Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Usinisome au kuninukuu nusunusu bali nisome na kuelewa my line of argument - nimeweka wazi kigezo zaidi ya kimoja that I think vinafaa kutazamwa kabla ya kumpa mtu uwaziri wa fedha, na nikasema kama hana background ya fedha au uchumi, basi angalau awe ni waziri mwandamizi n.k;
Kwa hivyo naibu waziri does not qualify nor having worked in the ministry as this mama did? Maana Osborne hana hata hiyo experience his first senior role in finance management began as a critic but never been in fore front of any decision making body until he was the chancellor of one of the largest economy not to mention it's challenges that comes with it being centered around service sector with finances being the catalyst.

Kama kuna nchi ambayo aikutakiwa kumuweka mtu ambae hana experience basi UK was no.1 considering what fuels their economy na hilo ndio walilokuwa wanamshambulia nalo alivyo anza kazi kama huyu mama leo, lakini ana wa-prove wrong watu ambao wana mapaper ya uchumi na experience za city kama Ed balls and Gordon Brown, ambao kielimu hawapati wala ki-experience (tells you elimu ya leo sio cheti tu, bali mtu anajiendeleza vipi independently) maana huyu mtu anakuza uchumi wakati UK leo sio a manufacturing economy.

Hivi umesoma vizuri CV ya Osborne na ukaamua kumfananisha na waziri wetu wa fedha? Mbali ya kuwa mbunge wa jimbo kwa zaidi ya miaka kumi, na pia kuwa na work experience on merit, huyu pia ni oxford graduate.
Wanasema kwenye dunia ya kipofu mwenye jicho mmoja mfalme, hiyo elimu yake kwa wasomi waliomzunguka bungeni kwao tu, let alone kwenye finance sector Osborne is a nobody. Point ni kwamba linganisha vitu katika mazingira yaliyopo, katika dunia yao Osborne alionekana a joke kutokana na level yake ya elimu na ufahamu wake wa city activities kwenye nchi inayotegemea huko city kama engine ya uchumi, ndio kama huyu mama mnavyombeza leo kutokana na elimu yake ingawa anafanya Phd.

Kwa kifupi, mamlaka ya uteuzi had an option ya angalau to pick the George Osbornes for the position, na hawa tunao wengi tu instead of putting this position into waste.
Again haya ni mawazo yako binafsi may be na Lipumba na wachache wengine.

Mwisho - hoja yako kwamba osorbone anampelekesha so and so, ujue kwamba kuna mawili, aidha kumpelekesha mwingine kwa substance au nonsense; the question that follows:
Inapofikia hatua chama ambacho chenye mlengo wa kushoto ambacho kina amini matajiri lazima walipie zaidi, lakini akatokea mtu akawa persuade that is not an economic sense by delivering results na kuwaonyehsa mipango ya mbele kwanini kuna umuhimu wa kutotaka big corporate taxes as their oppsotion demanded na wao wakabadili position kuelekea kukubali huko naita kumburuza msomi ambae kafanya kazi tena kwenye hiyo sector kabla ya kuwa mwanasiasa and a shadow chancellor.

Mmoja ya wabunge wetu wasomi ambao wanasifika kwa kupelekesha upinzani bungeni ni pamoja na Nchemba - kwa mtazamo wako, huyu alikuwa anapelekesha upinzani kwa substance au nonsense? Kwangu mimi, most of it is nonsense, I am sorry;
Toa hoja yake unayoiona nonsense kiuchumi tuijadili, apart from that nonsense is order of the day katika siasa za Tanzania coming from all sorts kuanzia kwa raisi mpaka kwa mjumbe wa nyumba kumi-kumi and all the government agents in between.
 
