gABoTAF


Zanzibar Blue economy

  • Zanzibar opened 12 new oil and gas development zones in a bid to diversify its economy and reduce reliance on tourism.
  • President Mwinyi's $2.4 billion plan aims to promote shipping, oil exploration, and seaweed processing while fostering the "blue" economy.
  • International tendering is expected by the end of 2023, inviting oil and gas exploration firms to invest in Zanzibar's data and propose areas of interest for development.
In an effort to diversify its economy and lessen its reliance on tourism, which now accounts for more than a quarter of its GDP, Zanzibar has opened up new oil and gas development zones for bids.

In accordance with President Hussein Mwinyi's $2.4 billion plan to promote shipping, oil exploration, and seaweed processing, the 12 blocks have already been opened. The Zanzibar head of state unveiled the five-year plan in February of last year. It aims to expand the country's oil and gas sector while also fostering the "blue" economy.

The 12 blocks were opened when a multinational corporation named Schlumberger finished the task of analyzing the oil and gas data that had been given to the government of Zanzibar by the government of the United Republic of Tanzania.

Suleiman Masoud Makame, Zanzibar's minister for blue economy and fisheries, stated that data processing and distribution of additional blocks, totaling 12 blocks, situated in the deep water regions of eastern Unguja and Pemba, have been completed. “This is the first tender related to oil and gas exploration and extraction to be issued in Zanzibar, constituting issues stipulated in the sectors’ Five Year Development Plan,” Suleiman Masoud Makame, said.

Additionally, Suleiman Masoud Makame stated that the ministry would like to make a public declaration that the distribution of new oil and gas blocks situated in the deep sea off the coasts of eastern Unguja and Pemba as well as the data processing project were both finished.

Furthermore, he added that the action ushers in a new era of oil and gas exploration designed to advance the industry by presenting investment prospects and welcoming proposals through an upcoming international tendering that is expected to be revealed by the end of 2023.

“The government now welcomes oil and gas exploration and extraction firms to visualize Zanzibar’s data and propose areas of interest for them to invest in before the commencement of the tendering process,” he said.

An earlier agreement between Zanzibar and the UAE company RAK Gas for oil exploration in the Pemba block lapsed before the anticipated job's completion, despite an extension of the implementation period. Tanzania Mainland and Zanzibar made the decision to end their joint oversight of the oil and gas industry in August of last year.

Before then, the United Republic of Tanzania was in charge of overseeing oil and gas-related Union affairs. The semi-autonomous Indian Ocean archipelago may now proceed with the independent hunt for exploration investors after receiving oil and gas data from Tanzania's Mainland.
Hapa ndo utafahamu ukomo wa kiakili wa watu wanaotuongoza. Kimsingi, hizi ngojera zote ni kutengeneza mazingira ili hizo mali asili zichukuliwe na wageni.. na hatimaye, itabaki kuwa historia kuwa Tz kulikuwapo na mali ile na ile..

Dhahabu za kanda ya ziwa ndo zinaelekea ukingoni.. jiulize ni tani ngapi za dhahabu zimechimbwa pale.. na Tz imepata nini? Imepata sifuri aka zero
 
Asante sana mwamba.. ni dhahiri kabisa jamii iliyopewa blackbox education hata ku reason huwa ni kwa shida sana.. saa nyingine wajumbe wanaweza kuwa hawakuelewa mada inaongelea nini..
Hahaaa..
Sana mwamba,,, hii elimu haiwez kutukomboa kutoka kwenye utegemezi kutoka mataifa mengine na viongoz wakubwa hawaamin katika trial and fail in technology wanataka tu vitu vilivyonyooka. Ila mwamba em fikilia uko na kiongozi ambaye hajui physics na chemistry ataweza kufikiria technology yoyote au awe na iman na vijana wenye kaujuz kidogo. Maana wao huwa wanaamin mtu anazaliwa navyo vitu vya kutengeneza na sio kupitia elimu
 
Umenena ukweli tupu kwa sababu unamkuta mwalimu wa chemistry anafundisha electrolysis lakini hajui hata kutengeneza battery kwa kutumia local mateals kama chumvi na electrode alizo nazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom