Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

Kama uelewi kawaulize wanunua vyeti wenzako! Ninakuelewa kwani hujui unachokizungumza! Haya tuone kama huyo mama atashindwa! Nyie watu mna matatizo gani? Kumbuka mimi siyo mwana CCM au mwana CDM etc ila ninajaribu kuangalia hali halisi. Ninarudia lazima tuwe fair katika kuwaongelea watu. Wengine wana chuki binafsi, eti mini nina vyeti zaidi ya huyu mama kwa nini nisingepewa mimi!!!!! Ninarudia tumpe muda afanye kazi yake.

Walioelimika siyo kwamba walizaliwa tofauti na wewe, wanapenda kujifunza kila wakati. Ulipoulizwa pHds ni nini ungejiuliza kwa nini unaulizwa na hapo ndo ungetafuta maana ya hayo maneno. Sasa wewe unakomaa na makosa yako kwamba uko sahihi.

Umeshaulizwa kwa nini apewe muda wa kujaribiwa? Yeye ni nani? Rais kwa akili yake ameshindwa kuweka mtu asiyehitaji majaribio? Kuna watu wameshaonyesha mafanikio ktk utendaji wao na hao ndo wanatakiwa wawekwe nafasi za juu ili watusaidie. Hatuhitaji watu wanaojaribiwa.

Zakia Megji alifika wapi? Hapa siyo udini mbona Mustafa Mukulo hakulalamikiwa mpaka alipovuruga kwa tamaa yake mwenyewe.

Unatetea mtu mwenye diploma za Malaysia! Eti unalinganisha na pHds. Sasa naomba kuanzia leo andika Ph.D. Duniani hatuna kitu kiitwacho pHds. Au ulitaka kusema pH? Elimu haikutoshi kubishana na watu hapa JF.
 
Walioelimika siyo kwamba walizaliwa tofauti na wewe, wanapenda kujifunza kila wakati. Ulipoulizwa pHds ni nini ungejiuliza kwa nini unaulizwa na hapo ndo ungetafuta maana ya hayo maneno. Sasa wewe unakomaa na makosa yako kwamba uko sahihi.

Umeshaulizwa kwa nini apewe muda wa kujaribiwa? Yeye ni nani? Rais kwa akili yake ameshindwa kuweka mtu asiyehitaji majaribio? Kuna watu wameshaonyesha mafanikio ktk utendaji wao na hao ndo wanatakiwa wawekwe nafasi za juu ili watusaidie. Hatuhitaji watu wanaojaribiwa.

Zakia Megji alifika wapi? Hapa siyo udini mbona Mustafa Mukulo hakulalamikiwa mpaka alipovuruga kwa tamaa yake mwenyewe.

Unatetea mtu mwenye diploma za Malaysia! Eti unalinganisha na pHds. Sasa naomba kuanzia leo andika Ph.D. Duniani hatuna kitu kiitwacho pHds. Au ulitaka kusema pH? Elimu haikutoshi kubishana na watu hapa JF.

Mkuu MchunguZI kama unafikiri wewe umesoma kuliko wengine nafikiri si ajabu huu muda unao utumia kufanya marakebisho ya PHDs au Ph.D au kutaka kuniambia sijui maana ya pH nk ungeutumia kutafuta ajira katika mashirika makubwa ili uwaonyeshe hiyo elimu yako. Sawa, sina haja ya kukufahamisha mimi nina elimu gani lkn ukumbuke kuwa hapa hatutoi mwazo kwa chuki nk. Ninarudia huyu mama aachwe afanye kazi yake na siyo vinginevyo. Nafikiri utalia sana kama nia yako ilikuwa au ulitegemea candidate fulani ashike hiyo nafasi, basi ndugu yangu itabidi uvute subira.
 
Kama ni "uwajibikaji na uadilifu", ungeanzia kwa Kikwete aliyemteua Waziri wa Fedha amabye ni clearly mediocre in every professional respect.
Why nianzie kwa JK? Kwani mie nimesema Saada Mkuya ni mwadilifu au nimesema tatizo kuu la nchi hii ni uadilifu?
It begs the question kama Kikwete nia yake ni Muislamu Mwanamke kushika nafasi nyeti kama hii, is this the best he could come up with? Matter of fact uteuzi huu unaweza ku-reinforce bigoted notions dhidi ya Waislamu kuwa ni mediocre kwenye elimu.
----.....watu wanajadili sifa wewe unaleta habari za uislamu. Kama shida yake ingekuwa ndo hiyo kwanini hakumfanya kuwa waziri kamili tangu mara ya kwanza?
Mtu una diploma ya OUT
Wapi panasema ana diploma ya OUT? Soma kwanza kisha rejea kwenye mada.
na Stamford University of Malaysia halafu unadai umesoma unheard of university in Scotland? Kweli? Hata kama alikuwa anamaanisha Heriot-Watt university iliyo Edinburgh, Scotland, its still a mediocre institution iliyo na nafasi ya 349 kati ya 400 in the the Times World University rankings.
Inaaminika kwamba best three university in Tanzania ni UDSM, Muhimbili and SUA. Can you tell me their position kwenye hiyo Times World University Ranking ili tujiliridhishe kwamba 349 out of 400 mean nothing? Hivi hapa napo panahitaji shahada kufahamu kwamba duniani kuna universities zaidi ya 3000? Labda ungeona ipo nafasi ya 349 out 3000 ndipo ungeridhika?
Kama ni "overachiever", labda ni kwa kiwango cha hukohuko kwao Zanzibar lakini kwa Tanzania bara, hafai!!!
Kama ni "overachiever" or otherwise, hilo unasema wewe.
 
NasDaz,

..the best case scenario ni waziri msomi, mwenye uzoefu wa kitaalamu wa kutosha, mwadilifu, na mwajibikiaji.

..the worst case scenario ni waziri asiye na elimu na uzoefu, aliyekosa maadili, na asiye mwajibikaji.

..pia kuna a number of cases in between the best and the worst case scenarios.

..mapendekezo yangu ni kwamba ili tuwe na nafasi nzuri ya kufanikiwa ktk kuendesha uchumi wetu basi Raisi anapofanya uteuzi wa waziri wa fedha anapaswa kulenga ktk best case scenario niliyoieleza hapo juu.

..nakubaliana na wewe kwamba kuna sekta mbalimbali hapa nchi ambazo zimeathirika kutokana na ukosefu wa maadili wa wale waliopewa dhamana. umetoa mifano mizuri tu. mfano mzuri zaidi ni ufisadi ambao umekuwa ukitokea ktk taasisi kama Benki Kuu. Lakini pamoja na hayo Maraisi wote wameendelea kuteua magavana wenye elimu na uzoefu wa kutosha kuongoza taasisi hiyo nyeti.

..kuhusu wizara ya elimu, naomba kutofautiana na mtizamo wako. kwa maoni yangu matatizo ya sekta ya elimu kwa kiwango kikubwa yanatokana na kutozingatia utaalamu ktk maamuzi yetu. tumetumbukiza siasa ktk sekta hii na watawala wamegoma kujifunza frm our past failures and experiences.

..Uadilifu peke yake hauwezi kutatua matatizo yanayoishambulia nchi yetu. Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alikuwa mtu mwadilifu sana aliyeweka mbele maslahi ya nchi wakati wote. Pamoja na hayo, kutokana na kukosa utaalamu wa kuendesha uchumi, alichukua uamuzi wa kutaifisha mashamba ya mkonge. Sote tunajua matokeo mabaya ya uamuzi huo, na hata yeye mwenyewe alikiri kwamba alifanya kosa la kitaalamu ktk uamuzi wake ule.

cc Nguruvi3, Mchambuzi, Mdondoaji
Kwamba suala la elimu ni muhimu hakuna anayekataa unless huyo mtu awe ni wa ajabu lakini hiyo elimu maalumu kwa mtu kuwa Waziri wa Fedha ni elimu ya namna gani. Kwanza kabisa, tukumbuke concern ya Lipumba haikua elimu kwa maana ya level ya elimu iliyofikia bali kule alikosoma coz' kwenye website ya bunge hawakuonesha. Now tell me, elimu muafaka ni ipi? First degree? Masters? PhD? Anyway, ngoja tuchukue maelezo ya Saada Mkuya kisha tutumie akili ya kawaida tu ili tuyachanganye na CV.

CV inaonesha amemaliza form VI 1995 na anasema baada ya hapo akaenda Malaysia na kuchukua diploma. CV inaonesha amemaliza 1999 na kutunukiwa Advanced Diploma in Business Study. Hivi hapa panahitaji research kufahamu kwamba anachosema alipata Diploma Malaysia sio Diploma bali ni Advanced Dipeloma kama inavyoonekana kwenye CV? Baada ya hapo, mwaka 2002 akawa awarded "Certificate" baada ya kusoma "Courses for The Second Degree in Business" Hivi kozi gani hiyo inayoitwa for the second degree? Sio hii ambayo huku kwetu tunaita Postgraduate Diploma? Tofauti na mbwembwe za watu wa bara, yeye hiyo Postgraduate Diploma akaishia tu kusema "diploma nyingine ya biashara nchini Uingereza." B Hapo ukiwa makini, utagundua jambo moja, hizi mbwembwe zetu za Advanced nini, postgraduate nini, huyu mama hana, yeye zote hizo anaita Diploma badala ya Advanced Diploma na Postgraduate Diploma. Baada ya hapo, kwenye CV inaonesha kwamba mwaka 2010 ametunukiwa Masters Degree in Finance! Unataka kusema hakuwa na sifa za hiyo Masters wakati tayari alishakuwa Postgraduate Diploma? CV yake imeishia hapo. Lakini ukija kwenye maelezo yake na mwandishi, mwandishi huyu hapa:Alisema mbali na masomo hayo, pia amesoma shahada ya pili ya biashara katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na kuhitimu mwaka 2009. Baada ya maelezo hayo ya mwandishi, Saada Mkuya ananukuliwa ""Kwa sasa nachukua Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Utawala wa Biashara Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, tawi la Dar es Salaam," Hivyo basi, ukichambua kwa makini maelezo yake na CV yake, utagundua kwamba tofauti na wapenda sifa wengine, yeye hizo qualification za OUT hajaziweka kwenye CV zake; ambayo highest degree level reached ni Masters Degree in Finance! Sasa usomi mnaosema nyinyi ni usomi wa level ipi? PhD? Hoja yenu hasa ni ipi?