Kwa vile Mzanzibar kila zengwe atazushiwa na hata yeye inawezekana elimu yake inawalakini mwawacheni mh afanye kazi aliyotumwa elimu sio lazima uitwe profesa
 
August, kwanza nianze kusema kwamba hilo la dini kwangu wala halina nafasi...alimradi siamini kwamba amechaguliwa kutokana na dini yake vilevile siwezi kudhani kwamba anakuwa attacked kutokana na dini yake! Hata hivyo, wala sitashangaa kuona kwamba wapo ambao wanamu-attack kwa ajili tu ya dini yake au uzanzibar wake! Kwangu mimi, huwa wala sipotezagi muda na watu kama hao na ndio maana hata hawa akina JokaKuu, Nguruvi3, Mchambuzi ambao najadiliana nao, wao hoja zao hazipo huko. Post yangu uliyo-quote, nilikuwa namjibu mtu ambae aliweka mbele suala la dini na ndio maana utaona hata majibu yangu yalikosa adabu kidogo coz' alinikera from the beginning alioanza na suala dini ya Mkuya!

Turudi kwenye mada! Kwanza nakubaliana na wewe kwamba tunahangaika na jina Wizara ya FEDHA wakati kinachohitajika sana hapo ni uchumi. Siku anateuliwa Mgimwa, nakumbuka mie hoja yangu pia ilijikita kwenye utaalamu wa Mgimwa(mambo ya fedha) na wizara ambayo niliona inahitaji sana mchumi kuliko mtaalamu wa mambo ya fedha! Hata hivyo, baadae nilipokuja kuchunguza CV za mawaziri wengi wa fedha wa miaka ya karibuni, nikagundua kwamba wengi ni wataalamu wa mambo ya fedha...nikadhani labda kuna kitu wenyewe wamekiona...labda wamegundua tatizo kuu lililpo wizarani ni financial management kuliko haya mambo mengine ambayo kila idara ina wataalamu wake. Lakini linapokuja suala la ku-manage finance, halihitaji mtalaamu mtalaamu mtendaji tu kama ilivyo kwenye upangaji sera bali linahitaji mtu mwenye uwezo wa kulifuatilia suala hilo...
how can you manage finance if you can not generate it, nas we a human beings moving from stone age to nuclear age, or may be we have stop at industrial age. so where does saada fit in. stone age, industrial age or nuclear age? au uchumi wa bodaboda refer januari makamba mza/shy na kinana nape mby plus el
 
Kwa hivyo naibu waziri does not qualify nor having worked in the ministry as this mama did? Maana Osborne hana hata hiyo experience his first senior role in finance management began as a critic but never been in fore front of any decision making body until he was the chancellor of one of the largest economy not to mention it's challenges that comes with it being centered around service sector with finances being the catalyst.

Kama kuna nchi ambayo aikutakiwa kumuweka mtu ambae hana experience basi UK was no.1 considering what fuels their economy na hilo ndio walilokuwa wanamshambulia nalo alivyo anza kazi kama huyu mama leo, lakini ana wa-prove wrong watu ambao wana mapaper ya uchumi na experience za city kama Ed balls and Gordon Brown, ambao kielimu hawapati wala ki-experience (tells you elimu ya leo sio cheti tu, bali mtu anajiendeleza vipi independently) maana huyu mtu anakuza uchumi wakati UK leo sio a manufacturing economy.

Wanasema kwenye dunia ya kipofu mwenye jicho mmoja mfalme, hiyo elimu yake kwa wasomi waliomzunguka bungeni kwao tu, let alone kwenye finance sector Osborne is a nobody. Point ni kwamba linganisha vitu katika mazingira yaliyopo, katika dunia yao Osborne alionekana a joke kutokana na level yake ya elimu na ufahamu wake wa city activities kwenye nchi inayotegemea huko city kama engine ya uchumi, ndio kama huyu mama mnavyombeza leo kutokana na elimu yake ingawa anafanya Phd.

Again haya ni mawazo yako binafsi may be na Lipumba na wachache wengine.

Inapofikia hatua chama ambacho chenye mlengo wa kushoto ambacho kina amini matajiri lazima walipie zaidi, lakini akatokea mtu akawa persuade that is not an economic sense by delivering results na kuwaonyehsa mipango ya mbele kwanini kuna umuhimu wa kutotaka big corporate taxes as their oppsotion demanded na wao wakabadili position kuelekea kukubali huko naita kumburuza msomi ambae kafanya kazi tena kwenye hiyo sector kabla ya kuwa mwanasiasa and a shadow chancellor.

Toa hoja yake unayoiona nonsense kiuchumi tuijadili, apart from that nonsense is order of the day katika siasa za Tanzania coming from all sorts kuanzia kwa raisi mpaka kwa mjumbe wa nyumba kumi-kumi and all the government organs in between.

