Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

NasDaz
Nashukuru kuona kuwa utetezi wako umelenga katika uzanzibar na ubara na siyo experience na CV. At least hilo umeliweka wazi. Nirejee hoja zako kama ifuatavyo.
Mkuu Nguruvi3, ni yapi uliyoyaona ambayo baada ya kuyatafakari kwa kina yakakushawishi kutoa kauli hitimisho kwamba hoja yangu imejikita kwenye Uzanzibari? Mimi ni mtu wa Lindi kwa 100% kwahiyo sina maslahi yoyote ZNZ labda kama unataka kunipa complement kwamba naitetea ZNZ ingawaje sina maslahi nayo; if so, then i'll take that complement ingawaje nitalazimika kuirudisha at the right time coz' I don't deserve it since my argument had nothing to do with Uzanzibar ama Uzanzibara!
Advance diploma na Diploma ni vitu viwili tofauti kabisa na si mbwembwe kama ulivyosema. Kwa ufupi advance diploma ina hadhi yake tofauti kwa curriculum na recognition
Nakubaliana na wewe but this diploma things ni system ambayo Tanzania ipo so, sidhani kama kuna mtu aliyefika angalau kidato cha sita na akashindwa kutofautisha kati ya diploma na advanced diploma. Ila tu nikukumbushe kwamba CV ya Saada haisemi alisoma diploma bali Adv Diploma na ndio maana nikasema hayo maelezo yake kwamba ana diploma ya...., bila shaka alimaanisha Advanced Diploma coz' ndiyo inayoonekana kwenye CV.
Endapo waziri hakuona sababu ya kuweka sifa zake za OUT kwas sifa,umesahau kuwa hatukuhitajikujua kasoma secondary, kuweka sekondari badala ya sifa za graduate ni udhaifu wa hoja yako.
You missed my point here. Watu tulijikita kuona magumashi ya elimu yake baada ya kuona kwamba elimu yenyewe ni kutoka OUT otherwise sijui inakuwaje tuone elimu yake ni ndogo wakati ana Masters! Kutokana na hilo ndipo nikasema hiyo elimu ya OUT ambayo watu wanaijadili wala haipo kwenye CV na kilichopo kwenye CV ni ile Advanced Diploma, Postgaraduate na Masters ambazo zote sio za OUT!
Usomi haushii katika vyeti na wala vyeti havitengenezi usomi. Usomi ni matumizi ya elimu katika weledi. Hatuangalii usomi wa Saada kwa makaratasi bali mchango wake kitaaluma au kifikra. Hakuna mahali tunaweza kuona Saada ameshiriki. Hayo si mbwembwe au sifa ni sehemu ya CV.
Nakubaliana na wewe kwa 100%, lakini wala haielekei kwamba wale wanaopinga hapo ndipo zimejikita hoja zao. Hoja za wale wanaopinga ni kwavile tu hawaoni majina ya vyuo vikubwa vikubwa kwenye CV! REMEMBER, hata mwanzilishi wa mjadala huu, Profesa Lipumba ndiko alijikita....wala hatukumsikia akizungumzia hayo mengine unless kama Waandishi waliamua kuacha mambo ya msingi ambayo Lipumba aliyasema na badala yake wakaon hili la wapi amesoma ndiyo issue. Lakini kwa upande mwingine, huyu mama isn't academician, and in fact not politician either, so huo mchango wake kitaaluma na kifikra ulitarajia tuone wapi? Huenda sijakupata vizuri. UKiangalia CV zilizo tovuti ya bunge, zinaishia tu kutaja education background, wapi alifanyia kazi na few including publications! Saada imetaja hayo mawili ya mwanzo but no publication. Lakini hata hivyo, ni Masters Holders wangapi wenye publication wakati sio academician? But wakati hizo publication hazipo, inaonekana wakati anachukua MBA yake pale OUT, Research yake ilikuwa on: Challenges of managing foreign aid in Zanzibar.
Je aliwahi kuwa policy maker au aliwahi kushiriki shughuli yoyote ndani na nje ya nchi ambayo tunapaswa kujua? Lazima CV ieleze si miaka ya shule tu bali uthabiti wa mtu katika nafasi na fani.
Mkuu wangu Nguruvi3, can we at least be fair to this woman? Hivi unataka kuniambia kwamba leo hii tuki-pick at random very qualified MPs who were once gov employees, CV zao kwenye tovuti zitaonesha kwamba alishiriki shughuli hii na ile, huku na kule? Can you try to check from bunge website? Haya mambo mengine reference yake ni kule alikofanyia kazi na sio tovuti ya bunge. Tovuti ya bunge inatoa simplified CVs.
Uzoefu wa kazi wa miaka 10 hautuelezi uwezo wake wa jukumu kubwa na zito alilo nalo. Anaweza kuwa alikuwa desk officer kwa miaka 8.Kukaa kazini hakuna maana uzoefu, uzoefu ni pamoja na nini amefanya
Hivi ulitarajia CV zilizopo pale tovuti ya bunge ziwe na mambo yote hayo? Kwamba, huyu bibi alikuwa Commissioner for External Finance na ame-achieve ABC! Before that alikuwa Treasure kama Administrative Officer na kazi zake zilikuwa XYZ, and these were her accomplishment! Is this what you're trying to say? Anyway, labda nikukumbushe tu kwamba ndio maana post yangu ya kwanza kabisa kwenye mjadala huu nilimkosoa Lipumba kwamba kwa jinsi alivyokosoa hadi kuita media, nilidhani alifanya research in advance kumbe katumia tovuti ya bunge as a reference!!! Kwavile Lipumba ni CUF na CUF wapo kwenye system kule ZNZ basi nilidhani kwamba alipata tips kutoka huko!
Ukumbuke nafasi alizoshika huko ZNZ ni ndogo sana japo majina ni makubwa. CommiSsioner wa fedha znz anaweza kuwa sawa na nafasi nyingine kama hiyo katika ngazi ya mkoa. Inabidi uangalie nafasi hiyo ilikuwa na ina simamia ukubwa kiasia gani.
Hapo kwenye BLUE ni bridge ya kuunganisha hizo two red sentences. The bridge sounds like u're not sure! But all in all, her last post was Commissioner for External Finance. There's no way tunaweza kusema hii ni junior post. Ingawaje sina uhakika na organisation structure ya ZNZ lakini hata kwa kuangalia Wizara ya Fedha muungano, Commissioner For Finance ni senior post. Lakini hata hivyo, ZNZ hakuna wasomi wengi as compared to bara, kwahiyo I doubt kama mwenye Masters in Finance anaweza kuwa junior staff in Zanzibar.
Uchumi wa New York city ni mkubwa kuliko wa Tanzania. Commissioner wa fedha wizara ya fedha Tanzania ni tofauti na commissioner wa fedha wa New york. Hoja ikiwa ni kuwa nafasi alizoshika huko znz si kigezo muhimu cha kupewa jukumu kubwa la JMT.