Anyway, kabla ya kuteuliwa kuwa waziri, alikuwa Naibu kwenye wizara hiyohiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja unusu! Kabla ya hapo alikuwa Commissioner of Finance, President's Office(ZNZ), kabla ya hapo amekaa miaka 8 Treasure ZNZ akiwa kama officer na baadae administrative officer! Zaidi ya hiyo experience, mlitaka awe amefikia level ipi katika utendaji? Ile level which could only attract Fifty something guys? Mie nimemaliza University 2003, waliokuwa wameenda serikalini kama Economist, wengi wao kama sio wote bado wapo kwenye level ya Economist I, even after 10 years of working! Kama wapo ambao wamefikia level ya Principal Economist, basi ni wachache! So, unataka kuniambia huyu mtu ambae ame-work as economist for 10 years hana uzoefu kwavile tu job title yake ni Economist I ambayo ni level ya kawaida sana serikalini? Ukiwa private sector, say umetoka na BCom(Marketing) pale UDSM na kuajiriwa kama Sales Executive; unaweza kuta huyu huyu after 3-5 years anakuwa Country Sales Manager or Director!
 
Kwamba suala la elimu ni muhimu hakuna anayekataa unless huyo mtu awe ni wa ajabu lakini hiyo elimu maalumu kwa mtu kuwa Waziri wa Fedha ni elimu ya namna gani. Kwanza kabisa, tukumbuke concern ya Lipumba haikua elimu kwa maana ya level ya elimu iliyofikia bali kule alikosoma coz' kwenye website ya bunge hawakuonesha. Now tell me, elimu muafaka ni ipi? First degree? Masters? PhD? Anyway, ngoja tuchukue maelezo ya Saada Mkuya kisha tutumie akili ya kawaida tu ili tuyachanganye na CV.

CV inaonesha amemaliza form VI 1995 na anasema baada ya hapo akaenda Malaysia na kuchukua diploma. CV inaonesha amemaliza 1999 na kutunukiwa Advanced Diploma in Business Study. Hivi hapa panahitaji research kufahamu kwamba anachosema alipata Diploma Malaysia sio Diploma bali ni Advanced Dipeloma kama inavyoonekana kwenye CV? Baada ya hapo, mwaka 2002 akawa awarded "Certificate" baada ya kusoma "Courses for The Second Degree in Business" Hivi kozi gani hiyo inayoitwa for the second degree? Sio hii ambayo huku kwetu tunaita Postgraduate Diploma? Tofauti na mbwembwe za watu wa bara, yeye hiyo Postgraduate Diploma akaishia tu kusema "diploma nyingine ya biashara nchini Uingereza." B Hapo ukiwa makini, utagundua jambo moja, hizi mbwembwe zetu za Advanced nini, postgraduate nini, huyu mama hana, yeye zote hizo anaita Diploma badala ya Advanced Diploma na Postgraduate Diploma. Baada ya hapo, kwenye CV inaonesha kwamba mwaka 2010 ametunukiwa Masters Degree in Finance! Unataka kusema hakuwa na sifa za hiyo Masters wakati tayari alishakuwa Postgraduate Diploma? CV yake imeishia hapo. Lakini ukija kwenye maelezo yake na mwandishi, mwandishi huyu hapa:Alisema mbali na masomo hayo, pia amesoma shahada ya pili ya biashara katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na kuhitimu mwaka 2009. Baada ya maelezo hayo ya mwandishi, Saada Mkuya ananukuliwa ""Kwa sasa nachukua Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Utawala wa Biashara Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, tawi la Dar es Salaam," Hivyo basi, ukichambua kwa makini maelezo yake na CV yake, utagundua kwamba tofauti na wapenda sifa wengine, yeye hizo qualification za OUT hajaziweka kwenye CV zake; ambayo highest degree level reached ni Masters Degree in Finance! Sasa usomi mnaosema nyinyi ni usomi wa level ipi? PhD? Hoja yenu hasa ni ipi?

Anyway, kabla ya kuteuliwa kuwa waziri, alikuwa Naibu kwenye wizara hiyohiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja unusu! Kabla ya hapo alikuwa Commissioner of Finance, President's Office(ZNZ), kabla ya hapo amekaa miaka 8 Treasure ZNZ akiwa kama officer na baadae administrative officer! Zaidi ya hiyo experience, mlitaka awe amefikia level ipi katika utendaji? Ile level which could only attract Fifty something guys? Mie nimemaliza University 2003, waliokuwa wameenda serikalini kama Economist, wengi wao kama sio wote bado wapo kwenye level ya Economist I, even after 10 years of working! Kama wapo ambao wamefikia level ya Principal Economist, basi ni wachache! So, unataka kuniambia huyu mtu ambae ame-work as economist for 10 years hana uzoefu kwavile tu job title yake ni Economist I ambayo ni level ya kawaida sana serikalini? Ukiwa private sector, say umetoka na BCom(Marketing) pale UDSM na kuajiriwa kama Sales Executive; unaweza kuta huyu huyu after 3-5 years anakuwa Country Sales Manager or Director!
NasDaz,

..nafasi hiyo inahitaji NGULI ktk masuala ya uchumi au fedha.

..kwa elimu na uzoefu wake wa kazi siwezi kusema huyu waziri ni nguli ktk fani yake.
 
Last edited by a moderator:
NasDaz,

..nafasi hiyo inahitaji NGULI ktk masuala ya uchumi au fedha.

..kwa elimu na uzoefu wake wa kazi siwezi kusema huyu waziri ni nguli ktk fani yake.

Nguli unaanzia degree ngapi?
Nguli unaanzia uzeofu wa miaka mingapi ya uwaziri?
 
Kwamba suala la elimu ni muhimu hakuna anayekataa unless huyo mtu awe ni wa ajabu lakini hiyo elimu maalumu kwa mtu kuwa Waziri wa Fedha ni elimu ya namna gani. Kwanza kabisa, tukumbuke concern ya Lipumba haikua elimu kwa maana ya level ya elimu iliyofikia bali kule alikosoma coz' kwenye website ya bunge hawakuonesha. Now tell me, elimu muafaka ni ipi? First degree? Masters? PhD? Anyway, ngoja tuchukue maelezo ya Saada Mkuya kisha tutumie akili ya kawaida tu ili tuyachanganye na CV.