Mkuu,

Usimfananishe osorbone na waziri wetu wa fedha, na sio kweli osorbone alionekana hana elimu, labda mengine hasa experience kwa nafasi na pia taifa kubwa kama lile, vinginevyo this guy is an oxford graduate;

Kwa sasa naomba ujibu hoja zangu kwenye bandiko namba 184 ambazo pia nimezirudia hapo juu kwa ajili ya NasDaz, hoja ambazo ukaruka mengi na kukwamia kwenye comparative analysis baina na mama yetu waziri na osorbone;

Kuhusu nchemba, tumeshajadili sana hoja zake nyingi dhaifu elsewhere, kwa kuanzia, kitendo cha kutupa chini bajeti ya upinzani which had a lot of substance;let's reserve nchemba for now, tumalize hili la waziri wake wa fedha;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Usimfananishe osorbone na waziri wetu wa fedha, na sio kweli osorbone alionekana hana elimu, labda mengine hasa experience kwa nafasi na pia taifa kubwa kama lile, vinginevyo this guy is an oxford graduate;
Tatizo sio elimu yake, hapa tunaweka mambo bayana kuhusu huo umuhimu wa elimu ya finance/economics or things of that nature katika kuwa waziri bora wa fedha kitu ambacho Osborne hana sio elimu as cheti kama unavyotaka kutetea maana unakuwa unaamisha goal post wakati mnadai kuna ulazima huo educational background katika hayo maswala. Also I am thinking the experience angle is going down the pan.

Kwa sasa naomba ujibu hoja zangu kwenye bandiko namba 184 ambazo pia nimezirudia hapo juu kwa ajili ya NasDaz, hoja ambazo ukaruka mengi na kukwamia kwenye comparative analysis baina na mama yetu waziri na osorbone;
As far as i was concerned this thread is about experience + education = a better candidate in the MoF. Na ndio nimejikita hapo. Hiyo hoja ngoja nikaiangalie kwanza kabla sijajibu.

Kuhusu nchemba, tumeshajadili sana hoja zake nyingi dhaifu elsewhere, kwa kuanzia, kitendo cha kutupa chini bajeti ya upinzani which had a lot of substance;let's reserve nchemba for now, tumalize hili la waziri wake wa fedha;
People do not read every thread si vibaya ukatoa hata anecdotes kuhusu hiyo budget mbadala tuone uzuri wake.
 
Ni lini jukwaa la siasa limekuwa sehemu ya mijadala binafsi, ingekuwa kule kwenu kwa great thinkers tusingeingia mpaka kwa kibali cha wahusika lakini hapa kila member yupo huru ku-comment.

Ni kitu chepesi kwa maoni yako kama hoja uliyoileta, maana unachodai huyu mama hajui chochote. Sasa unless umewahi kukaa nae na kumsikiliza akiongelea maswala ya uchumi or things of that nature unawezaje kutoa hitimisho hilo la kutoweza elewana na katibu mkuu wake ilihali sasa anafanya Phd yaani umemdharau kiasi kwamba hata anachosomea sasa aelewi kitu, again hizo zinakuwa ni speculation zako tu si ukweli wenyewe.

Sija imply MoF as a mere political position anywhere nilichouliza huo mfano unahusiana vipi na ministry maana hata katika hayo makampuni mkurugenzi wa shirika lililo jikita katika communication hawezi fit akipelekwa kuongoza kampuni iliyojikita katika maswala ya chakula, vipodozi or some hedge fund. Different teams are needed with different experiences ingawa elimu zinaweza kuwa sawa kwenye makampunii yote. Swali lako linarudi palepale hiyo parallel hipo wapi katika kuongoza huko na kwenye ministry si utupe picha kwa nini atoweza na si kulazimisha mifano unayoibuni wewe mwenyewe ambayo aihusiani na job description in the current discussion.