Kwahiyo kigezo nini? Labda niseme hivi, kigezo kwamba Kamishna wa NY ni tofauti na yule wa URT si kutokana na ukubwa wa uchumi husika bali changamoto za particular economy! Challenges in NY's economy is absolutely different to that of URT; so ingawaje NY wana uchumi mkubwa kabisa kuliko URT, lakini Commissioner wa kule anaweza kushindwa ku-deliver hapa coz' challenges are different! Wakati yeye labda alikuwa very competent in stuffs like money and financial markets, and the like, huku atakuta masuala ya Kilimo Kwanza na wakati hata pamba inafananaje hajui! Wakati NY economy is how to have addition sources of revenues huku atakuta wafanyabiashara hawataki kutumia EFDs! So, the point here isn't how large the economy is but challenges facing that economy!
Nafasi aliyopewa Saada ni kubwa na muhimu sana kwa uchumi wa taifa. Inataka mtu si mwenye elimu tu bali weledi wa kuchambua mambo. Waziri wa fedha atakuwa na majadiliano na akina Christine Lagard na wenzake wa EAC, SADC, WB na IMF. Ni mwakilishi katika maamuzi makubwa ya kiuchumi yanayoathiri nchi.
Nakubaliana na wewe kwa 100% lakini hizo competency ulizotaja huwezi kuziona kwenye CV; sasa kwanini tumuhukumu kwamba she's dumbest choice ever happened wakati nowhere in public papers unakoweza kuona alifanikisha au aliharibu XYZ Negotiation? Why should we judge her wakati nowhere kwenye public papers unakoweza kuona kwamba due to this poor decision once done by this woman, nchi ikaenda msobemsobe! I was once working with NMB, nilikuwa junior employee (Teller) by that time! Siku moja Branch Manager akaitisha Branch Management meeting...aliitisha kikao hicho baada ya kuitwa HQ na CEO na CEO alimtaka kila Manager aende na recommendation ya nini kifanyike ku-improve operation. Branch Management Meeting ikakaa kwa dakikaa kadhaa bila kupata even a single input! Ikabidi Manager aniite na kuniomba input. From nowhere, nikatoa my input haidhuru hata kama Manager alienda kwa CEO na kujifanya input hiyo ni yake! Na input yenyewe mpaka kesho NMB wanaitumia....nimekupa story hiyo ya kweli kukuonesha kwamba sometimes doesn't need a very huge post for one to have contribution in a particular area! Na huo huo u-administrative offier wake unaweza kukuta amefanya mambo makubwa kuliko Senior Super Consultant! Mwenye kuyafahamu haya ni bosi wake na wala sio sisi coz' you can't find them in CVs or Presentation papers!
JK kumwacha Sitta EA ni makusudi kwa kuelewa changamoto zilizopo
You're very right! Lakini usisahau, wakati JK anamteua Sitta watu walisema anamuua kisiasa na kuona it wasn't enough post for him kv EAC watu tuliichukulia ni kama wizara ya jinsia na maendeleo ya watoto! Majuzi hapa ndipo nikaja kugundua it's very right decision Sitta kuwa pale...kv sipendi kuwa ni mtu mwenye hinda, sioni taabu kusema kwamba Baba Riz aliona mbali hata kama watatokea wa kusema kwamba hakuna cha kuona mbali wala nini bali lengo ilikuwa ni kumpoteza as if alikuwa analazimika kwamba no matter what lazima ampe uwaziri!
Hivi leo utajisikiaje ukiona Lusinde(Kibajaji)ndiye mwakilishi wa Tanzania katika EAC. Arguably ni mbunge tena wa kuchaguliwa na si kuteuliwa kwanini tudhani hataweza kuwa!!!!!
Kuwa mbunge wa kuchaguliwa au kuteuliwa sio issue lakini sitaunga mkono uteuzi huo hata mara moja simply because Lusinde hata Form Four yenyewe sidhani kama amemaliza. Hata hivyo, Saada Mkuya ana MBA (Finance); the different between the two guys is very significant!
Nimetoa mfano kuwa Paris Club ilikataa majadiliano hadi waletwe wazoefu.
Huo mfano wako wa Paris Club sijauona lakini kama ni muhimu, basi wakija leo wataambiwa kwamba huyo Waziri wa sasa alihudumu kama Naibu Waziri wa wizara hiyo hiyo kwa miezi 18; na kama huo kwao hautakuwa uzoefu basi watakuwa watu wa ajabu! Lakini tukumbushane tu kwamba Wizara ya fedha ina watendaji wake…ina Katibu Mkuu na Msaidizi wake, ina wakurugenzi kwenye idara mbalimbal, ina makamishina katika idara mbalimbali. Hawa ndio msingi wa Wizara kwavile ndio watendaji. Though elimu na experience ni necessary lakini tunachohitaji zaidi ni very responsible and committed minister, the one with high integrity level, and so on! If you're an expert in solving complex economic models, you'll be where you belong to assist this responsible minister! If you got A+ in Econometric and Quantitative Methods, you'll be provided with the right desk.
Nafasi ya waziri wa fedha ni kubwa sana, na kwa kuangalia wasifu wa Saada nasema wazi hakupaswa wala kufaa kupewa jukumu hilo.
Mkuu Nguruvi3, mbona unaapiza wakati huyu mama humfahamu?! Usiseme wapi umeapiza, ni dhahiri kwamba sentensi yako kuna pahala imeficha neno, ama Haki ya Mungu, au Yesu wangu na kuwa "haki ya mungu, Saada hafai kabisa kwenye hii nafasi!!!!" Labda niseme hivi; mtu akiingia ndani na kuwasha swichi ya umeme lakini taa zisiwake, picha ya kwanza atafikiria TANESCO wamekata umeme! Akichugulia nje na kukuta nyumba za jirani taa zinawaka, ata-conclude kwamba tatizo si TANESCO...labda units za LUKU zimeisha! Akiangalia LUKU na kukuta zimejaa, huenda akafungua jokofu ili aone kama linapiga mzigo... in short, atajaribu hiki na kile hadi aone tatizo! Tumewasha swichi na taa haziwaki lakini tulipoangalia nyumba za jirani tukakuta taa zinawaka, tukagandua tatizo sio TANESCO! Hii nyumba ya jirani ni Wizara ya Elimu, Hii nyumba ya jirani ni Wizara ya kilimo, hii nyumba ya jirani, ni wizara ya maji; n.k n.k n.k! Huko kote kuna magwiji wenye wasifu usio shaka, lakini hakuna kitu! Waonaje basi tusipokata tamaa ili tuendelee kuwasha chombo hiki na kile, ikibidi tupande darini hadi tugundue tatizo ni nini hasa? Isije ikawa panya wamekata nyaya za umeme darini na kusababisha yoooooote haya!! Tukifanya hivyo, tutaepuka kupeleka jokofu kwa fundi akala pesa zetu bure!
 
