Ukipitia hiyo makala na hasa muda na akili aliyotumia huyu mwandishi kuhalalisha ushirikiano wa CUF na CCM kwnye serikali ya umoja wa kitaifa ya Zanzinba huwezi kushindwa kuona jinsi hili suala la UCCM B linavyowauma na kuwakosesha raha CUF. Au hii inatokana na ile dhana ya "ukweli unauma".