Waziri wa sheria na katiba harakisha mswada wa bodi ya mawakili haraka sana Bungeni

.

Wewe unajisifia umesoma sheria? ndio tatizo lenu watoto wa law school.
Ok, umesema umepikwa Law School, poa tuanze na hiyo Leagal Drafting ya Prof Majamba. Niambie hizi statement mbili maarufu katika legal drafting zilitolewa na nani, wapi na mazingira yapi
  1. There is, first, document A, and a Judge formed an opinion as to its construction. Then came document B, and some other Judge has said that it differs very little from document A – not sufficiently to alter the construction – therefore he construes it in the same way. Then comes document C, and the Judge there compares it with document B, and says it differs very little, and therefore he shall construe it in the same way. And so the construction has gone on until we find a document which is in totally different terms from the first, and which no human being would think of construing in the same manner, but which has by this process come to be construed in the same manner.
  2. Courts do not regard themselves as controlled by the meaning given to words in earlier cases. This is because no two cases are ever exactly the same. Judicial examination of a word’s meaning in an earlier case is useful only to the extent that it provides an analogy to prompt the approach to be taken in a later case.
Hiyo assignment kawape watoto/wanafunzi wako..hapa ni jf.
 
Hiyo assignment kawape watoto/wanafunzi wako..hapa ni jf.
Najua masaa yote ulikuwa unagoole, na umeshindwa kuleta jibu.
Kwa kukushauri tu, penda kusoma vitabu. A good lawyer is made from libraries, and you can't make a good lawyer out of library. In-short you can't be a lawyer without a library.
Na hiyo haikuwa assigment. Nilitaka nijue kama umeiva katika elimu yako ya sheria. Being a good lawyer usingeshindwa kutatua hilo. Pole.
 
Mswada huo unaounda bodi ya mawakili na kuua sheria ya chama cha mawakili, ni mswada muhimu sana. Utaleta nidhamu ya uwakili ktk nchi hii.Maana kwa sasa fani ya uwakili imetekwa na wanasiasa, na kuondoa lemgo msingi la fani hii.
OMBI:Mheshimiwa waziri/AG aulete mswada huo bungeni Novemba ikibi kwa hati ya dharula. Standing orders za bunge za mwaka 2016 zinaruhusu utaratibu huo. We want clean air in the legal profession.
Nawe ni mbunge au?. Ni tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mswada huo unaounda bodi ya mawakili na kuua sheria ya chama cha mawakili, ni mswada muhimu sana. Utaleta nidhamu ya uwakili ktk nchi hii.Maana kwa sasa fani ya uwakili imetekwa na wanasiasa, na kuondoa lemgo msingi la fani hii.
OMBI:Mheshimiwa waziri/AG aulete mswada huo bungeni Novemba ikibi kwa hati ya dharula. Standing orders za bunge za mwaka 2016 zinaruhusu utaratibu huo. We want clean air in the legal profession.
Ni mwanasheria wa CDM,Mbunge, Raisi wa TLS nk. Uroho huu wa madaraka ni elements za dikteta halisi.
Wee acha zako. Mimi ni mwanasheria tena kwa level ya PhD. Kajifiche kwenye zizi la panya na ka LLB kako uchwara.
Hiyo PHD zenu hazina msaada kwa nchi yetu zaidi ya kuwa msaada kwa matumbo yenu pumbavu zenu
 
Mswada huo unaounda bodi ya mawakili na kuua sheria ya chama cha mawakili, ni mswada muhimu sana. Utaleta nidhamu ya uwakili ktk nchi hii.Maana kwa sasa fani ya uwakili imetekwa na wanasiasa, na kuondoa lemgo msingi la fani hii.
OMBI:Mheshimiwa waziri/AG aulete mswada huo bungeni Novemba ikibi kwa hati ya dharula. Standing orders za bunge za mwaka 2016 zinaruhusu utaratibu huo. We want clean air in the legal profession.

Naona Lissu kawapiga sana,kwa Mtanzania mwenye kuipenda nchi yake,hatakufikiria huo upuuzi uliouandika asingefanya.Lakini kwa vile unaandika kwa sababu unategemea kulipwa endelea tu
 
wenzako tumepikwa Law School of Tz na akina prof.Majamba(legal drafting),Edward Chuwa (commercial), Taisamo(probate,civil) nk. Na tukatoboa. Wewe je? Lione.