Last edited by a moderator:
This is story of illustrious career sprinter the one and only one Bi Saada Mkuya

Bi Mkuya was born on a Monday.
Bi Mkuya went to school on a Tuesday.
Bi Mkuya graduated on a Wednesday.
Bi Mkuya joined CCM on aThursday
Bi Mkuya was nominated for parliament on a Friday
Bi Mkuya was appointed minister of finance on a saturday
Bi Mkuya assumes office and oddly enough her first act as minister of finance announcess -Nadaiwa laki sita cash money. Aiseee.............. Silipi!
 
Kwa kawaida huwa sipendi kujibu statement by statement, na ukiona mtu anafanya hivyo ujue huyo ni mbishi aka arrogant, lakini kwa faida yako, I'll reply in kind.
Khaaa! Hizo conclusion zako za ajabu ajabu sijui unazitoa wapi! Yaani mtu aki-respond statement after statement ni mbishi na arrogant, aisee!! Labda nikuambie kitu kimoja; i hate this kind of response lakini wakati mwingine unajikuta unalazimika kufanya hivyo! Unakuta mtu ame-include hoja nyingi zinazohitaji majibu sehemu moja, what can you do if not responding one after another this way? It's very boring but sometimes inakosa best alternative.
Sasa ni wazi kwenye statement hapo juu unadanganya, na sidhani kuna maana nyingine mbadala ulipoandika
Nadanganya vipi wakati hamna popote niliposema kwamba Saada ni mwadilifu? Ina maana kusema tatizo kubwa kwa watendaji wetu ni uwajibikaji na uadlifu ni sawa na kusema Saada ni mwajibikaji na mwadilifu?
Mimi nimesema kiujumla professional attributes za yule mdada, akiwa Muislamu na Mwanamke (ambazo nazo ni sifa), hazitoshelezi kupewa wadhifa wa Waziri wa Fedha upande wa Tanzania Bara, kwani kama ni Mwanamke na Muislamu hata Tanzania Bara wapo wengi waliomzidi kielimu na kiujuzi kwenye fani ya Uchumi.
Unaona sasa! Kama ingekuwa suala ni uanamke na Uislamu wake basi angepewa yeyote yule coz' kuna wanawake na waislamu wengi tu! Hapahitaji shahada kufahamu kwamba kigezo hakikuwa uislamu au uanamke wake vinginevyo angekuwa amepewa nafasi hiyo hapo kabla badala ya Marehemu Mgimiwa! Tukumbushane, huyu wizara wa fedha wa Bara bali wa URT.
Hata kama angekuwa na Ph.d ya OUT, tatizo mojawapo ni quality of education aliyo nayo, na OUT na hivyo vyuo vya Malaysia na UK quality of education zao ni at best dubious au mbaya zaidi ni inferior.
Inferior compared na vyuo vya wapi? Tanzania, or? Moja kati ya nchi ambazo zimepiga hatua sana kwenye sekta ya fedha ni Malaysia, so how come tena nchi yake useme ina inferior universities?
Everything is relative, kidunia UDSM, MUHIMBILI na SUA could amount to zero, lakini kwa Tanzania, that's where most of our brightest minds go to. Huyo dada hata UDSM au SUA sidhani alipata nafasi, that in itself says a lot about her pre-college academic background.
May be or may be not unless kama unataka kuniambia kila anayetoka TZ akiwa form VI na kwenda kusoma adv diploma nchi nyingine, huyu alikosa nafasi pale UDSM and the like. But all in all, it doesn't matter; what matter ni kwamba alisoma form six kisha akaenda kusoma advanced diploma Malaysia labda wewe mwenye shaka na elimu yake ndie u-prove adv diploma aliyosoma isn't worthwhile!
Heriot-Watt (na tena kama kweli alisoma pale maana anadai kasoma "Watt") ina nafasi ya 349 kati ya 400 kwenye Times World University Rankings. Hizi "University Rankings" zipo nyingi, na nyingine zinakuwa more or less exhaustive ukilinganisha na ya Times, lakini ya Times ndiyo inaheshimika zaidi, na wao wameamua kutathmini vyuo 400 tu duniani.
