Waziri Nkenda ajitathimini kama anapaswa kuendelea kuwa waziri wa Elimu au la kwa maamuzi yake ya kukurupuka

Mr Nyau

JF-Expert Member
Oct 18, 2018
1,127
2,336
Waziri Nkenda ajitathimini kama anapaswa kuendelea kuwa waziri wa Elimu au lah kwa maamuzi yake ya kukurupuka.

Kwa kilichonadiliwa Bungeni na Hoja zilizotolewa tunapofanya maamuzi tusifanye kwa kukurupuka Kuna taratibu za kufata ona sasa unapata Aibu za bure, utamfukuza mtu vipi bila kumpa nafasi ya kujitetea?

Kama tukio lilifanyika week kadhaa zilizopita basi na wabunge wote na wakuu wote wa idara waliowahi kufanya sherehe au kuhudhuria sherehe katika mashule nao wakacheza nyimbo hizo na wanafunzi basi NAO wachukuliwe hatua. Kwanini iwe walimu.

Nashangaa chama cha walimu kimekaa kimya hakijajitokeza kutetea walimu ila Hadi watu wa mitandaoni na wabunge walipoamua kuhoji.

Wakati wa Prof Ndalichako mambo haya hayakuepo kabisa
 
Hivi walimu hicho chama chenu faida yake ni nini??


Watu wamepinga sana hayo maamuzi,sio mtandaoni hadi uraiyani na hadi huko bungeni hakuna alo support huo uamuzi.

Chaajabu ni kuwa hicho chama hata hakijaongea lolote wakati wao ndo wangepaswa kuwa wa kwanza
 
Kabla ya kuanza kumshambulia Waziri inabidi tujue kwanza mamlaka inayohusika na iliyomchukulia hatua za kinidhamu mwalimu ni ipi? Je ni Waziri Mkenda ndio anahusika na nidhamu ya walimu? Yeye ni muajiri wao?

Nimsikiliza Spika, hata yeye amekosea, utaratibu sahihi kama mwalimu aliyeshushwa cheo au kufukuzwa kama unavyodai, ni kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo na sababu ikiwa ni kuchukuliwa hatua bila kupewa nafasi ya kusikilizwa.

Spika au Waziri Mkenda hawana mamlaka ya kutengua maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ya walimu ilimchukulia hatua huyo mwalimu.
 
Mungai ndo waziri pekee wa elimu niliyekuwa namuelewa....R.I.P MUNGAI

Ukiona hivyo ulikuwa wamwelewa Nyerere. Ya kwamba hapa taabu yake ni yule aliye busy na wajomba zetu na yale mambo yetu ya bandari na loliondo.
 
Waziri nkenda ajitathimini kama anapaswa kuendelea kuwa waziri wa Elimu au lah kwa maamuzi yake ya kukurupuka


Kwa kilichonadiliwa Bungeni na Hoja zilizotolewa tunapofanya maamuzi tusifanye kwa kukurupuka Kuna taratibu za kufata ona sasa unapata Aibu za bure, utamfukuza mtu vipi bila kumpa nafasi ya kujitetea? Kama tukio lilifanyika week kadhaa zilizopita basi na wabunge wote na wakuu wote wa idara waliowahi kufanya sherehe au kuhudhuria sherehe katika mashule nao wakacheza nyimbo hizo na wanafunzi basi NAO wachukuliwe hatua. Kwanini iwe walimu.

Nashangaa chama cha walimu kimekaa kimya hakijajitokeza kutetea walimu ila Hadi watu wa mitandaoni na wabunge walipoamua kuhoji.

Wakati wa Prof Ndalichako mambo haya hayakuepo kabisa
Umemwona mkenda pekee.
Mbona hujamzungumzia Bi Gwajima Ambae pia ni Waziri na Ndiye Aliyempushi Mkenda Kutoa Maagizo Hayo.
 
Nchi ya ajabu sana hii,mweye mamlaka ya Kumwajibisha mwalimu ni mkurugenzi ,hivyo waziri mkuruukaji alipaswa kumwagiza mkurugenzi kuchunguza na kuwachukulia hatua walimu hao

Kabla ya kuanza kumshambulia Waziri inabidi tujue kwanza mamlaka inayohusika na iliyomchukulia hatua za kinidhamu mwalimu ni ipi? Je ni Waziri Mkenda ndio anahusika na nidhamu ya walimu? Yeye ni muajiri wao?

Nimsikiliza Spika, hata yeye amekosea, utaratibu sahihi kama mwalimu aliyeshushwa cheo au kufukuzwa kama unavyodai, ni kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo na sababu ikiwa ni kuchukuliwa hatua bila kupewa nafasi ya kusikilizwa.

Spika au Waziri Mkenda hawana mamlaka ya kutengua maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ya walimu ilimchukulia hatua huyo mwalimu.
 
