Wazo la leo

Wazo la leo

siyo kila mbuzi wa maskini hazai, wengine huzaa na kufa.
 
siyo kila kifupisho cha JK kirefu chake ni Julius Kambarage
vingine kirefu chake ni Jambazi la Kikwere, au Jinga la Kichwani.
 
...ukifanya biashara ya utumbo, usiogope nzi...!
 
...hakuna mkate mgumu mbele ya supu...
 
Kama bahari yote ingekuwa supu, chapati ngapi zingetosha kwa kitafunwa?
 
Back
Top Bottom