Tuanze hapo na kwenye Watt na Heriot-Watt. Hivi mimi nikisema nimesema Kairuki itakupa shaka kwamba ni Herbert Kairuki Memorial University? Tatizo lako umeshakuwa na negativity kuhusu huyu mama ndo maana hutaki kabisa kuamini kwamba Heriot-Watt! Tukija suala la exhaustive kwenye university ranking, nakubaliana na wewe lakini angalau umekubali kwamba unaiamini ile ya Times! Kwavile nako bado una shaka shaka, kuna ranking nyingine ya URAP ambao wanatumia sensible indicators. Out of 93 universities in UK, Heriot-Watt ni cha 38! Bado una mashaka nacho hasa ukizingatia na ubora wa vyuo vya UK? Ukiangalia kwenye hiyo ranking, utakuta kuna vyuo kadhaa maarufu vya UK ambavyo vipo chini ya Heriot-Watt....wakati unatafakari haya, usisahau ukiritimba uliopo kwenye UK universities katika kujiunga!
Nimesema mimi ndiyo, na pointi ni kwamba, kama ni Mwanamke Muislamu kwenye jamii ya Kiislamu ya Zanzibar, anaweze kuchukuliwa kama ni msomi wa daraja la kwanza kutokana na hali halisi ya idadi ya watu, access to modern education kwa wanawake kwenye jamii ya Kiislamu na kadhalika. Lakini kwa Tanzania Bara she's a zero kielimu na kiujuzi kwenye fani ya uchumi/finance, hata kwa Muislamu Mwanamke.
Naona umeng'ang'ania sana hilo suala la Uislamu, sijui lina tija gani kwenye mjadala huu. Lakini tukija kwenye hoja yako kwamba elimu yake ni sawa na zero huku bara basi ni hoja ya kushangaza inayobeba sifa za kuwekwa kwenye jumba makumbeusho ili watu wakaishangae! Hivi utasemaje kwamba mtu mwenye Masters Degree in Finance, baada ya kuwa na postgraduate Diploma na Advanced Diploma huyu elimu yake ni sawa na ZERO? Mbona Mgimwa alikuwa na Advanced Diploma kutoka IFM, akaja kuchukua Postgraduate Diploma hapo hapo IFM kabla hajachukua Masters pale Mzumbe ya zambani ambayo ilikuwa wala haijapata hadhi ya university! Yaani huyu ndo msomi lakini Saada aliyepitia njia ile ile ya Mgimwa na kuchukua Masters Scotland, yeye ndo kapuku!Mnashangaza sana aisee, labda kama mna lingine!
 
Publication za Saada ni zipi?
Unguli hauna maana Ph.D, ni zaidi ya hapo. Unguli wa Lipumba si u-profesa ni namna anavyotumia elimu yake katika mambo ya uchumi wa dunia. Unguli wa Shivji si uprofesa ni uwezo wake wa kuchambua mambo na kuyaangalia katika viwango tofauti.

Uzoefu na elimu ni vitu muhimu sana katika dunia ya sasa.
Nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba unguli hauna maana ya PhD. Kwamba Saada ana elimu, hilo halina shaka hata kama hamtaki, kuhusu mchango wake kufahamika na sote sisi hilo linategemeana sana na aina ya msomi...mtu kama Lipumba na Shivji are originally academicians full of publications here and there, but Saada Mkuya, at least as for now, isn't academician.
 
Mi sishangai km uwezo wa mkuu wa kaya poor ! itakuwa wa msaidizi wake? Iko hivi hata TEJA hawezi kuwa na rafiki asiye teja.
Lakini huyo mama anavutia, hata huyo Lipumba angeweza kumpa hicho cheo.....
 
mkuu@nasdaz,
hoja ya msingi ni kwamba kuna minimum requirements za mtu kuwa nazo kabla hajawa waziri wa wizara nyeti kama hii ya fedha;aidha awe ni waziri mwandamizi ambae ana uzoefu wa kutosha katika kusimamia sera za maendeleo au awe na uzoefu wa kutosha juu ya masuala ya fedha - aidha in the public or private sector, na akiwa na background ya elimu ya masuala ya uchumi, fedha au yanayofanania from a reputable university, basi its an added advantage;

Kuhusiana na kina Professor Mbilinyi et al, mapungufu yao hayakutokana na kukosa sifa tajwa hapo juu bali yalitokana na mapungufu mengine binafsi pamoja na siasa za chama kutawala utendaji na maamuzi ya serikali; all that said and done, just because professor mbilinyi et al waliboronga doesnt neccessarily mean kwamba sifa (elimu na uzoefu) required kwa mtu kabla ya kuteuliwa uwaziri wa fedha becomes irrelevant;

