Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Hata hajui unyanyasaji unaofanya na waajiri shule binafsi na she doesn't bother kujua yeye kutoa matamko tu yasiyotekelezwa.
Walimu wanalipwa laki moja au mbili huko private na wanafanyishwa kazi mchana na usiku na hawaruhusiwi kabisa kuoa au kuolewa. Ukioa tu umejifukuzisha kazi.
Simu huruhusiwi kutumia na ukienda chooni unahesabiwa dakika.
Yeye bado yuko ofisini tu haoni chochote na haraki kujua private kuna nini.
Prof Ndalichako jiuzulu wengine wanaojua wakureprace elimu inaharibika dremendously.
Shule hazifundishwi tena na proffesional twachers bali wahsibu na engineers waliokosa kazi
Walimu wanalipwa laki moja au mbili huko private na wanafanyishwa kazi mchana na usiku na hawaruhusiwi kabisa kuoa au kuolewa. Ukioa tu umejifukuzisha kazi.
Simu huruhusiwi kutumia na ukienda chooni unahesabiwa dakika.
Yeye bado yuko ofisini tu haoni chochote na haraki kujua private kuna nini.
Prof Ndalichako jiuzulu wengine wanaojua wakureprace elimu inaharibika dremendously.
Shule hazifundishwi tena na proffesional twachers bali wahsibu na engineers waliokosa kazi