CV inaonesha amemaliza form VI 1995 na anasema baada ya hapo akaenda Malaysia na kuchukua diploma.
CV inaonesha amemaliza 1999 na kutunukiwa Advanced Diploma in Business Study.

Hivi hapa panahitaji research kufahamu kwamba anachosema alipata Diploma Malaysia sio Diploma bali ni Advanced Dipeloma kama inavyoonekana kwenye CV? Baada ya hapo, mwaka 2002 akawa awarded "Certificate" baada ya kusoma "Courses for The Second Degree in Business" Hivi kozi gani hiyo inayoitwa for the second degree? Sio hii ambayo huku kwetu tunaita Postgraduate Diploma? Tofauti na mbwembwe za watu wa bara, yeye hiyo Postgraduate Diploma akaishia tu kusema "diploma nyingine ya biashara nchini Uingereza." B Hapo ukiwa makini, utagundua jambo moja, hizi mbwembwe zetu za Advanced nini, postgraduate nini, huyu mama hana, yeye zote hizo anaita Diploma badala ya Advanced Diploma na Postgraduate Diploma. Baada ya hapo, kwenye CV inaonesha kwamba mwaka 2010 ametunukiwa Masters Degree in Finance! Unataka kusema hakuwa na sifa za hiyo Masters wakati tayari alishakuwa Postgraduate Diploma? CV yake imeishia hapo.

Lakini ukija kwenye maelezo yake na mwandishi, mwandishi huyu hapa:Alisema mbali na masomo hayo, pia amesoma shahada ya pili ya biashara katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na kuhitimu mwaka 2009. Baada ya maelezo hayo ya mwandishi, Saada Mkuya ananukuliwa ""Kwa sasa nachukua Shahada ya Uzamivu (PhD) ya Utawala wa Biashara Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, tawi la Dar es Salaam," Hivyo basi, ukichambua kwa makini maelezo yake na CV yake, utagundua kwamba tofauti na wapenda sifa wengine, yeye hizo qualification za OUT hajaziweka kwenye CV zake; ambayo highest degree level reached ni Masters Degree in Finance! Sasa usomi mnaosema nyinyi ni usomi wa level ipi? PhD? Hoja yenu hasa ni ipi?

Anyway, kabla ya kuteuliwa kuwa waziri, alikuwa Naibu kwenye wizara hiyohiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja unusu! Kabla ya hapo alikuwa Commissioner of Finance, President's Office(ZNZ), kabla ya hapo amekaa miaka 8 Treasure ZNZ akiwa kama officer na baadae administrative officer! Zaidi ya hiyo experience, mlitaka awe amefikia level ipi katika utendaji? Ile level which could only attract Fifty something guys? Mie nimemaliza University 2003, waliokuwa wameenda serikalini kama Economist, wengi wao kama sio wote bado wapo kwenye level ya Economist I, even after 10 years of working! Kama wapo ambao wamefikia level ya Principal Economist, basi ni wachache! So, unataka kuniambia huyu mtu ambae ame-work as economist for 10 years hana uzoefu kwavile tu job title yake ni Economist I ambayo ni level ya kawaida sana serikalini? Ukiwa private sector, say umetoka na BCom(Marketing) pale UDSM na kuajiriwa kama Sales Executive; unaweza kuta huyu huyu after 3-5 years anakuwa Country Sales Manager or Director!
NasDaz

Nashukuru kuona kuwa utetezi wako umelenga katika uzanzibar na ubara na siyo experience na CV.
At least hilo umeliweka wazi. Nirejee hoja zako kama ifuatavyo.

Advance diploma na Diploma ni vitu viwili tofauti kabisa na si mbwembwe kama ulivyosema.
Kwa ufupi advance diploma ina hadhi yake tofauti kwa curriculum na recognition

  1. Endapo waziri hakuona sababu ya kuweka sifa zake za OUT kwas sifa,umesahau kuwa hatukuhitajikujua kasoma secondary, kuweka sekondari badala ya sifa za graduate ni udhaifu wa hoja yako.
  2. Usomi haushii katika vyeti na wala vyeti havitengenezi usomi. Usomi ni matumizi ya elimu katika weledi. Hatuangalii usomi wa Saada kwa makaratasi bali mchango wake kitaaluma au kifikra. Hakuna mahali tunaweza kuona Saada ameshiriki. Hayo si mbwembwe au sifa ni sehemu ya CV.
    Je aliwahi kuwa policy maker au aliwahi kushiriki shughuli yoyote ndani na nje ya nchi ambayo tunapaswa kujua? Lazima CV ieleze si miaka ya shule tu bali uthabiti wa mtu katika nafasi na fani.
  3. Uzoefu wa kazi wa miaka 10 hautuelezi uwezo wake wa jukumu kubwa na zito alilo nalo. Anaweza kuwa alikuwa desk officer kwa miaka 8.Kukaa kazini hakuna maana uzoefu, uzoefu ni pamoja na nini amefanya

Ukumbuke nafasi alizoshika huko ZNZ ni ndogo sana japo majina ni makubwa. CommiSsioner wa fedha znz anaweza kuwa sawa na nafasi nyingine kama hiyo katika ngazi ya mkoa. Inabidi uangalie nafasi hiyo ilikuwa na ina simamia ukubwa kiasia gani.

