Waziri Nchimbi, Mulongo wazomewa viwanja vya Soweto - Arusha

Waziri Nchimbi, Mulongo wazomewa viwanja vya Soweto - Arusha

mkuu taarifa haijakamilika kwa nini usitoe taarifa kamili ili nasi wa mbali tuweze kupata mambo yanavyoendelea?
 
Nchimbi naye ni miongoni mwa majanga makubwa tuliyonayo kama Taifa, Hafai hata kuwa Baba wa Familia, i wonder walioamua kumtunuku Uwaziri wa wizara nyeti kama hii... sad to say!

Kabla ya kuumiza kichwa chako kufikiria sababu na namna alivyopewa hiyo nafasi ni vyema ukaangalia 'MAMLAKA ILIYOMTEUA'. Naamini Shamsi Vuai alikuwa bora mara 1000 kuliko huyo nchimbi.

NCHIMBI + NCHEMBA + SAID MWEMA = MAAFA KWA TAIFA
 
Wambieni wajitahidi sana kuzomea make wameona hiyo ndiyo tiba tena ikibidi wajitahidi kila mtu wamzomee tu wasimzomee lema tu.yaani mtu mzima unatuambia eti nchimbi kazomewa kwa hiyo nchimbi alivyozomewa marehemu wamepona au mrusha bomu kapatikana halafu eti unafurahia nchimbi kazomewa,nyie vijana wa bavicha lema kawaambukiza tabia za ajabu haya hongereni kwa tabia mliyochagua.

simiyu pole sana kwa wananchi wa arusha kumzomea huyu pimbi kama huyu nishangwe kwangu yaani unaua halafu unaleta unafiki na pole za kikuda..
 
Hao wote hawastahili kabisa kuendelea kuwepo kwenye ofisi walizokabidhiwa.......Hawana lolote zaidi ya kuchekacheka na kutoa ahadi mfu as if hawawatambui wahusika.
Kama ni kweli wamezomewa safi sana, ndio stahili yao kwa sasa!
 
Nchimbi naye ni miongoni mwa majanga makubwa tuliyonayo kama Taifa, Hafai hata kuwa Baba wa Familia, i wonder walioamua kumtunuku Uwaziri wa wizara nyeti kama hii... sad to say!

sidhani kama Nchimbi ana mke,lini na wapi mmewahi kuomuona akiwa na familia?hana uchungu, majanga yote yanatokea mikononi mwake hajiuzulu anataka nini?
 
polisi wanahangaika na bomu tangu jana kama wameshindwa basi wamuulize lameck nchemba serial no...katika kuzimewa alikuwepo pia igp ambae nishemeji yake kikwete...

jana wakati tukio linatokea IGP alikuwa rodini akitoka ngorongoro.
 
Nafikiri ifike wakati tuzomee kwa vitendo hii mijitu imeshazoea kuzomewa, haina aibu wala utu ila anyway Mungu ni mwema atajibu sala za wamwaminiao.
 
kama mimi ni muongo nifungiwe maisha jf..ninavideo nilijua kunawapuuzi kama wewe, watakao kanusha..

mkuu hebu iupload, wengine tuidownload tuisambaze umma wa watanzania washuhudie kukataliwa kwa hao magaidi.
 
Wambieni wajitahidi sana kuzomea make wameona hiyo ndiyo tiba tena ikibidi wajitahidi kila mtu wamzomee tu wasimzomee lema tu.yaani mtu mzima unatuambia eti nchimbi kazomewa kwa hiyo nchimbi alivyozomewa marehemu wamepona au mrusha bomu kapatikana halafu eti unafurahia nchimbi kazomewa,nyie vijana wa bavicha lema kawaambukiza

tabia za ajabu haya hongereni kwa tabia mliyochagua.
"Unawashwa unatafuta wa kukukuna" by mabumba!!
 
Waliofanya uhalifu Huu wakamatwe hata Kama wana MAPEMBE ya aina gani
 
Kati ya Mawaziri wa Kikwete ambao hawana la kufanya kuhusiana na majanga tunayoyapata ni hawa waziri wa kufika katika maeneno ya tukio na waziri wa kuunda tume kwa sana haya wazee wa Intelegensia

Yule aliyekuwa anajiita Dr hata kabla hajapata PHD?
 
Wambieni wajitahidi sana kuzomea make wameona hiyo ndiyo tiba tena ikibidi wajitahidi kila mtu wamzomee tu wasimzomee lema tu.yaani mtu mzima unatuambia eti nchimbi kazomewa kwa hiyo nchimbi alivyozomewa marehemu wamepona au mrusha bomu kapatikana halafu eti unafurahia nchimbi kazomewa,nyie vijana wa bavicha lema kawaambukiza tabia za ajabu haya hongereni kwa tabia mliyochagua.
Kuna namna tofauti za kufikisha ujumbe... Hiyo ni mojawapo
 
Back
Top Bottom