Ndugu, hii zio ligi, umekazania kumpigia tarumbeta mama wakati hauoneshi uwezo wake na elimu yake ni Questionable.Sanisbury CEO is moving on to become Formula one CEO, don't tell me that Formula one should come to dar and take CEO wa Mohamed Trans kuongoza Formula one just because wote wako kwenye car sector. Uwezo wa CFO au CEO haupimwi kutokana na kufanana kwa kazi aliyotoka kufanya, kunatokana na uwezo wake wa ku-handle similar weight task. Ndio Maana Leo hii unaona Satya Nadela yuko more likely kuwa next Microsoft CEO, it's simply becuase apart from his incredible intelligency, he is also well educated, very competent,the guy's division is incharge of 2/3 of microsoft division with 107% YoY growth for the past 3 years, on top of that, he has worked on that organization for over 20 years,in executive/management positions. Now this is a guy that can be presented as a Choice of CEO/CFO postion na watu hawataguna. He has credible track, he has delivered before.

Sasa huyu mama yetu, kila kikubwa alichofanya kateuliwa,kapewa, then unakuja kumtetea kuwa anafaa kuwa MoF. seriously?

Kwa mara ya mwisho nakujibu. Paralle ya MoF ya JMT na a $20B MNC iko at the portfolio size, based on GDP figures za Tanzania.This woman is supposed to grow the $20B,while keeping country accounts in check.every decision she endorses is key to that goal,I would not trust her credentials with a $1B portfolio Company Let alone a $20B one.UMENIELEWA?
 
Kwa vile Mzanzibar kila zengwe atazushiwa na hata yeye inawezekana elimu yake inawalakini mwawacheni mh afanye kazi aliyotumwa elimu sio lazima uitwe profesa

Naomba nikupinge MH,Mashirika yetu ya UMMA yalikufa kutokana na kuwekwa watu waliokuwa hawana uwezo/uzoefu wa kuyaendesha. Ninaweza kumsamehe Nyerere kwa kuwa hakuwa na Talent pool kubwa.Tanzania Tuna wasomi waliobobea kila nyanja wakiaminiwa katika taasisi kubwa duniani, na waki-perform vizuri tu. Hakuna haja ya ku-force kingi kwa style ya huyu mama.

I am aware of many such wasomi's waliotolewa IMF, WB etc na wakavurunda. Lakini hii isiwe sababu ya kuchagua ujinga kw akuwa gharama ya werevu ni kubwa.

Hakuna taifa lililoendelea DUNIANI kwa kudharau Elimu, hakuna Taasisi iliyopiga hatua huku ikiendeshwa na wababaishaji. HAKUNA. hata watu wanaojua wanachokifanya 100% wanakumbana na "extreme Difficulties" itakuwa hao waliiounga unga uzoefu?

mnatazama mkichaguliwa vimeo, baada ya muda mnaanza kupandisha thredi, Hazina kumekauka, Mishahara imechelewa,bei za vitu zinapanda.KULALAMIKA wakati tungeweza kukemea haya kabla hayafikia huko.

Narudia Tena Hakuna Mtu mwenye $20B institution atamkabidhi yule mama Nafasi ya CFO hata huyo mmiliki awe amelewa chakari.Impossible, She is extremely unqualified.

sipendi kupindisha maneno, kama hafai hafai. Sio kuleta hadithi za tumpe nafasi. We all saw how that turned out with Mkuwere,didn't we.

Hatutafika popote kama taifa kama tutategemea kurely on incompetent people
 
Yale yale..akiri kubwa inaongoza ndogo. Lazima atatuingiza mkenge huyo dada na diploma diploma zake.ila kawekwa makusudi awafanyie kazi vzuri wapiga DEAL.SAFI SANA TZ
 
Naomba nikupinge MH,Mashirika yetu ya UMMA yalikufa kutokana na kuwekwa watu waliokuwa hawana uwezo/uzoefu wa kuyaendesha. Ninaweza kumsamehe Nyerere kwa kuwa hakuwa na Talent pool kubwa.Tanzania Tuna wasomi waliobobea kila nyanja wakiaminiwa katika taasisi kubwa duniani, na waki-perform vizuri tu. Hakuna haja ya ku-force kingi kwa style ya huyu mama.

I am aware of many such wasomi's waliotolewa IMF, WB etc na wakavurunda. Lakini hii isiwe sababu ya kuchagua ujinga kw akuwa gharama ya werevu ni kubwa.

