Wazo la Leo....

Wazo la Leo....

Chipolopolo

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2012
Posts
1,432
Reaction score
746
Usimpoteze akupendae kwa ajili ya unae mtamani. Kwa sababu unaemtamani anamuwaza ampendae....
 
Si kila asemae nakupenda anamaanisha hivyo!wengi humaanisha nakutamani
 
::
Apendwae Mungu wanadamu tunajaribu
=
 
wazo la leo ukijenga ukweni ni sawa na kujenga kwenye hifadhi ya barabara
 
Na kupenda usipopendwa ni
sawa na kusubiri Boat airport!!!!
Bye
 
Back
Top Bottom