Uchumi wa New York city ni mkubwa kuliko wa Tanzania.
Commissioner wa fedha wizara ya fedha Tanzania ni tofauti na commissioner wa fedha wa New york.
Hoja ikiwa ni kuwa nafasi alizoshika huko znz si kigezo muhimu cha kupewa jukumu kubwa la JMT.

Nafasi aliyopewa Saada ni kubwa na muhimu sana kwa uchumi wa taifa. Inataka mtu si mwenye elimu tu bali weledi wa kuchambua mambo.

Waziri wa fedha atakuwa na majadiliano na akina Christine Lagard na wenzake wa EAC, SADC, WB na IMF. Ni mwakilishi katika maamuzi makubwa ya kiuchumi yanayoathiri nchi.

JK kumwacha Sitta EA ni makusudi kwa kuelewa changamoto zilizopo.
Hivi leo utajisikiaje ukiona Lusinde(Kibajaji)ndiye mwakilishi wa Tanzania katika EAC.
Arguably ni mbunge tena wa kuchaguliwa na si kuteuliwa kwanini tudhani hataweza kuwa!!!!!

Nimetoa mfano kuwa Paris Club ilikataa majadiliano hadi waletwe wazoefu.
Nafasi ya waziri wa fedha ni kubwa sana, na kwa kuangalia wasifu wa Saada nasema wazi hakupaswa wala kufaa kupewa jukumu hilo.

 
NasDaz
Nashukuru kuona kuwa utetezi wako umelenga katika uzanzibar na ubara na siyo experience na CV.At least hilo umeliweka wazi. Nirejee hoja zako kama ifuatavyo.


Advance diploma na Diploma ni vitu viwili tofauti kabisa na si mbwembwe kama ulivyosema. Hata kama ni mbwembe bado ukweli kuwa elimu Nikupe mifano ki

Kwa ufupi advance diploma ina hadhi yake tofauti kwa curriculum na recognition


  1. Endapo waziri hakuona sababu ya kuweka sifa zake za OUT kwas sifa,umesahau kuwa hatukuhitajikujua kasoma secondary, kuweka sekondari badala ya sifa za graduate ni udhaifu wa hoja yako.
  2. Usomi haushii katika vyeti na wala vyeti havitengenezi usomi. Usomi ni matumizi ya elimu katika weledi. Hatuangalii usomi wa Saada kwa makaratasi bali mchango wake kitaaluma au kifikra. Hakuna mahali
    tunaweza kuona Saada ameshiriki. Hayo si mbwembwe au sifa ni sehemu ya CV.

    Je aliwahi kuwa policy maker au aliwahi kushiriki shughuli yoyote ndani na nje ya nchi ambayo tunapaswa kujua? Lazima CV ieleze si miaka ya shule tu bali uthabiti wa mtu katika nafasi na fani.

  3. Uzoefu wa kazi wa miaka 10 hautuelezi uwezo wake wa jukumu kubwa na zito alilo nalo. Anaweza kuwa alikuwa desk officer kwa miaka 8.Kukaa kazini hakuna maana uzoefu, uzoefu ni pamoja na nini amefanya.
    Ukumbuke nafasi alizoshika huko ZNZ ni ndogo sana japo majina ni makubwa. CommiSsioner wa fedha znz anaweza kuwa sawa na nafasi nyingine kama hiyo katika ngazi ya mkoa. Inabidi uangalie nafasi hiyo ilikuwa na ina simamia ukubwa kiasia gani.


    Uchumi wa New Yoek city ni mkubwa kuliko wa Tanzania. Commissioner wa fedha wizara ya fedha Tanzania ni tofauti na commissioner wa fedha

    Wa New york. Hoja ikiwa ni kuwa nafasi alizoshika hiuko znz si kigezo muhimu cha kupewa jukumu kubwa la JMT.

  4. Nafasi aliyopewa Saada ni kubwa na muhimu sana kwa uchumi wa taifaInataka mtu si mwenye elimu tu bali weledi wa kuchambua mambo.

    Waziri wa fedha atakuw majadiliano na akina Christine Lagard n.k.

    Atakuwa katika majadiliano na wenzake wa EAC, SADC, WB na IMF.

    Ni mwakilishi wa nchi katika maamuzi makubwa ya kiuchumi yanayoathiri nchi yetu.


    JK kumwacha Sitta EA ni makusudi kwa kulewa changamoto zilizopo.

    Hivi leo utajisikiaje ukiona Lusinde(Kibajaji)ndiye mwakilishi wa Tanzania katika EAC.


    Arguably ni mbunge tena wa kuchaguliwa na si kuteuliwa kwanini tudhani hataweza kuwa!!!!!


    Nimetoa mfano kuwa Paris Club ilikataa majadiliano hadi waletwe wazoefu.


    Nafasi ya waziri wa fedha ni kubwa sana, na kwa kuangalia wasifu wa Saada nasema wazi hakupaswa wala kufaa kupewa jukumu hilo.


Wewe uko kwenye kundi la watu waliokuwa na mtu wao bahati mbaya hakuwekwa
Subiri tu ukishinda 2015 utawaweka uwatakao
 
NasDaz,

..nafasi hiyo inahitaji NGULI ktk masuala ya uchumi au fedha.