Hakuna taifa lililoendelea DUNIANI kwa kudharau Elimu, hakuna Taasisi iliyopiga hatua huku ikiendeshwa na wababaishaji. HAKUNA. hata watu wanaojua wanachokifanya 100% wanakumbana na "extreme Difficulties" itakuwa hao waliiounga unga uzoefu?

mnatazama mkichaguliwa vimeo, baada ya muda mnaanza kupandisha thredi, Hazina kumekauka, Mishahara imechelewa,bei za vitu zinapanda.KULALAMIKA wakati tungeweza kukemea haya kabla hayafikia huko.

Narudia Tena Hakuna Mtu mwenye $20B institution atamkabidhi yule mama Nafasi ya CFO hata huyo mmiliki awe amelewa chakari.Impossible, She is extremely unqualified.

sipendi kupindisha maneno, kama hafai hafai. Sio kuleta hadithi za tumpe nafasi. We all saw how that turned out with Mkuwere,didn't we.

Hatutafika popote kama taifa kama tutategemea kurely on incompetent people
In-deed.
 
Kwa mara ya mwisho nakujibu. Paralle ya MoF ya JMT na a $20B MNC iko at the portfolio size, based on GDP figures za Tanzania.This woman is supposed to grow the $20B,while keeping country accounts in check.every decision she endorses is key to that goal,I would not trust her credentials with a $1B portfolio Company Let alone a $20B one.UMENIELEWA?
I would not trust her experience, exposure or judgement.
Her track record is shallow and weak, she is a 'liability' the least to say.

Watetezi wa jenda, uzanzibar na dini wanathibitisha umma kuwa hana kingine cha kuonyesha zaidi ya hivyo.
Hafai, hafai ni hatari kwa maisha yetu. Huyu mama ni sumu
Tanzania ndio nchi pekee waziri wa fedha anafanya 'apprentice'

Watanzania, dereva ni tatizo hivi kweli hata mautingo nao wawe mzigo!
 
vyuo vyenyew kaungaunga kma nn inaonyesha form six alifeli ndo mana akaanza na diploma
 
Status incongruence is deadly for the morale of an organization
 
Wale waliokuwa na shaka wakisubiri Mama mpendwa amalize internship someni hapa kwanza

Ikulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Mama Mpendwa kasema pesa zimeshaanza kutolewa, Ikulu inasema pesa hazijatolewa kwa Wabunge.
Kuna mawili, mama Mpendwa yupo sahihi au Ikulu ipo sahihi.

Kwavile mama mpendwa bado yupo katika apprentice nadhani ameropoka tu ikiwa ni dalili njema kabisa kuwa uzoefu wake una matatizo. Mama mpendwa alipaswa kuwasiliana na wakubwa kwanza.

Tusubiri amalize mafunzo kazini halafu tuone nchi inakwendaje.
 
vyuo vyenyew kaungaunga kma nn inaonyesha form six alifeli ndo mana akaanza na diploma
Kuna wengi tu waliungaunga na sasa ni maprofesa. Hata Salim Ahmed Salim aliungaunga lakini akawa katibu mkuu wa OAU. Naona huyu mama hana shida ila shida hamtaki mvaa hijabu akashika wizara ya fedha kama vile Ustadh Shukuru kawambwa alivyoshika wizara elimu.
 
Wale waliokuwa na shaka wakisubiri Mama mpendwa amalize internship someni hapa kwanza

Ikulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge - Kitaifa - mwananchi.co.tz

Mama Mpendwa kasema pesa zimeshaanza kutolewa, Ikulu inasema pesa hazijatolewa kwa Wabunge.
Kuna mawili, mama Mpendwa yupo sahihi au Ikulu ipo sahihi.

Kwavile mama mpendwa bado yupo katika apprentice nadhani ameropoka tu ikiwa ni dalili njema kabisa kuwa uzoefu wake una matatizo. Mama mpendwa alipaswa kuwasiliana na wakubwa kwanza.

Tusubiri amalize mafunzo kazini halafu tuone nchi inakwendaje.

Nchi inakwenda vizuri tu

Nyinyi mnajijaza sumu wenyewe kuwa mambo hayaendi,

Mambo yanaenda salama kabisa..subiri 2015..
 
Back
Top Bottom