Waziri Nchimbi, Mulongo wazomewa viwanja vya Soweto - Arusha

Waziri Nchimbi, Mulongo wazomewa viwanja vya Soweto - Arusha

Nafikiri ifike wakati tuzomee kwa vitendo hii mijitu imeshazoea kuzomewa, haina aibu wala utu ila anyway Mungu ni mwema atajibu sala za wamwaminiao.

mkuu huu nimwanzo tu kwani kwa namna alivyokuwa anazomewa kwa ncheo chake ni aibu kubwa..na wana arusha walianza kwakuimba wimbo wataifa huku kwebye neno tz wanaweka chadema ikafatiwa na piipooz kisha zomea zomea kikafata..
 
Nchimbi na Nchemba ni mapuuzi tu. Bora na hata wakifa ni nafuu kwa taifa
 
Leo wanazomea, kesho watalala barabarani: najua vitaletwa vifaru lakini mwisho wa siku lazima wengi wasikilizwe/washinde. Reference: Libya, Egypt, Tunisia, South Africa, Congo Braza Ville n.k
 
waziri nchimbi amezomewa
vibaya sana hapa arusha ni kwenye uwanja kulipotokea na mlipuko wa kitu
kizito na baadae polisi ccm kurusha vtu vya ncha kali...

Wakati unakuja milipuko itawafikia walioshindwa kuizuia isiwaumize wananchi.
 
kama mimi ni muongo nifungiwe maisha jf..ninavideo nilijua kunawapuuzi kama wewe, watakao kanusha..

Good! Crashwise hebu tuwekee hapa hawa vilaza wa magamba wamejitoa fahamu pasipo tarajiwa
 
Last edited by a moderator:
Hii ni aibu ya mwaka, Nchimbi amekuja na IGP wamezomewa sana na wananchi, watu wameimba wimbo wa ukombozi, Parapanda pamoja na Mungu Ibariki chadema

Saaaaaafi sana wakombozi wa Tanzania. Tuonyeshe mshikamano hivyo hivyo! Wanaua halafu wanajifanya kuja kukagua. Iko siku yaja watalipa mauaji ya watoto wa Tanzania wasio na hatia wanaowaua kwa kuogopa kuondolewa madarakani!
 
Mkuu wa mkoa wa arusha azomewa na wananchi wa arusha baada ya kuwasili kwenye viwanja vya soweto kwenye mlipuko wa bomu yeye na nchimbi.

wawafungie basi kama walivyowafungia wanachuo wa IAA. Huyu jamaa ni kilaza kinyama.
 
Ni wahuni na wavuta bange tu ndo wenjjye akili za ktukana viongozi waheshimiwe si kuzarauliwa
 
Ndivyo mlivyolelewa Tabia ya kuzomea, toka.mwaka 1992-2013 bado mnaishi nyumba ya kupanga nadhani hata viti na meza ni vua kukodi ama kuazima . Nani awape nchi?.kwa dhamana ipi maana hata sera ni za kukopi.
 
JF ni jukwaa huru na wewe unaweza kuripoti bila ushabiki
wewe unamtakia mwenzako BAN?
hapa utashabikia zaidi ya CHADEMA utapona??????
usitutie ujinga leo malizeni hasira zenu, tukutane kwenye mada nyingine lakini ukiingiza chama kingine chochote
 
Wambieni wajitahidi sana kuzomea make wameona hiyo ndiyo tiba tena ikibidi wajitahidi kila mtu wamzomee tu wasimzomee lema tu.yaani mtu mzima unatuambia eti nchimbi kazomewa kwa hiyo nchimbi alivyozomewa marehemu wamepona au mrusha bomu kapatikana halafu eti unafurahia nchimbi kazomewa,nyie vijana wa bavicha lema kawaambukiza tabia za ajabu haya hongereni kwa tabia mliyochagua.

Ndiyo njia pekee waliyonayo ili kufikisha ujumbe. Wao hawana mabomu wala Polisi. Au sasa wafanyeje?
 
Hii ni aibu ya mwaka, Nchimbi amekuja na IGP wamezomewa sana na wananchi, watu wameimba wimbo wa ukombozi, Parapanda pamoja na Mungu Ibariki chadema
kama ni kweli Mungu ashukuriwe
 
kama Huyo mama alieuawa anamtoto...msubirini akue muone "do me do you" yake
 
nchi inaelekea pabaya....lakini mwisho wake ni mbaya zaidi, viongozi wetu wa serekali wameweka chama mbele kuliko hata utu wa mwanadamu
 
Baada ya wiki moja haya yote kimyaaaaaaaa!!
 
Back
Top Bottom