..kwa elimu na uzoefu wake wa kazi siwezi kusema huyu waziri ni nguli ktk fani yake.
Bila shaka nguli kwa maana kwamba ni mtu mwenye PhD coz' Saada Mkuya ana Masters! Kwa bahati mbaya sana umeshindwa ku-defend hoja yako ni namna gani PhD ilivyo worthwhile hata baada ya kukutajia PhD holders waliopo sehemu mbalimbali lakini badala yake ukanipa reference ya PhD holders wa nje!! That's nguli in terms of elimu, labda nieleweshe wewe unguli kwa mujibu wa uzoefu unahitaji nini hasa? Miaka mingapi? Fifteen? twenty? How many years? Previously served in which posts? Chief Economist? World Bank/IMF Senior Consultant?

Anyway, let's get back to history. Was Dr. Mgimwa fit for the position in terms of unguli kwenye masuala ya fedha na uchumi? am so asking coz' hata CV yake inaonesha kwamba the guy was purely a finance guy with Adv Diploma in Banking, Postgraduate(Finance), MBA(Finance). Ukiangalia publication zake zote ni finance/banking stuffs. Working experience yote ni finance/banking stuffs! Was he fit for this "economic guru" stuffs?! Mustafa Mkulo nae alikuwa purely finance guy, huku akiwa na experience kubwa working as NSSF director...but the dude was finance guy, not economist! Was Mkulo Economic Guru? Why for Saada Mkuya ndie anaetakiwa kuwa PhD Holder na NGULI wa UCHUMI?

I'd side with your argument kama ungesema kwamba wakati umefika kwa minister of finance awe ni PhD Holder na Nguli wa Uchumi kwahiyo mjadala ungebadilika moja kwa moja kutoka kwamba "Saada doesn't qualify for the post" to "We need to have Doctors of finance and economy in our ministry of finance though kuna kwingine kuna wenyewe hizo sifa but no one is better than the other!
 
Hoja zako majibu ndio hayo..

Mpeni muda Saada arekebishe uchumi, akishindwa mta-register madhaifu yake..

Kama mlikuwa na waziri wa fedha kwenye kapu lenu hakupata msikate tamaa uchaguzi 2015 (2 yrs from now)

Pambaneni kwa hoja
Hapana unakosea sana kusema maneno mengine yasiyohusiana na mada.
Lete utetezi wa kuonyesha kuwa anafaa nafasi aliyopewa. Hicho ndicho kinajadiliwa hapa.

Mimi niwe na mtu yupi na kwanini?
Kinachonigusa ni nafasi nyeti na kubwa kama hii kufanyiwa majaribio tena ya hatari kabisa.
Hivi utakuwa na faraja kufanyiwa operesheni na daktari ambaye hajawahi kufanya operesheni kwa matumaini kuwa una mpa muda wa kuangalia tatizo lako.

Hatuna muda wa kuwa na matatizo halafu kesho tujadili matatizo hayo yanetokana na nini.
Watetezi wa Saada wana hoja dhaifu sana , hawawezi kusimama na kutetea sifa zake bali kuleta tetezi laini.

Mfano mmoja ni huyo aliyesema Saada hana sababu ya kuweka elimu yake ya graduate katika CV bali tunatapaswa kujua kasoma sekondari gani.

Tatizo la watanzania hata kuangalia CV ni shida achilia mbali kuandika. Hivi unaweza kujiuza kama husemi una nini?

Nafasi hii ni kubwa sana kwa Saada.
 
Bila shaka nguli kwa maana kwamba ni mtu mwenye PhD coz' Saada Mkuya ana Masters! Kwa bahati mbaya sana umeshindwa ku-defend hoja yako ni namna gani PhD ilivyo worthwhile hata baada ya kukutajia PhD holders waliopo sehemu mbalimbali lakini badala yake ukanipa reference ya PhD holders wa nje!! That's nguli in terms of elimu, labda nieleweshe wewe unguli kwa mujibu wa uzoefu unahitaji nini hasa? Miaka mingapi? Fifteen? twenty? How many years? Previously served in which posts? Chief Economist? World Bank/IMF Senior Consultant?

Anyway, let's get back to history. Was Dr. Mgimwa fit for the position in terms of unguli kwenye masuala ya fedha na uchumi? am so asking coz' hata CV yake inaonesha kwamba the guy was purely a finance guy with Adv Diploma in Banking, Postgraduate(Finance), MBA(Finance). Ukiangalia publication zake zote ni finance/banking stuffs. Working experience yote ni finance/banking stuffs! Was he fit for this "economic guru" stuffs?! Mustafa Mkulo nae alikuwa purely finance guy, huku akiwa na experience kubwa working as NSSF director...but the dude was finance guy, not economist! Was Mkulo Economic Guru? Why for Saada Mkuya ndie anaetakiwa kuwa PhD Holder na NGULI wa UCHUMI?

I'd side with your argument kama ungesema kwamba wakati umefika kwa minister of finance awe ni PhD Holder na Nguli wa Uchumi kwahiyo mjadala ungebadilika moja kwa moja kutoka kwamba "Saada doesn't qualify for the post" to "We need to have Doctors of finance and economy in our ministry of finance though kuna kwingine kuna wenyewe hizo sifa but no one is better than the other!
Publication za Saada ni zipi?
Unguli hauna maana Ph.D, ni zaidi ya hapo. Unguli wa Lipumba si u-profesa ni namna anavyotumia elimu yake katika mambo ya uchumi wa dunia. Unguli wa Shivji si uprofesa ni uwezo wake wa kuchambua mambo na kuyaangalia katika viwango tofauti.

Uzoefu na elimu ni vitu muhimu sana katika dunia ya sasa.
 