Pengine nikuulize - kwako wewe binafsi, nini unadhani ni majukumu ya waziri wa fedha Tanzania na nini ni matarajio ya umma kwa kiongozi mwenye wadhifa huo; Nadhani tukianza na swali hili tutaweza fika pahala tukakubaliana au kukubali kutokukubaliana; otherwise kwa reference za kina mbilinyo et al nadhani we are missing the whole point;
Tuanze na hilo la kwanza kabisa! Huyu hakuwa Waziri Mwandamizi lakini alikuwa Naibu Waziri kwenye wizara hiyo hiyo! Unless kama Mgimwa alikuwa selfish(jambo ambalo I don't think) otherwise am certain Saada alishiriki kikamilifu katika shughuli hizi na zile pale wizarani alipokuwa Naibu. Kabla ya hapo amefanya kazi znz kwenye masuala ya fedha, and in addition to that, the lady ana-hold Masters in Finance, Postgraduate in Bus. Studies...watu tunadhani kuwa sehemu na big post ndio kujua kila kitu huku tukisahau kwamba yale ambayo leo yanaonekana ni achievement ya Director X, many if not all are just inputs from junior staffs! Kutokana na hili, tunaona Saada working as Administrative Officer in Treasure
znz basi si lolote si chochote, huku tukisahau kwamba Saada ameenda pale na Masters Degree ya Finance. Na kwa kuzingatia uhaba wa wasomi wa znz, wala sitashangaa nikisikia kwamba she's one of the key player hata kama job title yake ni Afisa Utawala! Wakati mwingine wakati wanasahau kwamba hizi job titles wakati mwingine is just a seat but doesn't reflect what people really do in real practice. Tunataka kusahau kwamba changamoto inayotukumba vijana hapa Tanzania ni kwamba ofisi za serikali zimejaa wazee; wewe nenda na elimu yako, utaingia na entry levels kama hizo administrative officer hata kama wewe utakuwa ndio key player! Binafsi nilipomaliza chuo, niliajiriwa NMB kama Teller! My Branch Manager was Diploma Holder, My Operations Manager was Form Four Leaver....hawa wote walikuwa above 50 hata kutumia PC hawajui! Mambo yote ya operations pale nilikuwa nafanya mimi na mwenzangu mmoja ikiwa ni pamoja na kujibu various quires zinazohusu operations! Hawa wazee hawakuwa na ubavu huo kwavile teknolojia ilishawapiga chenga! Kwahiyo kama, say, Standard Chartered Bank wangetaka Operations Manager na kuamua kumpa ama Manager wa pale au Assistant wake, kwa hakika ingekula kwao kwani ambao tulikuwa na uwezo huo ni sisi ambao tuliingia na entry levels za Teller! Nimekupa darasa hilo ili mfahamu kwamba, even job title doesn't reflect what really one does!


Kabla ya Mgimwa, Mkulo yeye alikuwa DG pale NSSF na shule yake ni masuala ya fedha. DG wa sasa pale NSSF ni Ramadhani Dau, huyu ni mtaalamu wa masoko! Picha ya haraka haraka hapa ninayoipata ni kwamba working as NSSF DG has nothing to do with economic and finance stuffs; probably because pale kuna idara mbalimbali zenye wataalamu wa kitengo husika. Hii maana yangu ni kwamba kumbe hata Mkulo ambacho kilimpeleka NSSF si weledi wake wa masuala ya fedha, bali ni kitu kingine! Na kama ambacho kilimpa nafasi Wizara ya Fedha ni weledi wake kwenye masuala ya fedha, basi weledi huo si ule ambao aliufanya NSSF bali somewhe

Mwisho, nizungumze kidogo hiyo hoja yako ya mwisho! Kwanza umeleta hoja ya msingi, nini majukumu ya waziri wa fedha! Hili suala nimekuwa nikilifanyia kazi tangu asubuhi. Nimewapigania washikaji wawili pale MoF wanitumie Job Responsibilities za waziri wa fedha, bado hawajafanya hivyo...si vibaya yeyote anayefahamu akatuwekea hapa coz' wengi tunafahamu Role yake kama msimamizi wa sera.
 
Hapana unakosea sana kusema maneno mengine yasiyohusiana na mada.
Lete utetezi wa kuonyesha kuwa anafaa nafasi aliyopewa. Hicho ndicho kinajadiliwa hapa.

Mimi niwe na mtu yupi na kwanini?
Kinachonigusa ni nafasi nyeti na kubwa kama hii kufanyiwa majaribio tena ya hatari kabisa.
Hivi utakuwa na faraja kufanyiwa operesheni na daktari ambaye hajawahi kufanya operesheni kwa matumaini kuwa una mpa muda wa kuangalia tatizo lako.

Hatuna muda wa kuwa na matatizo halafu kesho tujadili matatizo hayo yanetokana na nini.
Watetezi wa Saada wana hoja dhaifu sana , hawawezi kusimama na kutetea sifa zake bali kuleta tetezi laini.

Mfano mmoja ni huyo aliyesema Saada hana sababu ya kuweka elimu yake ya graduate katika CV bali tunatapaswa kujua kasoma sekondari gani.

Tatizo la watanzania hata kuangalia CV ni shida achilia mbali kuandika. Hivi unaweza kujiuza kama husemi una nini?

Nafasi hii ni kubwa sana kwa Saada.

Tatizo wapingaji wa uteuzi wana hoja dhaifu sana ..i.e. uwezo (taalum) na uzoefu (experience)..

Sisi tunasema anafaa kwa elimu na hata uzoefu period..hakuna majaribio kama unavyotaka watu waamini hapa

Tutategemea atashughulikia wizara kwa uweledi wake na tumpe ushirikiano; mengine ni uhasidi tu wa kawaida..

Nimeuliza unguli (guru) katika jambo unaanzia degree au diploma ngapi??

Uzoefu katika jambo unaanzia miaka mingapi?
 
