Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,120

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hilo linatokana na ongezeko la Wananchi zaidi ya 50% kutumia Intaneti ambapo kama kuna mtu ana mawazo ya hovyo atatamani kufanya majaribio yake huko, hivyo Serikali imekuwa ikitunga Sheria zitakazowalinda watumiaji wake.

Akizungumzia suala la Usajili wa Watumiaji wa VPN amesema suala hilo linafanyika ili kuwatambua Watumiaji wake pamoja na kuzuia uhalifu Mtandaoni na Serikali haiwezi kuacha kila mtu aingie kiholela na akafanya anachokitaka na tayari wapo Watu ambao wamefikishwa Mahakamani na wengine wamefungwa kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya Mtandao.

Ameongeza "Tutaendelea kupafanya Mtandaoni kuwa sehemu salama kwasababu maisha ya sasa yanategemea Mtandao, usipofanya mtandao kuwa salama unafanya Nchi kutokuwa salama na msimamo wetu ni kwamba njia yoyote ya mawasiliano itumike ikiwa salama".
 
View attachment 2786085
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hilo linatokana na ongezeko la Wananchi zaidi ya 50% kutumia Intaneti ambapo kama kuna mtu ana mawazo ya hovyo atatamani kufanya majaribio yake huko, hivyo Serikali imekuwa ikitunga Sheria zitakazowalinda watumiaji wake.

Akizungumzia suala la Usajili wa Watumiaji wa VPN amesema suala hilo linafanyika ili kuwatambua Watumiaji wake pamoja na kuzuia uhalifu Mtandaoni na Serikali haiwezi kuacha kila mtu aingie kiholela na akafanya anachokitaka na tayari wapo Watu ambao wamefikishwa Mahakamani na wengine wamefungwa kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya Mtandao.

Ameongeza "Tutaendelea kupafanya Mtandaoni kuwa sehemu salama kwasababu maisha ya sasa yanategemea Mtandao, usipofanya mtandao kuwa salama unafanya Nchi kutokuwa salama na msimamo wetu ni kwamba njia yoyote ya mawasiliano itumike ikiwa salama".
Waziri mpumbavu wa karne
 
View attachment 2786085
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hilo linatokana na ongezeko la Wananchi zaidi ya 50% kutumia Intaneti ambapo kama kuna mtu ana mawazo ya hovyo atatamani kufanya majaribio yake huko, hivyo Serikali imekuwa ikitunga Sheria zitakazowalinda watumiaji wake.

Akizungumzia suala la Usajili wa Watumiaji wa VPN amesema suala hilo linafanyika ili kuwatambua Watumiaji wake pamoja na kuzuia uhalifu Mtandaoni na Serikali haiwezi kuacha kila mtu aingie kiholela na akafanya anachokitaka na tayari wapo Watu ambao wamefikishwa Mahakamani na wengine wamefungwa kutokana na matumizi yasiyo sahihi ya Mtandao.

Ameongeza "Tutaendelea kupafanya Mtandaoni kuwa sehemu salama kwasababu maisha ya sasa yanategemea Mtandao, usipofanya mtandao kuwa salama unafanya Nchi kutokuwa salama na msimamo wetu ni kwamba njia yoyote ya mawasiliano itumike ikiwa salama".
Huyu amekosa kazi za kufanya, akamtibu yule mama aliemvunja kiuno kwanza
 
Hapa ngoja nimfahamishe, Nape kuna software siku hizi kama VPN lakini siyo VPN iliyozoweleka.

Sifahamu hiyo waiandikisha vipi?

Haya mambo ya mtandao, yeye angefanya kama nchi zingine, tena katoka India juzi, India wanazuwia mpaka VPN wasichotaka usione huoni na wanaweza kuku trace hata ukiwa nyuma ya VPN Bila kupigizana kelele na mtu

Hi teknolojia si mchezo, Wahindi inasemekana sijuwi simu Iphone haziingiliki, wahindi wanaingia tena njiani tu utamkuta mtu na kimeza chake na wanakubadilishia chochote unachotaka wanakupa mpaka IMEI mpya na simu yako ileile.

Wahindi usicheze nao kabisa kwa mambo ya IT.

Ngoja niongee nao nipige pesa za ghafla, niwape watu ki software ndogo tu, hakuna anaekuona wala kuku trace bila VPN.
 
Hapa ngoja nimgfahamishe, Nape kuna softwre siku hizi kama VPN lakini siyo VPN iliyozoweleka.

Sifahamu hiyo waiandikisha vipi?

Haya mambo ya mtandao, yeye angefanya kama nchi zingine, tena katoka India juzi, India wanzuwia mpaka VPN wasichotaka usione huoni na wanaweza kuku trace hata ukiwa nyuma ya VPN Bila kupizigizana kelele na mtu


Hi teknolojia si mchezo, Wahindi inasemekana sijuwi simu Iphone haziingiliki, wahindi wanaingia tena njiani tu utamkuta mtu na kimeza chake na wanakubadilishia chochote unachotaka wanakupa mpaka IMEI mpya na simu yako ileile.

Wahindi kwa usicheze nao kabisa kwa mambo ya IT.

Ngoja nipongee nao nipige pesa za ghafla, niwape watu ki sfyware kidogo tu, hakuna anaekuona wala kuku trace bila VPN.
Unanikumbusha watoto wakihindi pale aghakhan sekondari
 
Back
Top Bottom