Why nianzie kwa JK? Kwani mie nimesema Saada Mkuya ni mwadilifu au nimesema tatizo kuu la nchi hii ni uadilifu?

Kwa kawaida huwa sipendi kujibu statement by statement, na ukiona mtu anafanya hivyo ujue huyo ni mbishi aka arrogant, lakini kwa faida yako, I'll reply in kind.

Sasa ni wazi kwenye statement hapo juu unadanganya, na sidhani kuna maana nyingine mbadala ulipoandika
UWAJIBIKAJI NA UADILIFU, hayo ndiyo mambo makubwa ambayo tumeyakosa nchi hii.


----.....watu wanajadili sifa wewe unaleta habari za uislamu. Kama shida yake ingekuwa ndo hiyo kwanini hakumfanya kuwa waziri kamili tangu mara ya kwanza?

Mimi nimesema kiujumla professional attributes za yule mdada, akiwa Muislamu na Mwanamke (ambazo nazo ni sifa), hazitoshelezi kupewa wadhifa wa Waziri wa Fedha upande wa Tanzania Bara, kwani kama ni Mwanamke na Muislamu hata Tanzania Bara wapo wengi waliomzidi kielimu na kiujuzi kwenye fani ya Uchumi.

Wapi panasema ana diploma ya OUT? Soma kwanza kisha rejea kwenye mada.

Hata kama angekuwa na Ph.d ya OUT, tatizo mojawapo ni quality of education aliyo nayo, na OUT na hivyo vyuo vya Malaysia na UK quality of education zao ni at best dubious au mbaya zaidi ni inferior.

Inaaminika kwamba best three university in Tanzania ni UDSM, Muhimbili and SUA. Can you tell me their position kwenye hiyo Times World University Ranking ili tujiliridhishe kwamba 349 out of 400 mean nothing?

Everything is relative, kidunia UDSM, MUHIMBILI na SUA could amount to zero, lakini kwa Tanzania, that's where most of our brightest minds go to. Huyo dada hata UDSM au SUA sidhani alipata nafasi, that in itself says a lot about her pre-college academic background.

Hivi hapa napo panahitaji shahada kufahamu kwamba duniani kuna universities zaidi ya 3000? Labda ungeona ipo nafasi ya 349 out 3000 ndipo ungeridhika?

Heriot-Watt (na tena kama kweli alisoma pale maana anadai kasoma "Watt") ina nafasi ya 349 kati ya 400 kwenye Times World University Rankings. Hizi "University Rankings" zipo nyingi, na nyingine zinakuwa more or less exhaustive ukilinganisha na ya Times, lakini ya Times ndiyo inaheshimika zaidi, na wao wameamua kutathmini vyuo 400 tu duniani.

Kama ni "overachiever" or otherwise, hilo unasema wewe.
Nimesema mimi ndiyo, na pointi ni kwamba, kama ni Mwanamke Muislamu kwenye jamii ya Kiislamu ya Zanzibar, anaweze kuchukuliwa kama ni msomi wa daraja la kwanza kutokana na hali halisi ya idadi ya watu, access to modern education kwa wanawake kwenye jamii ya Kiislamu na kadhalika. Lakini kwa Tanzania Bara she's a zero kielimu na kiujuzi kwenye fani ya uchumi/finance, hata kwa Muislamu Mwanamke.
 
Mchambuzi,
Do you believe kwamba endapo (say) angekuwa ni PhD Holder and probably a Professor with First Class in undergraduate and master degree level from one of the reputable university duniani basi ndo angetosha kwenye hiyo nafasi?! Do you believe that? If YES, can you prove it in contrast kwamba Minister this and that, did this and that; in fact great job simply because s/he's a professor or graduated from a very reputable university! Hivi kweli tatizo kubwa la nchi hii ni mawaziri kuwa akina Kalumekenge au uwajibikaji na uadilifu? We'd Professor Mbilinyi back then; what did he do zaidi ya kukumbwa na kashifa za ufisadi? We'd Dr. Kagame back then ambae hata kama hakuwa wizara ya fedha lakini alikuwa kwenye very sensitive ministry, uchumi na mipango! Alifanya nini zaidi ya kushirikiana na Mkapa kuuza mashirika yetu? We'd Mungai, one of Havard guys; what did he do in education zaidi ya ku-introduce maamuzi magumu yasiyo na tija kwenye sekta ya elimu? What about Daktari Kawambwa na timu yake ya wasomi akina Profesa Mchome; what are they doing in education sector?

Anyway, this's not about kuhalisha ya sasa kwa kuangalia mapungufu ya zamani but is all about telling you kwamba tatizo la watendaji wa nchi hii si elimu otherwise tungekuwa far far away coz' nchi ukiondoa vyuo vikuu, eneo lingine ambalo limejaa wasomi ni kwenye wizara zetu na taasisi zingine za serikali lakini si ajabu wale wenye elimu ya kawaida wakawa ndo good performers kuliko hao ma-PhD holders! Look kwenye private sectors, watendaji wengi ni wale wenye elimu ya kawaida sana tena kutoka IFM, CBE, DIT and the like lakini bado ni good performers kuliko hao kutoka reputable universities walioko wizarani tena wakiwa na First Class!