Mngepikwa Law school usingeushabikia upuuzi wa CCM,sema umepikwa kiCCM,unadhani hao wapinzani siyo watanzania ,watanzania ni CCM tu??

Kama ulisoma basi ulijifunza kusoma na kuandika haujaelimika
 
Lisu Tundu ni dikteta halisi.
Nimeshangaa jana anasema hao polisi waje humu ndani wamkamate rais wa TLS akiwa kazini, yaani upuuzi alioufanya na kuongea kama mwanachadema anataka urais wake wa TLS umlinde??
Hovyo sana huyu jamaa!!
 
Wee acha zako. Mimi ni mwanasheria tena kwa level ya PhD. Kajifiche kwenye zizi la panya na ka LLB kako uchwara.
OMG! Awamu ya pii hechi dii za vilaza kweli sijawahi ona. Hii yako si ya vilaza tu,bali ni ya pichu pia. Kuandika hujui,kweli umeona milango ya darasa?

Sent from my Kremlin using JamiiForum mobile app
 
.

Wewe unajisifia umesoma sheria? ndio tatizo lenu watoto wa law school.
Ok, umesema umepikwa Law School, poa tuanze na hiyo Leagal Drafting ya Prof Majamba. Niambie hizi statement mbili maarufu katika legal drafting zilitolewa na nani, wapi na mazingira yapi
  1. There is, first, document A, and a Judge formed an opinion as to its construction. Then came document B, and some other Judge has said that it differs very little from document A – not sufficiently to alter the construction – therefore he construes it in the same way. Then comes document C, and the Judge there compares it with document B, and says it differs very little, and therefore he shall construe it in the same way. And so the construction has gone on until we find a document which is in totally different terms from the first, and which no human being would think of construing in the same manner, but which has by this process come to be construed in the same manner.
  2. Courts do not regard themselves as controlled by the meaning given to words in earlier cases. This is because no two cases are ever exactly the same. Judicial examination of a word’s meaning in an earlier case is useful only to the extent that it provides an analogy to prompt the approach to be taken in a later case.

Mkuu Dragon nakuheshimu sana.
 
Mswada huo unaounda bodi ya mawakili na kuua sheria ya chama cha mawakili, ni mswada muhimu sana. Utaleta nidhamu ya uwakili ktk nchi hii.Maana kwa sasa fani ya uwakili imetekwa na wanasiasa, na kuondoa lemgo msingi la fani hii.
OMBI:Mheshimiwa waziri/AG aulete mswada huo bungeni Novemba ikibi kwa hati ya dharula. Standing orders za bunge za mwaka 2016 zinaruhusu utaratibu huo. We want clean air in the legal profession.
Huna akili wewe,lkn imeandikwa wanafiki wote mwisho wao nikuburuzwa wakiwa hai katika lami nyeusi na yenye moto,unafanya unafiki uonekane eti nawewe unaiunga mkono serikali yenye kutokomeza haki na demokrasia
 
Mswada huo unaounda bodi ya mawakili na kuua sheria ya chama cha mawakili, ni mswada muhimu sana. Utaleta nidhamu ya uwakili ktk nchi hii.Maana kwa sasa fani ya uwakili imetekwa na wanasiasa, na kuondoa lemgo msingi la fani hii.
OMBI:Mheshimiwa waziri/AG aulete mswada huo bungeni Novemba ikibi kwa hati ya dharula. Standing orders za bunge za mwaka 2016 zinaruhusu utaratibu huo. We want clean air in the legal profession.
Hii ndio taabu ya sie ya watu weusi!!! Kuona karibu mnoooo.Mtu mmoja ambaye hapo alipo si ajabu halali mpaka kwa dawa na anayeweza kuondoka au kubadilika wakati wowote anasumbua mpaka watu wanataka kumtungia sheria!!!
Ubunge bado maika miwili na ushee,U raisi wa xxxxxxx ni wa muda tu,tulieni na mpambane na changamoto anazoleta naamini kuna ya faida yachukueni ili tujenge nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom