Wazo la Leo....

Wazo la Leo....

Ni bora kumwambia mtu ukweli akalia kuliko kumwambia uongo akafurahi maana maumivu ya kufurahi huko ni makubwa zaidi pale atakapobaini ukweli!
 
Ni bora kumwambia mtu ukweli akalia kuliko kumwambia uongo akafurahi maana maumivu ya kufurahi huko ni makubwa zaidi pale atakapobaini ukweli!

SI unit: Huo ni ukweli mkuu.Ukweli hata kama mchungu ni tiba sawa tu na muarobaini au chloroquine...
 
Last edited by a moderator:
kushadadia jambo usilolijuwa ni sawa na kuingiza vocha bila kuikwangua...
 
ukizaliwa nyota yako ni Mbwa
Basi usishangae kuja kuwa mlinzi mpaka siku ya kufa
 
Ukumbuke hata zipu ina meno!! Ila haipigi mswaki! Lol
 
Back
Top Bottom