waziri nchimbi amezomewa vibaya sana hapa arusha ni kwenye uwanja kulipotokea na mlipuko wa kitu kizito na baadae polisi ccm kurusha vtu vya ncha kali...
Wambieni wajitahidi sana kuzomea make wameona hiyo ndiyo tiba tena ikibidi wajitahidi kila mtu wamzomee tu wasimzomee lema tu.yaani mtu mzima unatuambia eti nchimbi kazomewa kwa hiyo nchimbi alivyozomewa marehemu wamepona au mrusha bomu kapatikana halafu eti unafurahia nchimbi kazomewa,nyie vijana wa bavicha lema kawaambukiza tabia za ajabu haya hongereni kwa tabia mliyochagua.waziri nchimbi amezomewa vibaya sana hapa arusha ni kwenye uwanja kulipotokea na mlipuko wa kitu kizito na baadae polisi ccm kurusha vtu vya ncha kali...
waziri nchimbi amezomewa vibaya sana hapa arusha ni kwenye uwanja kulipotokea na mlipuko wa kitu kizito na baadae polisi ccm kurusha vtu vya ncha kali...
Kwa bahati mbaya sana mnareport hizi habari kiushabiki mno.