Wazo la leo

Wazo la leo

"Lakini uongozi mbovu ni kama mzoga, una tabia ya kukaribisha mafisi na mainzi"

Source: Mwalimu J.K. Nyerere. (R.I.P)
 
Ukiona kazi kufanya kazi, acha kazi uone kazi.
 
siyo kila m'beba bunduki ni askari, wengine majambazi.
 
juu havutii ila chini kafungasha madini
 
Back
Top Bottom