Ningekubaliana na hoja za watu endapo wangesema hapa ni namna gani alikuwa underperformer alipokuwa Kamishina wa Fedha huko Zanzibar!

mkuu@nasdaz,
hoja ya msingi ni kwamba kuna minimum requirements za mtu kuwa nazo kabla hajawa waziri wa wizara nyeti kama hii ya fedha;aidha awe ni waziri mwandamizi ambae ana uzoefu wa kutosha katika kusimamia sera za maendeleo au awe na uzoefu wa kutosha juu ya masuala ya fedha - aidha in the public or private sector, na akiwa na background ya elimu ya masuala ya uchumi, fedha au yanayofanania from a reputable university, basi its an added advantage;

Kuhusiana na kina Professor Mbilinyi et al, mapungufu yao hayakutokana na kukosa sifa tajwa hapo juu bali yalitokana na mapungufu mengine binafsi pamoja na siasa za chama kutawala utendaji na maamuzi ya serikali; all that said and done, just because professor mbilinyi et al waliboronga doesnt neccessarily mean kwamba sifa (elimu na uzoefu) required kwa mtu kabla ya kuteuliwa uwaziri wa fedha becomes irrelevant;

Pengine nikuulize - kwako wewe binafsi, nini unadhani ni majukumu ya waziri wa fedha Tanzania na nini ni matarajio ya umma kwa kiongozi mwenye wadhifa huo; Nadhani tukianza na swali hili tutaweza fika pahala tukakubaliana au kukubali kutokukubaliana; otherwise kwa reference za kina mbilinyo et al nadhani we are missing the whole point;
 
Kwa uteuzi huu, J. M. Kikwete anaweza ku-achieve yafuatayo:

1. Bust his nuts and/or fu.ck the cr.ap out of Saada Mkuya at will.
2. Appease the Muslims and especially Zanzibaris on an unprecedented appointment of a Zanzibari Muslim Woman to the highest and most influential cabinet level position that any such individual has ever attained thus far.

3. Ensure CCM's unabated and unlimited access to public funds from the treasury during the next general elections through this dumb ass cunt.
 
It's classic, you put someone there that you are pretty sure you can control, so when the party needs some cash you are just a call away. Meghji aliwahi nukuliwa bungeni akisema aliambiwa 'afanye' alichokifanya wakati wa EPA sasa kama umemuweka na anafanya anayotumwa haina shida in fact amepewa wadhifa zaidi katika chama na hata serikalini ingewezekana angekuwa mbali basi tu kelele zitazidi. increasingly its about delivering on what you are told to do, plus your loyalty in the party caucus. Kama kila wizara zingetaka wataalam nadhani tungekuwa mbali ila huwezi endesha chama hivyo those mwalimu days are over, wale wataalamu kina maghufuli na wabishi, ambitious folks kama sitta, mwakyembe wanawekwa busy [they get to do the heavy lifting] and those who need a facelift get to sit on hot sectors coz they will do anything to advance in their careers.
 
NasDaz,

..nafasi hiyo inahitaji NGULI ktk masuala ya uchumi au fedha.

..kwa elimu na uzoefu wake wa kazi siwezi kusema huyu waziri ni nguli ktk fani yake.

kuishia tu kusema fulani hana sifa kwa nafasi za kisiasa bila kuonesha ushahidi kushindwa kwake inaweza kutafsirika ni wivu....
je kuna sifa mahsusi kwa waziri wa fedha kikatiba ambazo mh. saada anakosa?
ana rekodi yoyote ya kushindwa?
intelligence does not measured by grades but performance
 
Last edited by a moderator:
kuishia tu kusema fulani hana sifa kwa nafasi za kisiasa bila kuonesha ushahidi kushindwa kwake inaweza kutafsirika ni wivu....
je kuna sifa mahsusi kwa waziri wa fedha kikatiba ambazo mh. saada anakosa?
ana rekodi yoyote ya kushindwa?
intelligence does not measured by grades but performance
Hana historia yoyote kuhusu performance.
Uwaziri ni nafasi ya kisiasa yenye maamuzi mazito kuhusu maisha yetu.

Hatuwezi kuonyesha kushindwa kwake kwasababu hajawahi kuwa katika nafasi ya kuonekana.

Kwa maneno mengine uzoefu wake ni hakuna katika nafasi nyeti na hivyo ni sawa na kutolea maelezo kitu kisichokuwepo.

Hajawahi kushika nafasi kubwa akiwa kiongozi, sijui tutawezaje kuongelea mapungufu yake ambayo hayapo ab intio.

Elimu yake imekuwa ya kificho sana. Haiwezekani web ya bunge iseme fulani ana sifa ABCD bila kutaja vyuo.Kwanini alikuwa anaficha vyuo alivyosoma.

Ni mchanga katika uongozi, siasa na hana chochote anachoweza kuweka mbele iwe publications au makala katika gazeti ambayo tunaweza kumuelewa au kutomuelewa.

Hatujui mchango wake ndani au nje ya bunge, hansard za bunge hazionyeshi kama aliwahi kutoa mchango unoweza kufikirisha akili za watu

Tunawasi wasi na uwezo wake wa kuwasiliana na wenzake katika nyanja za kimataifa
Tunashaka na uwezo wake katika kusimamia uchumi
Tunashaka na uwezo wake wa kushauriana na gavana wa benki kuu

Tuna mashaka kwa kila jambo lake, mashaka yasiyo na shaka hata kidogo.
Historia ya nchi hii inaonyesha ni waziri wa kwanza wa fedha aliyeteuliwa from nowhere with nothing on hand.

Ndugu yangu huyu hafai, sumu haijaribiwi kwa kuonja.
Mwisho wa majaribio yake ni maafa kwa maisha yetu.
Tuzuie hili janga. Msione aibu tuseme ukweli hana sifa. Period

 
Back
Top Bottom