*Tukianza na vigezo vya elimu, uzoefu na rekodi ya utendaji:

Kama kulihitajika waziri mwanamke kutoka zanzibar ashike wizara ya fedha, basi nafasi hiyo ilistahili kwenda kwa balozi amina salum ali; hii ni kwasababu, katika masuala ya public finance, balozi amina ana elimu, uzoefu na track record isiyo na mjadala; ni kwa mantiki hii, mama huyu sio tu angetosha leo, lakini pia alitosha jana na juzi;

Tukija kwenye kigezo cha uzoefu katika usimamizi wa sera mbalimbali, wapo mawaziri waandamizi kama mama zhakia meghji, bora kwa kigezo cha uzanzibari na mwanamke wangemrudisha huyo;

Nadhani tunakumbuka kwamba waziri wa sasa wa fedha aliteuliwa mchana kuwa mbunge halafu masaa machache sana baadae kuwa naibu waziri. Wengi walishangazwa na jina lake kutajwa kwani hakuwahi kuwa mbunge lakini hapo hapo rais akaeleza kwamba kamteua dakika ya mwisho na kuwa naibu waziri kabla ya kula kiapo cha ubunge; mteule wa dakika ya mwisho from nowhere miezi kumi na nane later anakuwa waziri wa wizara nyeti kama ya fedha;it can only happen in Tanzania;



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Tatizo wapingaji wa uteuzi wana hoja dhaifu sana ..i.e. uwezo (taalum) na uzoefu (experience)..

Sisi tunasema anafaa kwa elimu na hata uzoefu period..hakuna majaribio kama unavyotaka watu waamini hapa

Tutategemea atashughulikia wizara kwa uweledi wake na tumpe ushirikiano; mengine ni uhasidi tu wa kawaida..

Nimeuliza unguli (guru) katika jambo unaanzia degree au diploma ngapi??

Uzoefu katika jambo unaanzia miaka mingapi?
Aliyesema 'mwacheni ajaribu ni watete wake siyo mimi''

Mimi kwa dhati kabisa nasema huyu mama hana elimu ya kutosha wala uzoefu katika nafasi hiyo.
Hana exposure the least to say. In short hafai hata kwa bahati mbaya, ni janga. Period Mr
 
Nakubaliana na wewe kwa 100% kwamba unguli hauna maana ya PhD. Kwamba Saada ana elimu, hilo halina shaka hata kama hamtaki, kuhusu mchango wake kufahamika na sote sisi hilo linategemeana sana na aina ya msomi...mtu kama Lipumba na Shivji are originally academicians full of publications here and there, but Saada Mkuya, at least as for now, isn't academician.
@NasDaz hoja yangu kubwa ni kuwa hata kama si academician, just show us something about her hata kutumia hansard za bunge.
Hata ka conference alikozungumza. Ukiacha kuteuliwa she has nothing to show us

NasDaz tunahangaika kumzunguzia kwasababu huyu mama CV ni white, experience katika nafasi kubwa kama hiyo hakuna. Msome Mchambuzi kuhusu hoja ya Amina Salum

Ndio maana watetezi wake wanasema anashambuliwa kwasababu ni mwanamke, na wajinga wengine wakitumia dini na wengine uzanzibar. Wanofanya hivyo wanajua hwana cha kushikiza kwasababu hana kishikizo.
Hana kitu cha kuzungumziwa, wala hana kitu alichozungumza.

Ukiacha nafasi za kuteuliwa, katika uwanja wa ushindani Mkuya hapata kazi hata TRA kanda ya Kinondoni.Misogope jamani hili ni tatizo kubwa sana. Msione aibu kusema

 
Last edited by a moderator:
Aliyesema 'mwacheni ajaribu ni watete wake siyo mimi''

Mimi kwa dhati kabisa nasema huyu mama hana elimu ya kutosha wala uzoefu katika nafasi hiyo.
Hana exposure the least to say. In short hafai hata kwa bahati mbaya, ni janga. Period Mr

Elimu ya kutosha ni kuanzia wapi? diploma, degree au master? au PhD

Exposure ya kutosha/kufaa ni kuanzia miaka mingapi? kufanya kazi wapi? kabla ya kufaa?

Hafai (hayo yatabaki kuwa maoni yako binafsi yaliyokosa vigezo sana sana tunayaita kwenye management umbea na hasidi period sir!
 
In a country where integrity holds water there are two probable routes to become ministry of Finance, Unquestionable Academic Competence in Matters related to Finance, economics and planning. Proven Track of experience and competence in Matters related to Finance, economics and planning. And these should be outside politics, mostly at executive position. Huyu Mama hana vyote hivyo, Halafu mnataka watu wasiseme.

Matatizo ya watanzania mengi yanatokana na kuoneana AIBU. mtu hajiwezi mnasema tumpe nafasi. Huyu mama hana Academic aura wala, executive heavyweightness ya kuwa Ministry of Finance. Kuwahi kuboronga kwa Economic heavyweight huko nyuma sio sababu ya kumteua huyu kilaza pale. Sidhani kama kuna mtu anayempeleka mgonjwa wake Dispensari manerumango akafanyiwe operesheni kubwa, ati kwa sababu huko nyuma kuna mgonjwa aliyefanyiwa operesheni hiyo aliwahi kufariki mikononi kwa daktari bingwa MUHIMBILI.

Makosa yaliyofanywa na manguli wa uchumi huko nyuma sio sababu ya kumpa kilaza achukue jukumu la kushika usukani wa uchumi wetu. Lakini kwa sababu CCM imekuwa sehemu ya kila mtu kufanya majaribio yake, si jambo la kushangaza. hapa ni kuwa kichwa cha mwendawazimu kimegawiwa kwa kinyozi mwanafunzi.

y'all will see the results.
 