Nchi ya ajabu sana hii,mweye mamlaka ya Kumwajibisha mwalimu ni mkurugenzi ,hivyo waziri mkuruukaji alipaswa kumwagiza mkurugenzi kuchunguza na kuwachukulia hatua walimu hao
Kama nimemsikiliza vizuri Prof. Mkenda leo bungeni, amesema walimu walichukuliwa hatua na Mkurugenzi.
 

Kabla ya kuanza kumshambulia Waziri inabidi tujue kwanza mamlaka inayohusika na iliyomchukulia hatua za kinidhamu mwalimu ni ipi? Je ni Waziri Mkenda ndio anahusika na nidhamu ya walimu? Yeye ni muajiri wao?

Nimsikiliza Spika, hata yeye amekosea, utaratibu sahihi kama mwalimu aliyeshushwa cheo au kufukuzwa kama unavyodai, ni kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo na sababu ikiwa ni kuchukuliwa hatua bila kupewa nafasi ya kusikilizwa.

Spika au Waziri Mkenda hawana mamlaka ya kutengua maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ya walimu ilimchukulia hatua huyo mwalimu.
We ndio mwehu kabisa, waziri katoa tamko washushwe vyeo, huku chini wao ni kutekeleza tu, kwa akili yako unafikiri watapingana na waziri!!!
 
We ndio mwehu kabisa, waziri katoa tamko washushwe vyeo, huku chini wao ni kutekeleza tu, kwa akili yako unafikiri watapingana na waziri!!!
Ulikuwa na uwezo wa kuwasilisha mawazo yako bila kutumia lugha za maudhi mkuu, nakusamehe tu kwakuwa nafahamu vijana wengi humu mitandaoni mna matatizo ya kimalezi.

Baada ya lugha zako chafu, unaweza kuniletea hapa sheria au kanuni yoyote inayosema Waziri akiisha kusema, Mkurugenzi ambaye ndiye mwenye mamlaka juu ya nidhamu za walimu anapaswa kutekeleza tu kama kasuku?
 
Watu wanaishi na watoto wetu vizuri eti unawapa adhabu ya hovyo ajaribu siku moja aende kufundisha watoto na wawe na furaha hizo nyimbo karibu shule zote wanapokua na mahafari yao zinachezwa au anataka cheo zaidi ya hicho mbona anatafuta umaarufu kwa ishu ya kijinga kabisa...kwa jinsi walimu wanavyojitolea wasingekua wanatoa maamuzi ya kuwadharulisha mbele ya jamii namna hiyo...sijui ma Prof wa wawapi hawa.
 
Waziri Nkenda ajitathimini kama anapaswa kuendelea kuwa waziri wa Elimu au lah kwa maamuzi yake ya kukurupuka.

Kwa kilichonadiliwa Bungeni na Hoja zilizotolewa tunapofanya maamuzi tusifanye kwa kukurupuka Kuna taratibu za kufata ona sasa unapata Aibu za bure, utamfukuza mtu vipi bila kumpa nafasi ya kujitetea?

Kama tukio lilifanyika week kadhaa zilizopita basi na wabunge wote na wakuu wote wa idara waliowahi kufanya sherehe au kuhudhuria sherehe katika mashule nao wakacheza nyimbo hizo na wanafunzi basi NAO wachukuliwe hatua. Kwanini iwe walimu.

Nashangaa chama cha walimu kimekaa kimya hakijajitokeza kutetea walimu ila Hadi watu wa mitandaoni na wabunge walipoamua kuhoji.

Wakati wa Prof Ndalichako mambo haya hayakuepo kabisa
anafaa kuwepo maana Mwal Mkuu alikuwa anacheza muziki na watoto
 
Waziri Nkenda ajitathimini kama anapaswa kuendelea kuwa waziri wa Elimu au lah kwa maamuzi yake ya kukurupuka.

Kwa kilichonadiliwa Bungeni na Hoja zilizotolewa tunapofanya maamuzi tusifanye kwa kukurupuka Kuna taratibu za kufata ona sasa unapata Aibu za bure, utamfukuza mtu vipi bila kumpa nafasi ya kujitetea?

Kama tukio lilifanyika week kadhaa zilizopita basi na wabunge wote na wakuu wote wa idara waliowahi kufanya sherehe au kuhudhuria sherehe katika mashule nao wakacheza nyimbo hizo na wanafunzi basi NAO wachukuliwe hatua. Kwanini iwe walimu.

Nashangaa chama cha walimu kimekaa kimya hakijajitokeza kutetea walimu ila Hadi watu wa mitandaoni na wabunge walipoamua kuhoji.

Wakati wa Prof Ndalichako mambo haya hayakuepo kabisa
DAWA NI KUWAACHIA WATOTO WAPIGIWE HAYO MANYIMBO,WAENDELE KUKATA MAUNO NA MWISHO KUNYANDULIWA TU
KIZAZ CHENYENYEWE KISHAKATA KAMBA

ova
 
Back
Top Bottom