In a country where integrity holds water there are two probable routes to become ministry of Finance, Unquestionable Academic Competence in Matters related to Finance, economics and planning. Proven Track of experience and competence in Matters related to Finance, economics and planning. And these should be outside politics, mostly at executive position. Huyu Mama hana vyote hivyo, Halafu mnataka watu wasiseme.

Matatizo ya watanzania mengi yanatokana na kuoneana AIBU. mtu hajiwezi mnasema tumpe nafasi. Huyu mama hana Academic aura wala, executive heavyweightness ya kuwa Ministry of Finance. Kuwahi kuboronga kwa Economic heavyweight huko nyuma sio sababu ya kumteua huyu kilaza pale. Sidhani kama kuna mtu anayempeleka mgonjwa wake Dispensari manerumango akafanyiwe operesheni kubwa, ati kwa sababu huko nyuma kuna mgonjwa aliyefanyiwa operesheni hiyo aliwahi kufariki mikononi kwa daktari bingwa.

Makosa yaliyofanywa na manguli wa uchumi huko nyuma sio sababu ya kumpa kilaza achukue jukumu la kushika usukani wa uchumi wetu. Lakini kwa sababu CCM imekuwa sehemu ya kila mtu kufanya majaribio yake, si jambo la kushangaza. hapa ni kuwa kichwa cha mwendawazimu kimegawiwa kwa kinyozi mwanafunzi.

y'all will see the results.

..watetezi wake wanadai ana experience na proven track record kwasababu alishakuwa Kamishna wa Fedha Zanzibar. pia ametosha kielimu kwasababu amesoma mba chuo kikuu cha "watt". zaidi kwasasa hivi anasome PhD ktk open univ hapa Tanzania.

NB:

..lakini hata hao manaibu wake nao ni watu wanaotia mashaka kwa kweli.
 
In a country where integrity holds water there are two probable routes to become ministry of Finance, Unquestionable Academic Competence in Matters related to Finance, economics and planning. Proven Track of experience and competence in Matters related to Finance, economics and planning. And these should be outside politics, mostly at executive position. Huyu Mama hana vyote hivyo, Halafu mnataka watu wasiseme.

Matatizo ya watanzania mengi yanatokana na kuoneana AIBU. mtu hajiwezi mnasema tumpe nafasi. Huyu mama hana Academic aura wala, executive heavyweightness ya kuwa Ministry of Finance. Kuwahi kuboronga kwa Economic heavyweight huko nyuma sio sababu ya kumteua huyu kilaza pale. Sidhani kama kuna mtu anayempeleka mgonjwa wake Dispensari manerumango akafanyiwe operesheni kubwa, ati kwa sababu huko nyuma kuna mgonjwa aliyefanyiwa operesheni hiyo aliwahi kufariki mikononi kwa daktari bingwa.

Makosa yaliyofanywa na manguli wa uchumi huko nyuma sio sababu ya kumpa kilaza achukue jukumu la kushika usukani wa uchumi wetu. Lakini kwa sababu CCM imekuwa sehemu ya kila mtu kufanya majaribio yake, si jambo la kushangaza. hapa ni kuwa kichwa cha mwendawazimu kimegawiwa kwa kinyozi mwanafunzi.

y'all will see the results.
@Kimweri , ahsante sana.
Kwa wenzetu kazi kama hiyo mtu anatakiwa awe na 'Proven track record'.

Uingereza wameajiri gavana wa benki kuu kutoka Canada baada ya kukosa Mwingereza mwenye sifa na baada ya kumpata mtu mwenye track record ya maana.
Ukisoma CV na experience ya gavana aliyeajiriwa utaona wazi jinsi record yake ilivyo wakati wa recession na alivyoisadia nchi yake.

Waziri wa fedha wa Kenya ana proven track record ambayo inawekwa wazi kabisa alifanya nini.
Marekani, kumtaja tu masoko yaliyumba.
Majina 3 yalipotolewa Dow, Nasdaq, S&P yakiwemo yale ya Ulaya na mashariki ya mbali yaliyumba. Hoja kubwa ni kutaka kujua huyo anayechaguliwa ana sifa gani, uzoefu gani na amefanya nini.

Hoja kwamba Manguli wameboronga ni kutaka kuficha udhaifu wa Mkuya.
Mfano wako wa Maneromango ni mzuri sana.

Kwamba kuna mgonjwa alipelekwa muhimbili akafariki sasa iwe ni kigezo kupeleka wagonjwa wengine Nzasa na mabwepande.

Tukiangalia historia ya Tanzania hakuna waziri wa fedha aliyetoka 'from nowhere' na kupewa jukumu hilo kabla hajawa senior minister au minister mwenye experience au kuwa na proven track record.

Tunawauliza watetezi wa Mkuya watuonyeshe sifa zake 'proven track record' hawana jibu wanasema tumwache kwanza ili baadaye tumkosoe kama itabidi.
Nafasi nyeti kama hiyo inafanyiwa 'on job training' yaani ni internship! Tanzania tuna tatizo.

Watu wanaogopa au kuona Aibu kusema kuwa Saada Mkuya hana cha kuonyesha katika record yake.Huo ni ukweli hata mwenyewe anaujua.

Tutakapompeleka minister aliyeko katika apprentice kuongea na wenzake wa EAC, SADC, AU, WB, IFM n.k. tunajiumiza wenyewe.

Tuelezeni na kutuonyesha Mkuya ana track record gani.
 
In a country where integrity holds water there are two probable routes to become ministry of Finance, Unquestionable Academic Competence in Matters related to Finance, economics and planning. Proven Track of experience and competence in Matters related to Finance, economics and planning. And these should be outside politics, mostly at executive position. Huyu Mama hana vyote hivyo, Halafu mnataka watu wasiseme.

Matatizo ya watanzania mengi yanatokana na kuoneana AIBU. mtu hajiwezi mnasema tumpe nafasi. Huyu mama hana Academic aura wala, executive heavyweightness ya kuwa Ministry of Finance. Kuwahi kuboronga kwa Economic heavyweight huko nyuma sio sababu ya kumteua huyu kilaza pale. Sidhani kama kuna mtu anayempeleka mgonjwa wake Dispensari manerumango akafanyiwe operesheni kubwa, ati kwa sababu huko nyuma kuna mgonjwa aliyefanyiwa operesheni hiyo aliwahi kufariki mikononi kwa daktari bingwa MUHIMBILI.

Makosa yaliyofanywa na manguli wa uchumi huko nyuma sio sababu ya kumpa kilaza achukue jukumu la kushika usukani wa uchumi wetu. Lakini kwa sababu CCM imekuwa sehemu ya kila mtu kufanya majaribio yake, si jambo la kushangaza. hapa ni kuwa kichwa cha mwendawazimu kimegawiwa kwa kinyozi mwanafunzi.

y'all will see the results.

Hapa sasa umesemaje?

sijaona hoja sana sana ni arrogance kwenye maandishi yako...

Mnaopinga uteuzi hamjanishawishi mnataka awe na diploma, degree au master -anavyo hivyo..

Mnataka awe na uzoefu kiasi gani na wapi? hamsemi..hamjani convince hata kidogo
 
*Tukianza na vigezo vya elimu, uzoefu na rekodi ya utendaji:

Kama kulihitajika waziri mwanamke kutoka zanzibar ashike wizara ya fedha, basi nafasi hiyo ilistahili kwenda kwa balozi amina salum ali; hii ni kwasababu, katika masuala ya public finance, balozi amina ana elimu, uzoefu na track record isiyo na mjadala; ni kwa mantiki hii, mama huyu sio tu angetosha leo, lakini pia alitosha jana na juzi;

Tukija kwenye kigezo cha uzoefu katika usimamizi wa sera mbalimbali, wapo mawaziri waandamizi kama mama zhakia meghji, bora kwa kigezo cha uzanzibari na mwanamke wangemrudisha huyo;

Nadhani tunakumbuka kwamba waziri wa sasa wa fedha aliteuliwa mchana kuwa mbunge halafu masaa machache sana baadae kuwa naibu waziri. Wengi walishangazwa na jina lake kutajwa kwani hakuwahi kuwa mbunge lakini hapo hapo rais akaeleza kwamba kamteua dakika ya mwisho na kuwa naibu waziri kabla ya kula kiapo cha ubunge; mteule wa dakika ya mwisho from nowhere miezi kumi na nane later anakuwa waziri wa wizara nyeti kama ya fedha;it can only happen in Tanzania;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Binafsi wala sitaki kuamini kwamba amepewa hiyo nafasi kwa ajili ya Uzanzibari wake, kama hiyo ingekuwa ndio hoja angempa tangu mara ya kwanza pale alipotoa nafasi hiyo kwa Mgimwa! Watanzania tungefanya nini?! Marehemu Mgimwa na Saada Mkuya waliingia madarakani wakati inflation ipo juu...during their leadership inflation imeshuka to a single digit. Mwaka jana wakati bei ya mchele inashuka kwa kasi ya kutisha, niliamini kwamba ilikuwa ni nguvu ya soda kwa kile nilichoamini kwamba labda kuna mchele mwingi sana umemwaga sokoni na hivyo kushusha bei! Ni miezi zaidi ya sita sasa, bei ya mchele ipo chini wakati kipindi kama hiki bei huwa juu! Food inflation being the main contributor of inflation in the country, stable rice market imefanya inflation kuendelea kuwa chini. So, ilikuwa ni very wise kumwacha mtu ambae tayari ame-deal na hizi situation unless kama tunadhani mipango ya wizara Hayat Mgimwa alikuwa anaipangia chumbani kwake. Nimeamua kutaja eneo moja tu la inflation coz' ndilo lipo open, anyone with eyes and willing to see, can see it!

Hilo la kwamba aliteuliwa siku hiyo hiyo na kuapishwa siku hiyo hiyo kwanini tusiliangalie in positive perception? Ikiwa alipendelewa, kwanini iichelewa kutangazwa uteuzi wake? Ikiwa nampendelea Mchambuzi, it's obvious kwamba namfahamu Mchambuzi, so ninachosubiri ni kupata chance tu ili nimpendelee swahiba wangu Mchambuzi! Katika mazingira haya, siwezi kuchelewa pale inapotokea chance coz' you was already in my favor list! To be positive over the matter, I can say JK aliiomba SMZ impatie jina la mtu ambae anaweza ku-fit for deputy minister post in MoF! Waliopewa kazi hiyo nayo, hawakutaka kupeleka mtu ambae tayari yupo in their favor list...wakafanya search huku na kule ili wapate the right candidate! Katika mazingira kama hayo, it's obvious jia litachelewa kufikishwa! Na hata JK alipopata jina, I can positively think kwamba nae akatuma his private investigator to conduct covert investigation ku-determine candidate's worthiness to the point hadi kila kitu kinakuwa well confirmed, inakuwa already late na kinachofuata ni kutaja jina and on the same day unaapisha!
 

Tukiangalia historia ya Tanzania hakuna waziri wa fedha aliyetoka 'from nowhere' na kupewa jukumu hilo kabla hajawa senior minister au minister mwenye experience au kuwa na proven track record.
Kabla hajawa waziri wizara ya fedha, Hayati Mgimwa alikuwa senior minister au minister wa wizara ipi? His track records?
 
Back
Top Bottom